Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

On my point of view keita naona ni kama man of the match labda kama nilikuwa namuangalia sana yeye kwakuwa ndiye mchezaji ambaye ambaye naona anakipaji cha kuzaliwa kwa liver . Kuna kujituma na kujua . Keita born knows
Roho hua inaniuma sana huyu jamaa akipigwa benchi afuu mtu kama hendo ndo et kampiga benchi .

Naamin hii mids ya fab,keita na Ox ikipewa game nyingi bas sidhan kama kuna mbwa ulaya atakaa aisogelee LFC yetu kiboya boya watakua wana kuja kwa tahadhari zaid ya hiyo wanayokujaga nayao sasa
 
Ila bro ukweli huwa kabla ya mechi natamba sana mtaani akianza keita mmekufa, nikifika hayupo nanyong'onyea jamaa anajua sanaa . Yaani waanze hapo kati keita mbele , fab kati na chembs kama leo , siwazi beki ni nani hata wamrudishe sakho na sissoko wale mafala wa 2013/14 poa tu najua tunashinda .
Hahaha imekaa powa sana kaka...

Keita tangu ajiunge nasi majogoo amekua akiandamwa na majeruhi mara kwa mara ni nadra Sana kumuona akipata dakika 90 na usiumie na pia mfumo huu 4 3 3 sio rafiki Sana kwake lakini mchezaji mwenye kipaji hu adapt mfumo wowote ule hivyo more game time na atakaa sawa..

Hii gemu ya jana haikua physical Sana hivyo naweza sema imekuja wakati mwafaka kwake ili arudishe makali yake...

Tunamuombea majeruhi ya kujirudia ya mpite mbali ili hatimae aitete jezi 8 namba kisawa sawa maana kwetu ile jezi namba 8 means more than just the number..

Azidishe zaidi concentration, acute passes, keeping position, hard working without the ball, ball recovery nk na Klopp atamwamini
 
Keita ishu sio kipaji ni kama gari ya dizeli fulani inamchukua dakika zaidi ya 50 kuingia rasmi mchezoni...

All in all I salute him amemaliza mchezo akiwa vizuri na kacheza dakika 90+.. Yajayo yanafurahisha

Shinda yangu ni Lovren yaaani huyu sijui auzwe wapi..

Salah haja click great to see him score pengine sasa atarudisha makali...
Klopp anamng'ang'ania Lovren sababu wanasema anakipaji cha uongozi eti
 
IMG_6509.JPG
 
Klopp anamng'ang'ania Lovren sababu wanasema anakipaji cha uongozi eti
Useless Lovren...

atakua amejikita huko kwenye uongozi baada ya kuchemka uwanjani...

VVD kiongozi, Gini kiongozi, Milner kiongozi, Hendo nae sasa binafsi sioni vacuum ya uongozi kwetu...

Huyu auzwe tu
 
Bado mnaendelea kubebwa na VAR sijaona sababu goli la Samatta kukataliwa.

Mkuu mbona ilikuwa clear offside kabisa ile,pass iliyotolewa kwenye kupiga ile klosi.ilikuwa offside kabisa Na mstari umechorwa kabisa walikuwa wamezidi.sijajua mpira uliangalizia wapi? Maana Baada ya mechi kwenye uchambuzi tuliona vizuri kabisa.
 
Alaf bado kuna jitu litakuja na makala zake za Hendo sjui ni kiongozi mzuri, sijui yeye kapewa kazi maaluk kabisa na Klopp tofauti na kufunga ku assist sio majukumu yake.

Mara Hendo ndio roho ya team, huyu ndo SG na Alonso wapya kwenye zama hizi, yani full of bullshi**t. Mpaka unataman umpige mtu makofi.


Fabby-Nabyy-OX🔥🔥🔥
 
Kuna game our front three huwa wanabanwa, kuna time matumaini na matarajio tunayapeleka kwa middle zetu zifanye mambo, thanx Ox for your brace tena nje ya 18

Sasa imagine Front 3 imekabwa na Midfielder ni Henderson tunayemtegemea atupe matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom