Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa maslahi ya timu abaki. Hakuna kumpisha timu, team ni kubwa kuliko mchezaji yeyote yule. In the mean time tunamhitaji Milner zaidi kuliko Grujic.

Sasa masuala ya 'Timu ni Kubwa Kuliko Mchezaji' Yameingiaje hapa? Watu wengine bhana! Alimradi waambiwe wamechangia Thread
 
Yaan huyo anaona akikaa kimya akawa msomaji tu anaonekana boya so anaona aandike hata shudu humu wakati hata hatumjui

Yani nashangaa sana sikuhizi!

Hapa tulipokuwa tunachekwa na Washabiki wa Timu nyengine kuwa tuna Zero Trophy, tulikuwa pekeyetu tunapeana challenge na Malafyale!

Lakini tangia tubebe UCL kumeibuka Washabiki wa Kiajabuajabu wa Liverpool from nowhere wanaoweza hata kupingana na kaka yetu MosDef wakati sisi sote humu hatuthubutu hata kumquote MosDef bali tunaishia Kumpa Like tu.

Yani hata hujui Wanaandika nini! Wanapinga nini! Wanakataa nini! Wanakubali nini! Wao wapowapo tu!!!!!
 
Yani nashangaa sana sikuhizi!

Hapa tulipokuwa tunachekwa na Washabiki wa Timu nyengine kuwa tuna Zero Trophy, tulikuwa pekeyetu tunapeana challenge na Malafyale!

Lakini tangia tubebe UCL kumeibuka Washabiki wa Kiajabuajabu wa Liverpool from nowhere wanaoweza hata kupingana na kaka yetu MosDef wakati sisi sote humu hatuthubutu hata kumquote MosDef bali tunaishia Kumpa Like tu.

Yani hata hujui Wanaandika nini! Wanapinga nini! Wanakataa nini! Wanakubali nini! Wao wapowapo tu!!!!!
inabidi mtuvumilie hivyo hivyo japo tuna wakwaza labda pengine wakati nyie mnasakamwa kuwa mnasapoti timu ambayo ni trophy less sisi wengine hatukuwa na access ya jamii forum
 
Sasa wewe unaposema Milner aachwe ili Grujic acheze. Kwani lazima Grujic acheze? Yeye ni nani haswa? Tunaangalia maslahi ya team na sio maslahi ya mchezaji mmoja mmoja ndio maana ya kusema timu ni kubwa na muhimu zaidi kuliko mchezaji. Rudi shule kajifunze lugha kama Kiswahili ni kigumu kuelewa.
Sasa masuala ya 'Timu ni Kubwa Kuliko Mchezaji' Yameingiaje hapa? Watu wengine bhana! Alimradi waambiwe wamechangia Thread
 
Khaaaa we ni mwehu haswaaa. Unijue wewe ni nani? Kuna watu wapuuzi, wanadhani hili jukwa ni lao Hili jukwaa ni lako? Basi lingekuwa restricted to only members wa Liverpool. Au nyie tu ndio mna haki ya kucomment humu? Ina maana anachosema Ngwaba kipo sahihi tu, hakosei? Hakuna mtu mwingine anayeweza kuwa na mawazo tofauti?



Anyway, Umesoma point yangu vizuri?
Yaan huyo anaona akikaa kimya akawa msomaji tu anaonekana boya so anaona aandike hata shudu humu wakati hata hatumjui
 
Bro, mimi kuwa shabiki wa Liverpool sihitaji kujionesha humu. Kila mtu angle yake ya kufanya ushabiki. By the way hii ID nimebadili jina.....hunijui sikujui. Kusema mlikua mnachekwa humu sijui na nini huna logic....hii ID ina mwaka 1 tu tangu niiunde. So sina haki ya kuja huku?

Mosdef and the likes....watu tunapita na kusoma comment zao humu. Si kila mara mtu unaandika.
Yani nashangaa sana sikuhizi!

Hapa tulipokuwa tunachekwa na Washabiki wa Timu nyengine kuwa tuna Zero Trophy, tulikuwa pekeyetu tunapeana challenge na Malafyale!

Lakini tangia tubebe UCL kumeibuka Washabiki wa Kiajabuajabu wa Liverpool from nowhere wanaoweza hata kupingana na kaka yetu MosDef wakati sisi sote humu hatuthubutu hata kumquote MosDef bali tunaishia Kumpa Like tu.

Yani hata hujui Wanaandika nini! Wanapinga nini! Wanakataa nini! Wanakubali nini! Wao wapowapo tu!!!!!
 
Jamaa hana logic, mtu nimeunda ID mwaka jana. Alitaka nije kucomment mwaka 2012? Yaani kuna watu wanahisi ni jukwaa lao wanalimiliki. Pathetic
inabidi mtuvumilie hivyo hivyo japo tuna wakwaza labda pengine wakati nyie mnasakamwa kuwa mnasapoti timu ambayo ni trophy less sisi wengine hatukuwa na access ya jamii forum
 
Yani nashangaa sana sikuhizi!

