Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Midfield yetu dah! Ni masikitiko kabisa.. Yani mpaka kwa Soton tumekuwa invisible?
 
Game ya leo tuna wachezaji 7 tu dhidi ya 11 wa Soton.

1) Adrian
2) TAA
3) Matip
4) VVD
5) Tobbo
6) Milner (Angalau)
7) Mane

Lakini 4 hawamo uwanjani
1) Gino
2) OX
3) Bobby
4) Salah
 
Dah! Hakuna lisilofaa! Huyu anajitahidi kulingana na uwezo wake, Tatizo lake kubwa lipo kwenye kuanzisha mipira tu.
Pia hawezi kuplay ball by foot hasa pale anapopewa Back pass.

Hope ataendelea kuwa na Confidence
 
Poor half.

Bad form kuhusiana na First halves, inaendelea.. (City/Norwich/Chelsea)..

The *high line* defence haifanyi kazi, useless setup.

Gini & Milner having a shocker. cant say i'm suprised.


Get Faby on the pitch, in the 2nd half, try to control possession & form a compact midfield, stop Soton ball progression and off-ball pressing kwenye open spaces.


Mane, bailing us out again.


Hope, we'll have a good 2nd half. fingers crossed.
 
Ili mradi tupate point 3 muhimu mengine tutaendelea kurekebisha huko mbele an kwa kiasi Fulani nilitegemea wachezaji kuwa hivi baada ya game ya jumatano..naombea tushinde tu sitaki hata kuwalaumu hawa wachezaji maana wanachoka sana.

Sadio mane Kama kawaida hajawai kutuangusha.tuombe mungu huu msimu asipate tatizo nahisi ndio atatutoa kimasomaso maana Ana mapafu ya mbwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom