Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

My team for MK DONS
Kelleher

Hoever Lovren Gomez Milner


OX Lallana Keita


Shaqiri Brewster Elliot

Yani kama tumewaza shirika isipokuwa hapo alipo Lallana ningependa aekwe Curtis Jones
Yani iwe

OX - KEITA - CURTIS JONES
 
Mchezaji kama Keita na OX ni enough kwa Back up kwenye Midfield iwapo tu hawatokuwa na injuries za Mara kwa Mara! But Front 3 ni ukweli usiofichika kuwa hawana Backup kwasasa.

Watu wengi wanaangalia kuwa Origi na Xhaqiri ni Back up ya Mane, Bobby na Salah blindly kwa kuhadalika na Magoli ya Origi aliyofunga CL.

Lakini ukweli ni kwamba Origi na Xhaqiri ni aina ya wachezaji wa Carabao na FA... Origi anakufurahisha mechi 2 then anapotea mechi 10. Ikisha anakuja kuibuka tena kwa mechi 3 tena, then anapotea tena mechi 12. Hana consistency ya uhakika.

Kwasasa young Defenders tunao wa kutosha hatuhitaji usajili wa Defenders coz hata Senior defender yupo GOMEZ kwa Backup. But kwenye DM tunahitaji tusajili Natural Young DM au tumuandae from Academy kwa ajili ya Backup ya Fabinho.

Then AM (8 au 10), pia Central Striker ili kuwapa Muda wa kupumzika Front 3.

Van Dem Berg, Elliott na Ki-jana ni investment nzuri tu kwa Future Plan.

hata Klopp anafahamu Origi sio like for like sub nadhani pia ndio maana hawakua na haraka ya kumpa au kumuongeza mkataba mpaka pale alipofunga magoli muhimu katika mechi muhimu...

Keita na Ox ishu kuu nao ni consistency inayotokana na loss of form kwa muda mwingi kua majeruhi,

Hii 4 3 3 kwa sasa ndio mwokozi wetu, hatuna natural striker wa kutupa 20+ goals per season Firmino sio natural strika ni false 9...Januari tumpate Timo and we are good to go unless huyu Rhian aje atu prove otherwise na kucheza at Top.level we need top players...

Shaqir, Lallanaa bana sio game starter wa kutoboa 1st 11 na kuleta tunayoyapata kutoka kwa hawa starters wetu...

gemu zikianza kuchanganya hili litakuja onekana, actually i say kudos to the BOYS maintainig hii winning mentality and being over used is just superb and awesome...to be very fair they have done us proud sasa nikivaa uzi wangu wa Majogoo i feel that pride and joy knowing kununa sio kama zamani...

If Keita and Ox can stay fit then watatubeba vyema mpaka kufika Jan 2020...

Young defenders wapo wa kutosha sasa kimebaki development yao iwe ya uhakika..natarjia kuwaona Carabao...

we are overworking this lads mpaka basi..ni noma kwa kweli

i FORBID any curse ya majeraha kupita mbali na sisi..

Jan we need a proper Straika na AM mmoja wa nguvu...

i hope by 2020 June Hendo, Lallana, Milner, Shaqir,Lovren watapisha wengine tutee EPL yetu na kikosi kamili...
 
Ni siku nyingi sijaandika chochote humu na majukumu yanazidi kuwa mengi uzee ushapiga hodi hahahhahaaahha.


Kwa sasa tuna kikosi kizuri ila kidogo rotation inakuwa ndogo nadhani hivyo ndo Klopp alivyo hata alipokuwa dortmund kikosi chake kilikuwa kina tabirika na akiumia mmoja tu habari imeishia hapo

Kwenye final ya ucl vs bayern akiwa na dortmund mpaka wanaingia alikuwa na wagonjwa kama siyo watatu basi wanne na Mario Gotze ndo hakucheza kabisa ile final alipigwa sehemu kubwa ni majeruhi.

Chelsea Vs Liverpool, Napoli Vs Liverpool

Nitatumia hizi mechi kama reference point ya huko tuendapo

- Tangu tumeachana na Gengenpress mfumo wetu wa uchezaji umebadilika saana tumekuwa tukitumia full backs wetu kwenye kutengeneza magoli na nafasi in attacking which allows our front three kucreate, scoring au kuassist ukiweza kuwazuia TAA na ROBBO kupanda mbele basi umetuua kirahis saana na kama tulikuwa hatujafunga utashinda ila kama tulikutangulia kama chelsea unaweza pata draw.

Alichotufanyia Lamoard jana kipindi cha pili ni sawa na alichotufanyia Carlo naples alizuia full backs na midfield yetu ikafa kilichofuata kipigona Lampard hivyo hivyo alipiga pin our explosive fullbacks mido na fronts three ikafa Henderson na Gini wakapotea akabakia Fabinho tu hapo hakukuwa na namna nyingine ilikuwa LAZIMA tu Milner aingie asaidie kwenye kukaba maana hatukuwa na midfield wa kudrive mipira mbele.

