Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapana aisee, natamani tucheze zote ili kina Shaqiri nao wacheze, maana kuna muda unakuta wanahitajika huku kwenye games kubwa wanazingua kwa sababu hawana game time.

Nimesema vile kwasababu ya ufinyu wa kikosi chetu ili kuepusha injuries zisizo za lazima na wachezaji kuchoka.

Hebu angalia anatoka Firmino na Mane anaingia Lallana hapa ni kuonesha kuwa hawa Front 3 watachoka mapema kwa kukosa mbadala.

Jana haikuwa Lallana wa kuingia bali ile ni wazi kuwa ilikuwa ni nafasi ya Origi
 
Sijawahi kukosa imani na huyu jamaa tokea ajiunge Liverpool

Niliwahi kudebate na Mtu hapa ambaye nimeshamsahau kuwa Liverpool ndiyo timu yenye Defence bora kwasasa duniani, Nakumbuka alinipinga sana akaniletea habari za Kina Maguire, Pique, Varane, Chiellini and co.

Kwasasahivi ni Gomez tu ndiye uchochoro baada ya kutoka injury
huyu msomali binafsi nilishaona ni super FLOP mpaka anakuja kuniprove wrong alivyoumia Gomez na hakika jamaa hajarudi nyuma kiwango chake ni bora kabisa na parnership yake na VVD imetulia mno...
 
VVD
skysports___B1jr1E0gsxZ___.jpeg
 
Leo kwakweli kabla ya zile crazy subs hakukuwa na mchezaji wa Liverpool aliyecheza vibaya!

Leo wachezaji wetu wote walionesha performance ile tunayoihitaji hasa (Mainly First Half).

Hata Gini naona leo kapiga mpira wa uhakika.
kule upande wa kulia ndio siku za karibuni kumekua uchochoro lakini jana Ganaz walitukaribishe tufanye mashambulizi na wao wapige counter hilo kwetu likawa ni blessing in disguise maana tulihitaji vile ili wachezaji wetu warudi kwenye makali esp TAA, Gini, Faby...

huwezi ukaja Anfield ukaribishe mashambulizi vile aafu utoke salama...

i salute TAA kwa kiwango kuanza kurejea, Gini jana kaonyesha why Klopp always put him first, combination ya Matip VVD imetulia...Hendo jana hajatuangusha its like the whole team raised to the occasion....Adrian wow guys loooks damn cool to be the back up...

kudos to the team and the fans...YNWA

Firmino my boy that pass iliyosababisha penati was just superb...Mane made sure attacking threat ws constant...Salah th King again proved the hero that turn to score his second ws delicious to watch...
 
angalau hawa machali wetu wamekua wanafahamu kukwepa tackles zisizo na maana...

kasoro Keita ndio bado hajamudu vyema kujikinga maana Epl sio Turf mor mbali ni kote ni mchakamchaka kuumia nje nje...
ila wale jamaa wa turf more huwa wanacheza mpira wa nguvu mno na kukaba kwa papara mno ukilinganisha na timu nyingine ndio maana ninaogopa sana kwamba wanaweza kutusababishia injuries
 
ila wale jamaa wa turf more huwa wanacheza mpira wa nguvu mno na kukaba kwa papara mno ukilinganisha na timu nyingine ndio maana ninaogopa sana kwamba wanaweza kutusababishia injuries

yule kocha wao Sean ni muumini wa old school england football hata ukiangalia wachezaji wake wote utamwelewa staili ya uchezaji wake...

hatuna namna pointi tatu away tunahizihitaji tumalize mwezi huu kwa pointi 12 safi kabisaaaa..
 
Nimesema vile kwasababu ya ufinyu wa kikosi chetu ili kuepusha injuries zisizo za lazima na wachezaji kuchoka.

Hebu angalia anatoka Firmino na Mane anaingia Lallana hapa ni kuonesha kuwa hawa Front 3 watachoka mapema kwa kukosa mbadala.

Jana haikuwa Lallana wa kuingia bali ile ni wazi kuwa ilikuwa ni nafasi ya Origi


Naielewa hiyo concern, ila natamani sana kuwe na mashindano ambapo hao kina Origi, Shaqiri, Keita, Lallana, Gomez, Ox, wawe wanacheza muda mwingi ili hata ikihitajika kuingia kama sub EPL au UEFA wawe fit.

Ni very rare kupata mtu wa aina ya Origi last season, kwamba anakaa sana benchi akiingia anakichafua. Tuwape muda wa kucheza, na it is possible kama tuko kwenye hizo FA na Carabao.
 
nadhani kwa kikosi cha jana mahesabu ya Unai ni kama vile alishaona Anfield hachomozi na ushindi hivyo jicho lake likawa kuwasubiri Spurs wekedi ijayo nyumbani....
kocha kazingua sana,ila nafikiri unachokisema ndicho kilikuwa akilini mwake,yule muhindi aiseh bora ya WENGER....babu katika game kama ya jana na kikosi kile asingefanya makosa ya kifala kama yale...yeye angetandaza soka tu kama utamaduni wetu lakini gabachori yeye anazuia tu nyambaf kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom