Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kwa maslahi ya timu abaki. Hakuna kumpisha timu, team ni kubwa kuliko mchezaji yeyote yule. In the mean time tunamhitaji Milner zaidi kuliko Grujic.
Sasa masuala ya 'Timu ni Kubwa Kuliko Mchezaji' Yameingiaje hapa? Watu wengine bhana! Alimradi waambiwe wamechangia Thread