Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Na Kuwa kukumbushia tu ingawa Partnership ya VVD-MATIP kwasasa ndiyo inayoonekana Kuwa positive, But hii sio sababu inayoweza kumfanya Gomez aonekane ni Mbovu! Gomez yupo vizuri tu ila tatizo lake hana Match Fitness since alipotoka kwenye longtime injury.
Kwahiyo watu wasije wakamdharau Gomez kwa mechi ya jana tu.
Kwahiyo watu wasije wakamdharau Gomez kwa mechi ya jana tu.

VVD aliomba game iishe
