SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Posts mbili tu nikajua ni mtu wa namna gani. Nikapunguza mazingatio.Mkuu umekuja kwa kasi sana ,OK maadamu sheria za jf zinakupa Uhuru wa kuropoka ropoka tu,.
Posts mbili tu nikajua ni mtu wa namna gani. Nikapunguza mazingatio.Mkuu umekuja kwa kasi sana ,OK maadamu sheria za jf zinakupa Uhuru wa kuropoka ropoka tu,.
Tupo na maveterani Hendo na MilnerGrujic anatakata tu huko alipo wakati sisi tunastruggle kwenye midfield
Mimi nilishamwambia hata kuni QUOTE asijaribu.Posts mbili tu nikajua ni mtu wa namna gani. Nikapunguza mazingatio.
Kitukooooooo..... EeehMna kikosi dhaifu sana ..allison, Adrian wote hakuna ..VVD keshaanza kuchoka, Salah naye ivyo ivyo, firmino hana sumu yeyote ya kutisha ..apo kati fabihno anapwaya, milner mzee..Ox, Keita ..ni wahudhuriaji bora wa hospital.. Mane kwa mbaali ndo anaibeba Liverpool ..Gomez, matip ni wachezaji wa kuapanda na kushuka, shaqir ni bench wormer mnategemea nin tena? Kama Chelsea ya akina Tomori, Mount, Tammy, Zouma, imewatoa kamasi akina Salah mkikutana na giant club kama Barca(mtasingizia mliifunga), Juventus, Spurs na madogo kama akina Wolves, Leicester, aise...
Hizo kauli zako zote zinavumilika ila hiyo ya firmino embu ifute na ututake radhi. Halafu barca ipi unaiongelea ile iliyofungwa nne na kina origi au hii iliyopigwa na bilbao wakiwa wanazurura pale uwanjanMna kikosi dhaifu sana ..allison, Adrian wote hakuna ..VVD keshaanza kuchoka, Salah naye ivyo ivyo, firmino hana sumu yeyote ya kutisha ..apo kati fabihno anapwaya, milner mzee..Ox, Keita ..ni wahudhuriaji bora wa hospital.. Mane kwa mbaali ndo anaibeba Liverpool ..Gomez, matip ni wachezaji wa kuapanda na kushuka, shaqir ni bench wormer mnategemea nin tena? Kama Chelsea ya akina Tomori, Mount, Tammy, Zouma, imewatoa kamasi akina Salah mkikutana na giant club kama Barca(mtasingizia mliifunga), Juventus, Spurs na madogo kama akina Wolves, Leicester, aise...
Sema mna mashabik weng hapo mtaan kwenu sio dunianMkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
Fabinho, keita, lallana, ox, wijnaldum........ Labda umeamua tu mwenyew kukaza kichwaKwakweli midfield hatuna kitu pale hawa Hendo Milner sjui wanafanyaje mpaka leo.
Chelsea mko mashabiki Wengi?Mkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
Grujic anatakata tu huko alipo wakati sisi tunastruggle kwenye midfield
Mkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
Kocha wetu ana falsafa za morinho hapendi vipaji yeye ni wanaojituma tu na miguvu ndomana hata tushinde 6 mapema kama milner yupo nje atamuungiza badala ya kuwapa uzoefu makindaDah! Jamaa anaupiga mwingi balaa, Nadhani hii ndiyo season Yake ya mwisho kuwa kwenye loan, next season tutakuwa naye kwenye kikosi.
Lakini atasubiri mpaka Hendo atundike daluga.
Kiukweli kucheza na Southampton Away ni real test today.
Hope nitaiona best Line-up