Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Brother una mipasho sana utadhani game unaangalia peke yako...Salah bado hayupo kwenye rythm yake anakosa clear chances nyingi na kushindwa kufanya maamuzi sahihi awapo na mpira

Anayekosa nafasi nyingi lakini akafunga Magoli Mawili ni bora kuliko yule asiyekosa nafasi nyingi lakini hafungi goli hata moja
 
Sikatai kuhusu usemayo kwa Mo, tatizo ni game ya jana unavyomsema,

Mkuu huyo Liverpool nzima kwakr mchezaji ni Origi tu! Sasa kelele zote hizo ni kwanini Salah haekwi benchi anachezeshwa Origi tu?

Sasa sijui kocha gani Dunia hii atakae mueka Benchi Salah Kwa kumchezesha Origi?
 
Huyu jamaa ni Kama Zouma tuu
6de933ec-08a3-4205-bfde-371aa5d4b84a.jpg
 
Tumepata matokeo timu ipo vizuri, kikubwa beki line hasa full beki zetu ziwe zinagawa Muda wa kupandisha mashambulizi kuliko kushambulia muda Wote

Hii inawafanya wachoke hivyo kuwapa tabu CB mfano jana Robb na TAA walikuwa wanachelewa kurudi matokeo yake VVD akawa anafanya Kazi za watu watatu ukizingatia Gomez ametoka majeruhi hana fitness ya kutosha

Pia wachezaji wanaonekana wana uchovu sana lazima tuwape nafasi wengine
 
Mkuu huyo Liverpool nzima kwakr mchezaji ni Origi tu! Sasa kelele zote hizo ni kwanini Salah haekwi benchi anachezeshwa Origi tu?

Sasa sijui kocha gani Dunia hii atakae mueka Benchi Salah Kwa kumchezesha Origi?
Umeamua kunilisha maneno sio...jaribu kuona uhalisia kwanamna gani Salah makali yake yamepungua ambapo sio kitu kigeni kwa wachezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom