Huyu ni Kops halali
Wewe timu gani kwanza tuanze na hiloNinyi liverpool muda wenu huu karibu sana.
Ohooo ngoja kwanza aje mkuu wa mkoa...Vs Leicester
Front three iwe ivi
Mane. Firmino. Shaqiri
huyu salah tunamlea sana ni bora akae benchi huenda akajirekebisha
Sidhani kama aweza pata namba huyu kwenye kikosi cha kwanza cha juve, Bayern,Barcelona,hata arsenal pia
Nadhani ni kijembe kwa Pep nae ana tabia hiyo ya kuachia video za vyumbani hasa wakishinda!'Mkiachia Video naondoka' .
Jurgen Klopp amesema kwamba ataondoka klabuni endapo Liverpool wataachia video akiwa anaongea na wachezaji wake wakati wa Mapumziko baada ya Salzburg kuachia video ya kocha wao Jesse Marsch akiwa na anaongea kwa hisia sana na wachezaji wake wakati wa mapumziko kwenye mechi ya UEFA dhidi ya Liverpool .
Klopp amesema kwamba hatovumilia kitendo kama hiko endapo Liverpool wakifanya hivyo.
.
.
. " Kama LFCTV wakiweka hadharani video yangu nikiwa nafanya hivyo, nitaondoka klabuni . Huo ndio ukweli na hilo ndio wanaweza kusema kuhusiana na hali hiyo ."
Hahahaha mze baba mimi ni fundi balaa acha kabisa ..kama ningeendeleza udambwi udambwi ningekuwaga Chelsea saivi ..Sema mambo ni mengi tuu..Sawa kocha wetu wa kikosi cha liva jf
Inabidi siku tufanye bonanza na majukwaa mengine ya sport
Itanoga sana !
Ntatamn nimwone ollachuga anavyosakata mandombo![]()
Hahahahahahahahahahahahhahahaaiseeeeeeeeeeeeeeeh kuna majitu yana mavitambi lakini mdomoni yapo vizuri hahahahahahahahahahahahaha
Awa tunawahesabia mechi tu..Ninyi liverpool muda wenu huu karibu sana.



Allison msimu huu ana cleansheet?Hatimae kipa bora wekendi hii anatarajiwa kuwa kikosini...
welcome back Allison, we missed your clean sheets lucky us the standby keeper done us wonders in your abscence...
Akirud tu anaanza kuzipataAllison msimu huu ana cleansheet?
Ila we jamaa bhanaHahahaha mze baba mimi ni fundi balaa acha kabisa ..kama ningeendeleza udambwi udambwi ningekuwaga Chelsea saivi ..Sema mambo ni mengi tuu..









unaweza kuona ni maneno ya kawaida ila sisi wana psychology tunasema hivi hii n mbinu ya kuwajaza kichwa lecister waone wapo bora huku yeye kaficha makucha ili awamalize mapema, nasemaje camooon lecster ,anasifia silaha zenu anawapa kichwa kumbe anawalia target awamalize, 

najua klop anakupa sifa, anataka usimfunge,