Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6408.JPG
 
Mfano mzuri adrian mkuu,unaweza kusema tulitoa hela kumsajiri kumbe tumemchukua bure alikuwa zake home spain anawaza tu afanye shughuli gani,lakini ndio hivyo sasa hivi tukimwacha kila timu itamtaka.

Kina kitu wapinzani wetu wanafikiria kuwa mechi mbona bado sana na hilo ndio lililo tugharimu msimu uliopita kuona kwamba mechi bado ziko nyingi nawakati ushindi/matokeo ya sasa ndio utakaokupa ubingwa,tuwaache waendele kusubiria mpaka mwakani sisi kila mechi ni fainali,Safari hii tunatangaza ubingwa mapema kabisa.
Asante kwa kunielewa. Watu wanamtukanaga milner humu lakini mechi ya juzi katubeba. Sio kila mchezaji atakupa kila mechi faida. Hapana kila mchezaji atasaidia kwa muda wake na mechi yake. Wachezaji wote ni wazuri wako katika uthabiti ndio maana tuko poa mpk sasa. Tuna tatizo moja tu la kufeel confortable hasa tukiongoza goli tunarelaxx sana hapo ndio inakuwa afueni kwa adui nae atukimbize nadhani hili kocha atakuwa ameliona hasa vs salzburg na leicester natumaini after mechi za timu za taifa atakuwa amelitatua hilo. Tupige utd na totte then aje huyo City tumcharange na beki yake maandazi
 
Asante kwa kunielewa. Watu wanamtukanaga milner humu lakini mechi ya juzi katubeba. Sio kila mchezaji atakupa kila mechi faida. Hapana kila mchezaji atasaidia kwa muda wake na mechi yake. Wachezaji wote ni wazuri wako katika uthabiti ndio maana tuko poa mpk sasa. Tuna tatizo moja tu la kufeel confortable hasa tukiongoza goli tunarelaxx sana hapo ndio inakuwa afueni kwa adui nae atukimbize nadhani hili kocha atakuwa ameliona hasa vs salzburg na leicester natumaini after mechi za timu za taifa atakuwa amelitatua hilo. Tupige utd na totte then aje huyo City tumcharange na beki yake maandazi

Halafu wewe nimekupeleleza huwa huingii humu kwenye uzi kitambo then Siku utakayoingia hijui nini kinajadiliwa unaishia kuingia chaka.

Hebu pitia comments za Wadau ujifunze wanajadili nini humu.

Ndiyo nyie Siku munayokurupuka kuingia humu munasema Tulimtukana Klopp Kuwa Kumsajili Robertson
Tulimtukana Klopp Kuwa Kumpandisha TAA kikosi cha kwanza
Tulimtukana Klopp Kuwa Kumsajili Ki-Jana
Sasahivi tunamtukana Klopp Kuwa Kumsajili Elliot
Tunamtukaba Klopp Kuwa Kumsajili Van Dem Berg

Alimradi munaandika kiti ili kuteke attention za watu tu.

Hebu soma tunavyoandika humu!

Kama hujui Wachezaji tunaowasema Directly Kuwa ni Wabovu hawarufai waondoke ni 3 tu.

1) Henderson
2) Lallana
3) Lovren

Lakini hakuna aliyewahi kumtukana au kumshambulia Milber.

Tunachokosoa na kukikataa ni Combi/Mido ya MILNER - HENDO tu ambayo maranyingi haileri matokeo Positive.

Lakini hatukuwahi kumtukana au kumkosoa Milner as Milber.

Post vitu vyenye kueleweka bro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom