Mkuu sio siri tuongelee kimpira kuhusu hichi Kikosi cha Wachezaji 10 (exclude GK)
MANE - BOBBY - SALAH
GINI - FABINHO - SALAH
ROBBO - VVD - MATIP - TAA
GK
From last season to this season (2 seasons in total) kikosi hichihichi bila ya kupumzishwa a single player kinacheza kwa kutumia more Energy kuliko kawaida kiasi ya wachezaji wa kawaida wanajituma mpaka tunawaona ni World class.
Je kwa Energy kubwa wanayotumia bila ya kupumziswa (kutokana na kuwa hatuna Benchi la uhakika la kufanya rotation) unahisi huko mbeleni mybe 2022/2023 baada ya Wachezaji kuchoka hatutokuja kuanguka?
Mfano mdogo baada ya Mane na Salah kujituma sana katika michezo 5 ya mwanzoni mwa huu Msimu watazame katika last two mechi vs NAPOLI and CHELSEA wamechoka na wote wawili walikuwa na Poor performance kuonesha kuwa wanahitaji kupumzika.
Na ndiomana kama ingeliwa naweza kutoa Way forward basi ningemshauri Klopp katika hii Jan Window amrudishe Grujic, then summer window asajili at least AM/Namba 10 na Striker mmoja (eg Timo Werner).
Mkuu ni sahihi kwanza tuelewa kwamba Klopp alibafili mfumo kutoka HEAVY METAL football na kuchezea huu wa leo ambao hata jina hauna kwa sasa kutokana na ukweli hakua na wachezaji sahihi wa kucheza August to May all cups same rythym bila kupata majeraha mara kwa mara na wachezaji kuchoka mno...
Japo tuliacha Heavy metal bado ipo shinda ambayo inajitokeza na ni wear and tear ambayo tuliona kule Fabby super cup alikamatika haswa na majuzi tu pale Naples front three couldnt click as they do pale wakiwa wamekaaa wiki nzima bila mechi katikati ya wiki na jana Darajani jana pia tumeona loss of form, loss of concentration kutokana na uchovu...our front three has to do defensive duties when the opponent is attacking sasa jana wote tuliona namna ambavyo wachezaji walichoka...
Klopp ni muumini wa winnng the second ball and attacking with speed kabla mpinzani hajajipanga vyema, sasa ishu ni pale the boys win the ball but nobody to pass to kule mbele akafunge na hata ikitokea basi alipata Salah who is now thinking magoli ya Aguero badala ya timu, shinda kweli...
Firmino hana mbio as Mane and Salah he is main job is to win the second ball and feed Salah or Mane to counter sasa inapotokea Mane and Salah are out of form then we need a plan B and tooooo BAD in the bench hatuna that leisure nor can Klopp change the system so tunabaki hanging by the thread mpaka mechi iishe...ndio maana Salah anapozingua kutoa pasi hua sielewi anawaza nini...
Goli la Kante na goli la pili kule Naples sums its all the boys especially VVD are feeling the demands of playing week in week out....pazuri sasa ndio mechi zinaanza kua nyingi, Carabao hioo tumo....je benchi ina wachezaji kushindana au tu sacrifice this and focous on the big picture well muda utasema...
sasa by the time tufike Jan and Feb unakuta jamaa wapo hoi, they human beings kuchoka loss of form a bad day in th job ipo...na hapo ndio we reallt bottle up....
mshindani wetu Manciti has the luxury of changing all his front three na bado akashinda with ease...Klopp aidha he gamble wt Rhian ama aingie sokoni Jan na si muumin wa kununua Jan but most likely situatiom zitamfanya anunue...
Grujic hakuna kipengele cha yeye kurudi mpaka June 2020 hivyo tutaedelea kua na hawa ma Brexit wetu ndugu....
Sasa hayo 2022 ama 2023 yanatisha kuyawaza aisee maana Klopp ataedelea kusema anapenda kikosi kidogo kama cha sasa bila kuona tuna a very standard bench then Kocha ajaye ataridhi kikosi kilchochoka balaa...umri wa hawa majamaa utamua umesogea...
labda endapo yeye kununua akina Harvey amelenga huko twedako ili kuimarisha kikosi kizima...
all in all we have a very predictable squad na ni rahisi mno wapinzani kutusumbua endapo wao wana resources kama ambavyo Napoli walivyotuonyesha....
Keita need to shake this injury trend hii itampa Klopp new dimension sio tu 4 3 3