Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Alaf bado kuna jitu litakuja na makala zake za Hendo sjui ni kiongozi mzuri, sijui yeye kapewa kazi maaluk kabisa na Klopp tofauti na kufunga ku assist sio majukumu yake.
Mara Hendo ndio roho ya team, huyu ndo SG na Alonso wapya kwenye zama hizi, yani full of bullshi**t. Mpaka unataman umpige mtu makofi.
Fabby-Nabyy-OX🔥🔥🔥
Yani Mtu hutumia Mijisamiati kibao ya Kukariri ilimradi tu atuaminishe Kuwa Hendo Mchezaji.