Kwa man city hii nimeyoiona leo
Na hivi vyuma vya liverpool,
Liverpool anaenda kumupiga gori za kutosha city, ukiaangalia kwa umakini kabisa, city ni timu moja mbovu sana ,sio kwamba haina wachezaji wazuri, ila hao majembe wa city hawana uchu kabisa,hawanauchungu na timu, utagundua wanajichezea chezea mpira just for leasure, tofauti kabisa na liverpool ambayo mtu unamwona kabisa huyu anacheza do or die, ukicheki kikosi chote cha liverpool n watu wanaojituma sanaa, tena kwa ustadi mkubwa,
Man city anaenda kupigwa gori za kutosha na liverpool, ni swala la muda tu