Jana front three yetu yoote ilikuwa imekufa siyo Mane Salah wala Firmino, they were losing ball easily tukumbuke kuwa hawa front three wanacheza week in week out huu msimu wa tatu with very little rotation.

- Kama opponents(isipokuwa Pep) wetu wataiga pattern ya Lampard na Carlo basi tutakuwa na hali mbaya kama hatutasajili january Mido ya kukaa kupanda na mpira Coutinho type, Isco au Keita asipate majeruhi nina imani hata pata Matip nae alikuwa akiguswa tu nje.

We are at crossroad, we have to choose epl over other trophies au tukomae kote
 
hata Klopp anafahamu Origi sio like for like sub nadhani pia ndio maana hawakua na haraka ya kumpa au kumuongeza mkataba mpaka pale alipofunga magoli muhimu katika mechi muhimu...

Keita na Ox ishu kuu nao ni consistency inayotokana na loss of form kwa muda mwingi kua majeruhi,

Hii 4 3 3 kwa sasa ndio mwokozi wetu, hatuna natural striker wa kutupa 20+ goals per season Firmino sio natural strika ni false 9...Januari tumpate Timo and we are good to go unless huyu Rhian aje atu prove otherwise na kucheza at Top.level we need top players...

Shaqir, Lallanaa bana sio game starter wa kutoboa 1st 11 na kuleta tunayoyapata kutoka kwa hawa starters wetu...

gemu zikianza kuchanganya hili litakuja onekana, actually i say kudos to the BOYS maintainig hii winning mentality and being over used is just superb and awesome...to be very fair they have done us proud sasa nikivaa uzi wangu wa Majogoo i feel that pride and joy knowing kununa sio kama zamani...

If Keita and Ox can stay fit then watatubeba vyema mpaka kufika Jan 2020...

Young defenders wapo wa kutosha sasa kimebaki development yao iwe ya uhakika..natarjia kuwaona Carabao...

we are overworking this lads mpaka basi..ni noma kwa kweli

i FORBID any curse ya majeraha kupita mbali na sisi..

Jan we need a proper Straika na AM mmoja wa nguvu...

i hope by 2020 June Hendo, Lallana, Milner, Shaqir,Lovren watapisha wengine tutee EPL yetu na kikosi kamili...
Mkuu kwenye issue ya Striker tu sahau kwa sasa hawa front three wetu We are equally cursed and blessed sidhani kama kuna top striker atakaekubali kubali kuja na anajua kabisa kuwatoa ni mzk ataishia kuwa bench warmer hapa nadhani ni kuwa na mido iliyofit au kuwa na attacking mido
 
Mkuu kwenye issue ya Striker tu sahau kwa sasa hawa front three wetu We are equally cursed and blessed sidhani kama kuna top striker atakaekubali kubali kuja na anajua kabisa kuwatoa ni mzk ataishia kuwa bench warmer hapa nadhani ni kuwa na mido iliyofit au kuwa na attacking mido

Top Striker wa Kutupa 20+ goals kwenye EPL akitakiwa basi atakuja! Fikiria Barcelona inawachezaji kama Messi, Dembele, Coutinho, Suarez na Still mchezaji akitakiwa anaenda bila ya kujishauri...

Juventus kwenye Mido ina watu kama Matuidi, Pjanic, Khedira and c.o. Lakini still Emre Can kaenda, Ramsey kaenda, Haikutosha pia yule mjinga wa PSG kaenda kujiunga ambapo wote wameishia kuekwa Benchi.

Kwahiyo nasisi Striker wa kutupa goli 20+ in only EPL tukifikia dau atakuja na uhakika wa kucheza upo kwani Klopp atavunja False 9 na kumchezesha traditional Namba 9.

Mkuu Front 3 sio kwamba ni irreplaceable, ni Wakawaida tu na wanaweza kuwa replaced na Mtu ambaye ataperform kama wao au kuliko hata wao.

Coz wanayoyafanya sio kwamba wana vipaji vya kutisha Bali wapo chini ya Mtu anayeitwa Klopp.

Na Ndoyomana Bobby akienda Timu kama Barcelona au Real Madrid atageuka Coutinho kwa kuflop na atapotea labda aende na Klopp wake.

Kwahiyo Hata Timo Werner akija Liverpool basi anaweza kushine kuliko hao Front 3 waliopo.
 
Mkuu mi naona hawa wasisubiri Carabao....our main Sub pale mbele ni Origi ambae ameumia naona ni wakati mwafaka hawa mandogo wawe intergrated in the 1st squad wapate minutes...jiuize akiumia Man or Salah nini kitafuata...Lallana is crap, Ox pale front sio an ox kama akiwa AM....kwa kweli we are sitting on th edge kila gemu ikiisha bila injury we say THANKS..
Aisee Ndo nilikuwa najifikiria hcho Yani zile pre season walivyokuwa wanapewa nafasi ingeendelezwa game moja moja yule Salah sometime anasababisha game ya kufunga goli 6 tunapata 2 ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom