Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii raundi ya kwanza umalizi ukiwa apo juu ..mpaka desemba either tutakuwa sawa or tutakuwa tumekutangulia...

Kila la kheri Chelsea
ushindani ukiwa kama ulivyo sasa hata ligi inanoga zaidi ndugu, mpambane kwanza kuwapiku Foxes na Citizen ndio sasa muanze kujipanga zaidi kutushusha tulipo...
 
The boy is fighter .... Mnaona anavyokaba nyuma

Mane ni hatari saja
Mane is the our player pound for pound so complete....

zile tackle mbili Mkuu zilituokoa...

Mane akicheza upande wa kulia anakua na impact katika defence lakini sasa kwenda mbele hua anafaa zaidi akitokea kushoto aisee...


goli lake la 50 akiwa na majogoo aaa so many to come
 
IMG_6415.JPG
 
Mourinho unamuonaje kwani mbona yupo vizuri
1. the fella is arrogant and full of himself. we're the polar opposite.
#mismatch = #disharmony.

2. his negative football will not sit well with us (recall Benitez even after lifting the UCL we still wanted him to do more in terms of attacking football, which led him to recruit Torres. Mourinho may not be as obliging. #disharmony).
 
Hivi ndivyo nijuavyo:
Miezi 8 ya awali:
Klopp aliingia Liverpool oktoba katikati, baada ya sare ya kutofungana na Everton.
Alikataa kubadilisha wachezaji aliowakuta, akisema wachezaji ni wazuri na ni jukumu lake kama mwalimu kuwafanya wacheze Vyema.
Kwanza aliwatathmini mchezaji mmoja mmoja.
Pili akatathmini timu nzima.
Hivyo, alianza na kubadili mfumo wa uchezaji.
Aligoma katakata kununua au kuuza mchezaji dirisha la January lilipofunguliwa.
Timu iliingia fainali mbili. Ile ya League cup ambapo ilifungwa na city kwa penalty na ile ya Europa league ambayo timu ilifungwa na Sevilla 3 - 1.
Msimu wa kwanza proper:
Klopp aling'amua matatizo yafuatayo:-
1. Kukosa 'urefu' eneo la ulinzi na kati - akamleta Matip
2. Kukosa uimara eneo la kati - akamleta Wijnaldum
3. Kukosa kasi eneo la mashambulizi - akamleta Mane.
Lengo likawa Liverpool iingie top 4. Hilo likafanikiwa.
Msimu wa pili proper:
Lengo likawa timu ijikite katika top 4, na pia ikiwezekana ichukue kikombe chochote kile.
Akaongeza height katika eneo la ulinzi na kasi mbele.
Akawaleta Salah na January VvD.
Pia alibadilisha baadhi ya wachezaji nafasi zao.
Timu ilifika fainali ya UCL na pia kufanikiwa kuwa katika top 4.
Msimu wa tatu proper:
Lengo lilikuwa kuwa bingwa wa EPL na ikiwezekana kurudi tena fainali UCL.
Alimuongeza Keita na Fabinho. Lengo kuleta structural stability na kuwa na strong spine katika timu.
Timu ilikosa kuwa bingwa wa EPL kwa pwenti moja na kufanikiwa kuwa bingwa wa Ulaya.
Sasa hebu tuambie mikakati ya Ole ikoje na inafananaje na hii.
At least Unai Emery anaonakana tayari ametanabahi kosa lake na sasa anaanza kujenga timu.
Lampard is a better coach than Ole!
 
Hivi ndivyo nijuavyo:
Miezi 8 ya awali:
Klopp aliingia Liverpool oktoba katikati, baada ya sare ya kutofungana na Everton.
Alikataa kubadilisha wachezaji aliowakuta, akisema wachezaji ni wazuri na ni jukumu lake kama mwalimu kuwafanya wacheze Vyema.
Kwanza aliwatathmini mchezaji mmoja mmoja.
Pili akatathmini timu nzima.
Hivyo, alianza na kubadili mfumo wa uchezaji.
Aligoma katakata kununua au kuuza mchezaji dirisha la January lilipofunguliwa.
Timu iliingia fainali mbili. Ile ya League cup ambapo ilifungwa na city kwa penalty na ile ya Europa league ambayo timu ilifungwa na Sevilla 3 - 1.
Msimu wa kwanza proper:
Klopp aling'amua matatizo yafuatayo:-
1. Kukosa 'urefu' eneo la ulinzi na kati - akamleta Matip
2. Kukosa uimara eneo la kati - akamleta Wijnaldum
3. Kukosa kasi eneo la mashambulizi - akamleta Mane.
Lengo likawa Liverpool iingie top 4. Hilo likafanikiwa.
Msimu wa pili proper:
Lengo likawa timu ijikite katika top 4, na pia ikiwezekana ichukue kikombe chochote kile.
Akaongeza height katika eneo la ulinzi na kasi mbele.
Akawaleta Salah na January VvD.
Pia alibadilisha baadhi ya wachezaji nafasi zao.
Timu ilifika fainali ya UCL na pia kufanikiwa kuwa katika top 4.
Msimu wa tatu proper:
Lengo lilikuwa kuwa bingwa wa EPL na ikiwezekana kurudi tena fainali UCL.
Alimuongeza Keita na Fabinho. Lengo kuleta structural stability na kuwa na strong spine katika timu.
Timu ilikosa kuwa bingwa wa EPL kwa pwenti moja na kufanikiwa kuwa bingwa wa Ulaya.
Sasa hebu tuambie mikakati ya Ole ikoje na inafananaje na hii.
At least Unai Emery anaonakana tayari ametanabahi kosa lake na sasa anaanza kujenga timu.
Lampard is a better coach than Ole!

Mkuu umetema madini ya Diamond lakini post yako nahisi kama imelenga kupostiwa jukwaa la Man United
 
Hivi ndivyo nijuavyo:
Miezi 8 ya awali:
Klopp aliingia Liverpool oktoba katikati, baada ya sare ya kutofungana na Everton.
Alikataa kubadilisha wachezaji aliowakuta, akisema wachezaji ni wazuri na ni jukumu lake kama mwalimu kuwafanya wacheze Vyema.
Kwanza aliwatathmini mchezaji mmoja mmoja.
Pili akatathmini timu nzima.
Hivyo, alianza na kubadili mfumo wa uchezaji.
Aligoma katakata kununua au kuuza mchezaji dirisha la January lilipofunguliwa.
Timu iliingia fainali mbili. Ile ya League cup ambapo ilifungwa na city kwa penalty na ile ya Europa league ambayo timu ilifungwa na Sevilla 3 - 1.
Msimu wa kwanza proper:
Klopp aling'amua matatizo yafuatayo:-
1. Kukosa 'urefu' eneo la ulinzi na kati - akamleta Matip
2. Kukosa uimara eneo la kati - akamleta Wijnaldum
3. Kukosa kasi eneo la mashambulizi - akamleta Mane.
Lengo likawa Liverpool iingie top 4. Hilo likafanikiwa.
Msimu wa pili proper:
Lengo likawa timu ijikite katika top 4, na pia ikiwezekana ichukue kikombe chochote kile.
Akaongeza height katika eneo la ulinzi na kasi mbele.
Akawaleta Salah na January VvD.
Pia alibadilisha baadhi ya wachezaji nafasi zao.
Timu ilifika fainali ya UCL na pia kufanikiwa kuwa katika top 4.
Msimu wa tatu proper:
Lengo lilikuwa kuwa bingwa wa EPL na ikiwezekana kurudi tena fainali UCL.
Alimuongeza Keita na Fabinho. Lengo kuleta structural stability na kuwa na strong spine katika timu.
Timu ilikosa kuwa bingwa wa EPL kwa pwenti moja na kufanikiwa kuwa bingwa wa Ulaya.
Sasa hebu tuambie mikakati ya Ole ikoje na inafananaje na hii.
At least Unai Emery anaonakana tayari ametanabahi kosa lake na sasa anaanza kujenga timu.
Lampard is a better coach than Ole!
Lukub
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom