Uzazi wa Mpango
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 1,382
- 1,232
Naanza kukumbusha na ile long ball ya FabinhoJana nimecheki mpira na nilikuwa sijalewa kabisa, mbona sijaona hizo clear chance alizokosa?
Naanza kukumbusha na ile long ball ya FabinhoJana nimecheki mpira na nilikuwa sijalewa kabisa, mbona sijaona hizo clear chance alizokosa?
Naanza kukumbusha na ile long ball ya Fabinho
Hivi nyie mkipenda baadhi hamtaki waambiwe madhaifu yao sio...mbona kila kukicha mnawasema kina hendo ila wakiguswa wengine mnakua mbogoJana nimecheki mpira na nilikuwa sijalewa kabisa, mbona sijaona hizo clear chance alizokosa?
Ulitaka abaki na nyavu sio?ok nimekuelewaDah, tayari ushaita long ball, huwa haina mwenyewe hiyo,
We jamaa bhana 😅😅😅😅Hatari sana Baba Swalehe yuko vizuri mnoo ..sisi wengine wa dasaa la saba tupambane na khali zetu
Kila la kheri Chelsea![]()
Yaah kaka wachache tumejitoa sadakaall the best ndugu hakika ma neuro s wanahitajika kwa wingi maaana kuna uhaba...
wish you the very best comrade...
Unaposema timu inapata matokeo yasiyokuridhisha unamaanisha nn!!? Ni matokeo gan ambayo unaona ww hayakupasa kuwa vile.Kumbuka timu zote tunazokutana nazo zinakuwa zimejiandaa vya kutosha ili kuhakikisha zinapata matokeo..... Na wanapata hasira sana hasa pale wanapokwama kupata matokeo kutoka kwetu...... Nikuambie kwa sasa hakuna timu ambayo haipendi kupata matokeo kutoka kwa Liverpool kwa sababu ya ubora ambayo Liverpool inayo..... Kwa maana kama timu itapata matokeo kutoka kwa Liverpool inakuwa imejiconsider kama ina muelekeo mzuri coz ni timu bora kwa sasa..... Kwa hyo ndgu tegemea kukutana na mechi ngumu sana hapo mbele yetu... Kila tunayekutana nae atakaza sana hata kama ni wa daraja gani afu wanacheza kwa umakini mkubwa sana kuogopa wasijefanyiwa kitu kibaya cha uzalilishaji.... Timu yetu ni bora kwa sababu inapata matokeo kwa nyakati zozote zile... Uwe ni mgumu ama sio mgumu..... Kama timu ingekuwa mbovu jana tungelazimishwa sare. Matokeo ambayo yangekuwa mabovu sana zaid kwetu... Lkn wachezaji wamejitahid na tumepata matokeo..... Kwangu naona tunapata matokeo mazuri japo tunapitia kipindi kigumu ambacho kila timu inakuwa chonjo kutokana na ubora ambao tunao kwa sasa.... #TIMU BORA INAPATA MATOKEO KWA NAMNA YOYOTE ILE.....!!!
Genk alishinda au ..
Hii Liverpool hata Genk atapata point..
Kila la kheri Chelsea![]()
Bora dunia nzima. Kama una hoja leta.Beki bora VVDView attachment 1222574
Na magwaya ndo beki ghali duniani au hujui hilo!!!?Unajua kwanini....?? Kwa sababu mapambio ni mengi kiasi kwamba yeye ni beki bora kabisa duniani... Hatutegemei hayo kwa beki kisiki/stopper bora kabisa.
Magwaya ndio beki ghari dunianiUnajua kwanini....?? Kwa sababu mapambio ni mengi kiasi kwamba yeye ni beki bora kabisa duniani... Hatutegemei hayo kwa beki kisiki/stopper bora kabisa.
Umeongea factsLiverpool msipochanga karata zenu vizuri huenda mkatolewa group stage.
Kuna uchovu unawanyemelea mastaa wenu kutokana na kucheza game nyingi mfululizo bila kupumzika.
Mnapocheza game rahisi za ligi mjaribu kuwapa game tamu kina Origi na Shaqiri wawe na match fitness vinginevyo huko mbeleni mtaanza kupoteana.
Sielewi kwa nini umeniquote wakati sijakuuliza weweshoga yake na midfrider
Sijawahi kumkubali huyo magwaya , ukiacha World cup alivyopambana , maana hata pale Leicester yule Soyuchu kaziba pengo lake vzr ,utadhan hakukuwahi kuwepo MTU anaitwa magwaya ,Na magwaya ndo beki ghali duniani au hujui hilo!!!?
Hivi nyie mkipenda baadhi hamtaki waambiwe madhaifu yao sio...mbona kila kukicha mnawasema kina hendo ila wakiguswa wengine mnakua mbogo
Na mimi kwa jana sijaona mistake zake kwa kweli kutoa moja tu nayo huwa wachezaji wengi wanakosa tuSikatai kuhusu usemayo kwa Mo, tatizo ni game ya jana unavyomsema,