Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mike Edwards having a shocker this summer.

failed to sell Wilson/Kent/Lallana etc,

Now failing to offload Lovren too, pulling out because Roma cant pay £15m, nani mwenye akili timamu atatoa hicho kiasi kwa beki aina ya Lovren? a 30 year old shit CB with record mbaya ya majeruhi..

Lovren kubaki kwenye Team, kunaharibu Plans za Klopp, anataka kuanza kuwaingiza kina Ki jana/VDB kwenye first squad taratibu, sasa kama Lovren akibaki, there's no way kina Ki-Jana/VDB wataanza kabla yake, he's a 100k per week invesitment, so we'll be forced to play him, and i can guarantee you akibaki this summer, ataishia kutu-cost kwenye game moja muhimu sana.
Lovren jamani apelekwe under 23 huko maana huyu hua namuona kama betri la lori la Moro anytym anaharibu....mpaka Klopp kaamua aodoke alishaona hana jipyaa....ohhh how i wish Hendo/Milli huu nae uwe msimu wa mwisho...we need space ya akina Grujic...

Lovren kwa kweli huu mshahara sio haki yake kamweee yaaani how lucky can its get kama hivi..
 
Hii team haikupaswa kuwa na uzi humu ndani #mashabiki zake wengi wamekufa miaka ya 70 na 80
 
Mna kikosi dhaifu sana ..allison, Adrian wote hakuna ..VVD keshaanza kuchoka, Salah naye ivyo ivyo, firmino hana sumu yeyote ya kutisha ..apo kati fabihno anapwaya, milner mzee ..Ox, Keita ..ni wahudhuriaji bora wa hospital.. Mane kwa mbaali ndo anaibeba Liverpool ..Gomez, matip ni wachezaji wa kuapanda na kushuka, shaqir ni bench wormer mnategemea nin tena? Kama Chelsea ya akina Tomori, Mount, Tammy, Zouma, imewatoa kamasi akina Salah mkikutana na giant club kama Barca(mtasingizia mliifunga), Juventus, Spurs na madogo kama akina Wolves, Leicester, aise...
Mmeanza maneno ?
 
Yani hawa jamaa bana. Washajiona ni title contenders
Mm nawachora tu , maana sisi wahafidhina wa EPL ,sio wageni wa man u , na timu yao tuliona ilivyopoteana kwa hii Chelsea kabla hawajaja kupata magoli baada ya Zuma kuchomoa betri.
 
IMG_6127.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom