Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
angalau hawa machali wetu wamekua wanafahamu kukwepa tackles zisizo na maana...pale turf mor sio mahali salama haswa kwa kucreate injuries kwetu!
kasoro Keita ndio bado hajamudu vyema kujikinga maana Epl sio Turf mor mbali ni kote ni mchakamchaka kuumia nje nje...

