Hii game ya Liverpool vs Barca imewamislead wengi
Mtu unamuekea Game zaidi ya 10 kubwa tulizoharibu kwa Mido yenye Combi ya MILNER - HENDO
1) vs Madrid (Fainali UCL)
2) vs Roma (Semi Final UCL)
3) vs Napoli Away (UCL 2018/19)
4) vs Napoli Away (UCL 2019/20)
5) vs Red Star Away (UCL 2018/19)
6) vs PSG Away (UCL/2018/19)
7) vs Man City (EPL 2018/19)
8) vs Manure (EPL 2018/19)
9) vs Barca (UCL 2018/19)
Na mifano mengine mengi tu...
Lakini still Mechi yake moja vs Barca tuliyomfunga 4 kwa Mido hiyo ndiyo imekiwa best example ever kuwa hawa ndiyo Best Mido 1/9 ni hesabu ndogo sana lakini kuna watu wanaifanya hawaielewi.
Haya bhana hii mechi vs Barca tuliyompiga 4 wacha tuifanye ndiyo ya kujifariji milele na milele
Kama mpaka kwa mifano niliyokupa bado hujaelewa udhaifu wa hawa watu! Basi Nainua mikono joo sinauwezo tena wa kudebate na wewe! Itabidi uendeleee tu kujifariji kuwa tulimpoga 4 Barca tukiwa na MILNER-HENDO.