Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

7 - Mohamed Salah has been directly involved in seven goals in his six Premier League appearances against Arsenal (five goals, two assists), scoring in all four of his home games against them. Dominated.
IMG_20190824_212825.jpeg
 
Vijana wamepambana na tumepata point 3 muhimu...mwanzo mzuri hasa kipindi hiki wakati timu zote bado Zipo fresh(mwanzo wa msimu).
Salah amecheza poa Sana leo tumepata goli mbili kutoka mguu wake wa kushoto...matip katisha Sana huyu jamaa hapati tu sifa anayostahili Ila ni bonge la beki.

Next ni trip ya turf mor..opfully tutaenda kuchukua point nyingine tatu inshallah.
 
Baada ya Liverpool, arsenal ni timu pekee ambayo sijawahi kuiombea mabaya labda tukicheza nao...na leo wangekuwa makini(pepe)dk za kipind Cha Kwanza wangeweza kuongoza au kupata zaidi ya walichokipata....
So watu wangu wa arsenal msikate tamaa hiyo sehemu mlipigiwa haijawahi kuwa salama Sana kwa timu nyingi kwenye epl tokea 2017..
Kiufupi mpo vizur an nawaona kabisa NDANI ya top four msimu huu.
 
Yani Alipoingia Lallana niliondoka kwenye TV nikamwbia Mke wangu anitayarishie Chakula cha usiku tu nile nilale.

Yani kocha uliyebeba CL mpaka leo unatumainia mchezaji kama Lallana? Kwakweli mpaka sasahivi ninajiuliza lengo la kuingia Lallana hasa ni nini? Soccer Management?
Aaaaaaaah, hahahahahah, kwakweli ile ilikuwa ni sub ya ovyo kuwahi kutokea tangu soka lianze
 
Baada ya Liverpool, arsenal ni timu pekee ambayo sijawahi kuiombea mabaya labda tukicheza nao...na leo wangekuwa makini(pepe)dk za kipind Cha Kwanza wangeweza kuongoza au kupata zaidi ya walichokipata....
So watu wangu wa arsenal msikate tamaa hiyo sehemu mlipigiwa haijawahi kuwa salama Sana kwa timu nyingi kwenye epl tokea 2017..
Kiufupi mpo vizur an nawaona kabisa NDANI ya top four msimu huu.
Upo sahihi brother arsenal ni ndugu zetu wa hiyari
 
Yani Alipoingia Lallana niliondoka kwenye TV nikamwbia Mke wangu anitayarishie Chakula cha usiku tu nile nilale.

Yani kocha uliyebeba CL mpaka leo unatumainia mchezaji kama Lallana? Kwakweli mpaka sasahivi ninajiuliza lengo la kuingia Lallana hasa ni nini? Soccer Management?
Klopp huwa ana mishe za ajabu sanahuyu

Jamaa nadhani itakua mihemko ya ushindi
 
Yani Alipoingia Lallana niliondoka kwenye TV nikamwbia Mke wangu anitayarishie Chakula cha usiku tu nile nilale.

Yani kocha uliyebeba CL mpaka leo unatumainia mchezaji kama Lallana? Kwakweli mpaka sasahivi ninajiuliza lengo la kuingia Lallana hasa ni nini? Soccer Management?

Mkuu Baada ya kuingia huyo lallana,Arsenal walikuwa wanafanikiwa kuanzia mashambulizi nyuma bila pinga mizi lolote. Kamuingiza akacheze namba ya firmino.bora hata angeingia big shaq.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom