Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6461.JPG
 
Hii picha Haiprove chochote hapa unless wachezaji wakae/wagande bila ya kutembea kama zilivyo hizo image za kwenye picha.

Huu ni mfumo gan na mimi nilkuwa naongelea mfumo gan,

Tusibishane tukaonekana hatuna akili nzr, baki na unachojua ka hutak kuelewa
 
Mkuu bilashaka una undugu na Mwl. Kashasha
Mkuu huyu ndogo yupo very adaptable ukizingatia alianza kucheza pale academy Midfield kabla hajapelekwa beki wa kulia..Kwa sasa hana nafasi ya kua tested properly kama real winger Kwa vile mfumo huu wetu hauna natural wingers pindi tunaposhambulia kutokana na ukweli kua RB na LB hugeuka ma winger...

Anazo sifa za kua winger na ukiangalia stats zake utaona muda mwingi yeye awepo uwanjani huwa zaidi upande wa Timu pinzani kupeleka mashambulizi...

Kwa mfumo huu wa sasa Trent anacheza zaidi kama winger japo kimpira wanaitwa Overlapping Fullbacks ambapo ni yeye na Robertson... Kwa mfumo huu wanashambulia zaidi kutumia pembeni ni muda huo Salah au Mane ambao ndio ma winger wetu huingia zaidi kwenye kumi na nane kusubiri klosi za Trent ama rebounds...

Mfumo huu umefanilkiwa zaidi kutokana na Trent /Robby kua aggressive, fearless, athletic, quality crosses, excellent passing range.. And Klopp sioni akibadilisha kwa vile ushampa mafanikio zaidi

Trent Best QUALITIES
His main task is to provide width going forward , be aggressive, speed with highest tempo,deliver quality crosses but when we lose the ball boy has to track quickly and defend...at times he get caught especially when playing with a real counter attacking team..

When he attacks our Mids mostly Fabi or Hendo cover the spaces or the channels on his side just incase the opposition do attack.. But because he is pacy and athletic probably due to age he try as much to get back to his position...

Trent weakness
His weakness is mostly he hit so many useless passes at times rather than play the ball back but who can blame him that side he plays mostly with Hendo... His other weakness he is very poor at aerial balls but who cares when he is either taking the corners or scoring the dead balls...

Also his other weakness and won't blossom as a winger is his dribbling is not the best, and a winger who can't dribble like Mane would be colossal task to ask

With 4 3 3 formation the full back RB suit him well unless we get another RB and Klopp change the system he is there to stay at RB..
 
Kitendo alichotufania Coutinho ni cha kishenzi sana, kumbuka anaondoka January, wakati timu inamhitaji kwa sana, lakini akatukataa akaona atukimbie, kuondoka January kwa mchezaji mnayemtegemea kama yule kipindi kile ni kitendo cha kigaidi sana, mwacheni tu astrugle huko, naamini ipo siku tutatengeneza Coutinho mwingine tu ndani ya timu
 
Yule namchukia mpaka kesho
Kuna mechi moja vs Manu akaingia Steve sub mara pap akapewa kadi nyekundu...

Kuna mechi nyingine Shevley nae kadi nyekundu...


Haha siku hizi hizo kadi hazipo kabisaaaa.... Japo tangu Klopp aje tumekua na rekodi nzuri mno ya nidhamu uwanjani kama msimu uliopita Liverpool ndio tuliongoza EPL Kwa kupewa adhabu ya kadi chache mno..
 
Wachezaji wengi walioforce kuondoka liverpool walifail kudeliver maisha yao ya soka, tukimuondoa sterling tu angalau angalau akupotea sana
Emre ndio huyoo Man U wanamtazama pengine January wapeleke ofa.. Kuachwa kwake kikosi cha Bibi Kizee kushiriki UCL kumemvuruga mno...

Huyu na C10 si bure waje wamwangukie Klopp awape baraka zake Hahaha
 
Hebu tupe evidence ya kuprove Kuwa anakaba ili Wadau tuone huo ukabaji wake.



Upo kwenye daylight dream Mkuu? Enewey Tumeshacheza michezo 8 ya EPL tu naomba unitajie Mpira mmoja tu Mrefu (Long ball) aliwahi kupiga kwenye hiyo michezo 8 na Matokeo ya Mpira huo.



Kumbe unajua Kuwa ni Garasa lakini tu unajitia Upofu.



Kama nani Kwa Mfano Ni Kiungo Mzuri Aliyekuwa hasaidii chochote Kwenye Timu Yake?
Mimi nilimtolea Mfano KDB je hujui anachoisaidia Man City?
Guandogan?
Silva?
Kante?
Fernandinho?
Veratti?
Matuidi?
Pjanic?



Wewe kumbe hufuatilii Mpira nimegundua hilo!

Henderson amecheza dakika 412
Kante amecheza dakika 287
James Milner amecheza dakika 226
Lucas Torreira amecheza dakika 202

Hao wote kwenye EPL wamecheza dakika chache msimu kuliko Henderson but wameshafunga au Kuassist msimu huu in all competitions.



Hii sio point ya Msingi coz hapa hatuzungumzii Mafanikio ya Timu bali tunazungumzia Uwezo binafsi wa Mchezaji.
Ni sawa na Kusema Messi mbovu kuliko Origi kwasababu tu Liverpool ya Origi imemfunga Barcelona 4 - 0



Hendo kafanikisha Lipi Ndani ya Liverpool???
Kabla ya kubeba CL alikuepo Liverpool takriban Misimu 7 alitupatia nini?
Si baada ya Kuja Kina Mane, VVD, Salah, Fabinho, Alison, Robertson, Matip, TAA, GINI ndiyo tukapata Mafanikio? Au umesahau?
Sasa kusema Hendo kafanikisha kitu wakati waliojitoa na kufanikisha tumewaona itakuwa ni jambo la ajabu.


Bado hujanipa sababu za ubora wa Henderson
Ndugu yangu huwa siwez ubishi..

Hendo msimu uliopta kazdiwa na watu wa3 tu kwenye kikos chetu kwenye long ball, msimu wa 2013/14 alkuwa na goli 4 na assist 6+ ambazo sio mbaya so jiulze tatzo liko wap saiv, msimu huu statstcs zake sio nzuri pia ni mwanzo wa msimu tusubir.

Ukiacha kumlinganisha hendo na mids wengne wazur tunaweza ongea, kwa sasa we endelea kutaka awe bora kama wao ama kutaka tuwe vizuri kila sehemu,
 
Kitendo alichotufania Coutinho ni cha kishenzi sana, kumbuka anaondoka January, wakati timu inamhitaji kwa sana, lakini akatukataa akaona atukimbie, kuondoka January kwa mchezaji mnayemtegemea kama yule kipindi kile ni kitendo cha kigaidi sana, mwacheni tu astrugle huko, naamini ipo siku tutatengeneza Coutinho mwingine tu ndani ya timu

Kulingana na Mahitaji yetu Coutinho anaweza kutufaa.

Pia kwasasa siangalii Mchezaji alifanya nini before bali ninachoangalia ni Atatusaidia vipi kuipora EPL kutoka Kwa Pep.

Kwahiyo Bora tu Coutinho January atue au even next summer
 
Jiandae kupiga wine na tabasamu usoni Siku hiyo
Nimeshuhudia zaidi ya 50 za Liverpool vs Man United na Joto lake ninalijua.

Kwahiyo hii mechi kwangu Mimi Inanipa Pressure sana yani siwezi kuitabiri hata kidogo.

Kupoteza ni rahisi sana.
 
Sadio Mané:

“Why would I want 10 Ferraris, 20 watches or 2 planes? I survived hard times, played football bare-feet, didn't receive education, but today I can help my people build schools, stadiums, buy clothes & food. I prefer my people receive some of what life has given me."
IMG_20191017_095417.jpeg
 
Hoja nzuri kabisa
Hebu tupe evidence ya kuprove Kuwa anakaba ili Wadau tuone huo ukabaji wake.



Upo kwenye daylight dream Mkuu? Enewey Tumeshacheza michezo 8 ya EPL tu naomba unitajie Mpira mmoja tu Mrefu (Long ball) aliwahi kupiga kwenye hiyo michezo 8 na Matokeo ya Mpira huo.



Kumbe unajua Kuwa ni Garasa lakini tu unajitia Upofu.



Kama nani Kwa Mfano Ni Kiungo Mzuri Aliyekuwa hasaidii chochote Kwenye Timu Yake?
Mimi nilimtolea Mfano KDB je hujui anachoisaidia Man City?
Guandogan?
Silva?
Kante?
Fernandinho?
Veratti?
Matuidi?
Pjanic?



Wewe kumbe hufuatilii Mpira nimegundua hilo!

Henderson amecheza dakika 412
Kante amecheza dakika 287
James Milner amecheza dakika 226
Lucas Torreira amecheza dakika 202

Hao wote kwenye EPL wamecheza dakika chache msimu kuliko Henderson but wameshafunga au Kuassist msimu huu in all competitions.



Hii sio point ya Msingi coz hapa hatuzungumzii Mafanikio ya Timu bali tunazungumzia Uwezo binafsi wa Mchezaji.
Ni sawa na Kusema Messi mbovu kuliko Origi kwasababu tu Liverpool ya Origi imemfunga Barcelona 4 - 0



Hendo kafanikisha Lipi Ndani ya Liverpool???
Kabla ya kubeba CL alikuepo Liverpool takriban Misimu 7 alitupatia nini?
Si baada ya Kuja Kina Mane, VVD, Salah, Fabinho, Alison, Robertson, Matip, TAA, GINI ndiyo tukapata Mafanikio? Au umesahau?
Sasa kusema Hendo kafanikisha kitu wakati waliojitoa na kufanikisha tumewaona itakuwa ni jambo la ajabu.


Bado hujanipa sababu za ubora wa Henderson
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom