The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
nakubaliana na wewe Chelsea mna fan base kubwa kuliko sisi.Mkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
#Let's talk about success

