Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
I conquer 110%...Hakika mkuu, kwa soka la miaka hii na inayokuja mchezaji ambaye hawezi jihakikishia nafasi first 11 hata benchi hastaili. Ukichukulia concept hii kua bench ni back up ya aliyeanza then wa bench inabidi akaribiane na anayeanza.Kuanzia next transfer window tufagie wamatumbi wote for the better of our team



, umehongwa na Le Captain Hendo wewe si bure.