Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndio kama unavyoona

Chamberlain katupia mawili , Keita anakichafua humo ndani, Wijnaldum hana kipaji cha kumfikia uwezo Naby Keita Garasa Hendo ndio kabisa hana hadhi ya kuchezea hata midtable teams of EPL
Keita ishu sio kipaji ni kama gari ya dizeli fulani inamchukua dakika zaidi ya 50 kuingia rasmi mchezoni...

All in all I salute him amemaliza mchezo akiwa vizuri na kacheza dakika 90+.. Yajayo yanafurahisha

Shinda yangu ni Lovren yaaani huyu sijui auzwe wapi..

Salah haja click great to see him score pengine sasa atarudisha makali...
 
IMG_6507.JPG
 
Niliwaambia watu hapa ninapocheck wakati game mwanzoni kabisa huyu Lovren muda wowote anaweza akakinukisha ,dah alivyokinukisha jamaa wananiona nabii kube ni matunda ya chambuzi za humu
Hahahaha Lovren bana ni kama dollar muda wowote unacheka na muda wowote atakuliza...

Kwa umri wake na uzoefu alionao ni aibu kufanya makosa kama yale yaaani angetoa ule mpira nje hata lawama hakuna sasa anataka kujifanya VVD...
 
Keita ishu sio kipaji ni kama gari ya dizeli fulani inamchukua dakika zaidi ya 50 kuingia rasmi mchezoni...

All in all I salute him amemaliza mchezo akiwa vizuri na kacheza dakika 90+.. Yajayo yanafurahisha

Shinda yangu ni Lovren yaaani huyu sijui auzwe wapi..

Salah haja click great to see him score pengine sasa atarudisha makali...
Ila bro ukweli huwa kabla ya mechi natamba sana mtaani akianza keita mmekufa, nikifika hayupo nanyong'onyea jamaa anajua sanaa . Yaani waanze hapo kati keita mbele , fab kati na chembs kama leo , siwazi beki ni nani hata wamrudishe sakho na sissoko wale mafala wa 2013/14 poa tu najua tunashinda .
 
Ila bro ukweli huwa kabla ya mechi natamba sana mtaani akianza keita mmekufa, nikifika hayupo nanyong'onyea jamaa anajua sanaa . Yaani waanze hapo kati keita mbele , fab kati na chembs kama leo , siwazi beki ni nani hata wamrudishe sakho na sissoko wale mafala wa 2013/14 poa tu najua tunashinda .
Kabisa kabisa kabisa huwa najidahi na Keita halafu wala haanzishwi inaniumaga sana
 
Keita ishu sio kipaji ni kama gari ya dizeli fulani inamchukua dakika zaidi ya 50 kuingia rasmi mchezoni...

All in all I salute him amemaliza mchezo akiwa vizuri na kacheza dakika 90+.. Yajayo yanafurahisha

Shinda yangu ni Lovren yaaani huyu sijui auzwe wapi..

Salah haja click great to see him score pengine sasa atarudisha makali...
Ndo tunavyomuona sisi lakini
enrouteanfield-20191024-0001.jpeg
 
Tuendelee kushikamana tu na kutoa sapoti kwa vijana, yajayo yanafurahisha sana, naamini Lalana na Henderson(bashite) wanatolewa bure January, wapishe maingizo mengine mawili ya kuleta chachu na changamoto mpya kikosi, hivi Matip na Trent nao sasa wamekuwa pacha kiasi kwamba hata game na Spurs pia hatuko nao au jana walipumzishwa kwa shida gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom