Haya ndio yaliwaponza jana. Kuanzia wachezaji na mashabiki wote wa Arsenal waliamini wao ni Bora kuzidi Man City, Man U, Chelsea na Spurs na Asernal za nyuma ambao wameshindwa kuchukua point 3 Anfield kwa muda mrefu.Mkuu king Jana mmeshinda kwa upumbavu wa kocha wetu, Jana hatujawapa kipimo halisi kabisa
Arsenal hatuna kocha tuna msimamizi wa mazoezi , I miss Arsene Wenger anajua acheze vipi Anfield sio huyu mvuta bangi emery ,
Liverpool msimu huu hampo bora sana, ila jana tumewapa credit sababu ya Upumbavu wa emery ambaye sioni akibaki Arsenal tena kwa poor tactics.
All in all hongereni
Kina Sokratis walifikia level ya kuona washambuliaji wa Liverpool ni dhaifu kuliko wa Barnley. Matokeo yake ndio hayo
Unamfunga Newcastle kwa taabu, Burnley nyumbani kwa shida halafu unategemea kwenda kushinda Anfield?
Na kama unavyosema ni kweli kama Liverpool ingecheza vizuri jana mngekula goli 5