Hapa tulipokuwa tunachekwa na Washabiki wa Timu nyengine kuwa tuna Zero Trophy, tulikuwa pekeyetu tunapeana challenge na Malafyale!

Lakini tangia tubebe UCL kumeibuka Washabiki wa Kiajabuajabu wa Liverpool from nowhere wanaoweza hata kupingana na kaka yetu MosDef wakati sisi sote humu hatuthubutu hata kumquote MosDef bali tunaishia Kumpa Like tu.

Yani hata hujui Wanaandika nini! Wanapinga nini! Wanakataa nini! Wanakubali nini! Wao wapowapo tu!!!!!
Hahahaaaaaa nimecheka sana .....ila ndio kawaida mkuu timu kupata mashabiki wapya kipindi cha mafanikio hasa kipindi hiki cha KISULISULI WIND kwahiyo mujifunze kuwavumilia maana huu upepo unachukua mpaka makapi kwahiyo mjipange kisaikolojia.Ingawa hawahawa wanaokuja sasa nao wapo ambao watakuwa mashabiki wazuri wa Liverpool,inawezekana ukawa ni ugeni tu unawasumbua hawajajua taratibu za hapa,so muwavumilie watakaa kwenye mstari mtakuja ongea lugha moja....

Mashabiki wa kweli hujulikana mkuu,binafsi katika hizi nyuzi maarufu sio mgeni,nawatambua MAMBA na KENGE katika nyuzi mbalimbali,na hawa wafuata mkumbo wa matokeo(KENGE) ndio wanaowadhalilisha mpaka huko katika nyuzi za jirani...kwa kucomment shudu ambazo sio tamaduni ya hapa.....

Unakuta mtu anachangia shudu alafu anajitamba yeye ni shabiki wa Liverpool hahaha huwaga nikifikiria mashabiki wa liver ninaowajua huwaga nacheka sana.....

Big up mashabiki wa kweli wa Liverpool mnaokuwepo hapa katika vipindi vyote vya masika na kiangazi mkiongozwa na mLIVERPOOL HALISIA


NANI HAYAJUI MAJOGOO?????
 
Hivi na ID yangu ya mwaka 2018 mlitaka nije kucomment mwaka 2016?
Hahahaaaaaa nimecheka sana .....ila ndio kawaida mkuu timu kupata mashabiki wapya kipindi cha mafanikio hasa kipindi hiki cha KISULISULI WIND kwahiyo mujifunze kuwavumilia maana huu upepo unachukua mpaka makapi kwahiyo mjipange kisaikolojia.Ingawa hawahawa wanaokuja sasa nao wapo ambao watakuwa mashabiki wazuri wa Liverpool,inawezekana ukawa ni ugeni tu unawasumbua hawajajua taratibu za hapa,so muwavumilie watakaa kwenye mstari mtakuja ongea lugha moja....

Mashabiki wa kweli hujulikana mkuu,binafsi katika hizi nyuzi maarufu sio mgeni,nawatambua MAMBA na KENGE katika nyuzi mbalimbali,na hawa wafuata mkumbo wa matokeo(KENGE) ndio wanaowadhalilisha mpaka huko katika nyuzi za jirani...kwa kucomment shudu ambazo sio tamaduni ya hapa.....

Unakuta mtu anachangia shudu alafu anajitamba yeye ni shabiki wa Liverpool hahaha huwaga nikifikiria mashabiki wa liver ninaowajua huwaga nacheka sana.....

Big up mashabiki wa kweli wa Liverpool mnaokuwepo hapa katika vipindi vyote vya masika na kiangazi mkiongozwa na mLIVERPOOL HALISIA


NANI HAYAJUI MAJOGOO?????
 
mid iwe faby keita ox ituprove wrong ili akiwekwa kepitein tuseme ehh wale walishindwa",.

mtu anamtetea hendo ila kila timu inapozidiwa hutolewa yeye imagine milner at 34' anaingizwa anaonekana nafuu...

Bora angebaki Joe Allen kuliko Hendo. Na kuliko abaki hendo lallana aondoke iwe vice verser tu.
 
IMG_6520.JPG
 
mid iwe faby keita ox ituprove wrong ili akiwekwa kepitein tuseme ehh wale walishindwa",.

mtu anamtetea hendo ila kila timu inapozidiwa hutolewa yeye imagine milner at 34' anaingizwa anaonekana nafuu...

Bora angebaki Joe Allen kuliko Hendo. Na kuliko abaki hendo lallana aondoke iwe vice verser tu.
Kuna watetezi wa Hendo humu balaa. Yaani yule skipper wetu hana cha ziada. Hajui kupress wala nini, back pass na sideway nyingiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom