Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

This man will win everything

IMG_20190815_110455.jpg
 
Njia pekee kwasasa ni Kusajili 2 Midfielders wa Kuungana na Fabinho then tupromote Madogo wawili kama Backup mmoja wapo awe ni Grujic.

Then Gini n Hendo wabaki kama ni Backup ya kuadd uzoefu kwa Newly promoted one.

Halafu tuwarelease prone injuries wote Keita & OX coz hatuwatumii ipasavyo muda wote wapo Wodini.

Lallana na Milner waondoke kama Free agent.

Brewster, Harry Wilson na Origi wanatosha Kuwabackup Salah, Mane na Firmino kwahiyo haina haja ya kusajili Striker yoyote.

Yani tukiboresha Mido mbona tumemaliza kazi!!

Yani nimekaa kwa Makini Nikajiuliza kwanini Pep msimu wa Tatu huu simsikii kubid kwa Striker yeyote badala Yake ananunua Mido tu na kuzijaza Kwenye kikosi chake! Nikagundua Kumbe Mido zake ndiyo zinazofanya EPL akaiona rahisi kwake.

Kwasasa niwazi kuwa katika Top Six sisi Liverpool ndiyo Timu yenye Weakest Midfield kuliko timu yoyote ile ya Top 6 bali tunabebwa na Front 3 tu ndoyomana tunashinda. Hivyo usajili unahitajika.
Kwa ile midfield niliyoina tangu community shield mpaka game ya jana naamini Grujic anaingia moja kwa moja kwenye lineup
 
Njia pekee kwasasa ni Kusajili 2 Midfielders wa Kuungana na Fabinho then tupromote Madogo wawili kama Backup mmoja wapo awe ni Grujic.

Then Gini n Hendo wabaki kama ni Backup ya kuadd uzoefu kwa Newly promoted one.

Halafu tuwarelease prone injuries wote Keita & OX coz hatuwatumii ipasavyo muda wote wapo Wodini.

Lallana na Milner waondoke kama Free agent.

Brewster, Harry Wilson na Origi wanatosha Kuwabackup Salah, Mane na Firmino kwahiyo haina haja ya kusajili Striker yoyote.

Yani tukiboresha Mido mbona tumemaliza kazi!!

Yani nimekaa kwa Makini Nikajiuliza kwanini Pep msimu wa Tatu huu simsikii kubid kwa Striker yeyote badala Yake ananunua Mido tu na kuzijaza Kwenye kikosi chake! Nikagundua Kumbe Mido zake ndiyo zinazofanya EPL akaiona rahisi kwake.

Kwasasa niwazi kuwa katika Top Six sisi Liverpool ndiyo Timu yenye Weakest Midfield kuliko timu yoyote ile ya Top 6 bali tunabebwa na Front 3 tu ndoyomana tunashinda. Hivyo usajili unahitajika.
Uchambuzi bora kabisa
 
Njia pekee kwasasa ni Kusajili 2 Midfielders wa Kuungana na Fabinho then tupromote Madogo wawili kama Backup mmoja wapo awe ni Grujic.

Then Gini n Hendo wabaki kama ni Backup ya kuadd uzoefu kwa Newly promoted one.

Halafu tuwarelease prone injuries wote Keita & OX coz hatuwatumii ipasavyo muda wote wapo Wodini.

Lallana na Milner waondoke kama Free agent.

Brewster, Harry Wilson na Origi wanatosha Kuwabackup Salah, Mane na Firmino kwahiyo haina haja ya kusajili Striker yoyote.

Yani tukiboresha Mido mbona tumemaliza kazi!!

Yani nimekaa kwa Makini Nikajiuliza kwanini Pep msimu wa Tatu huu simsikii kubid kwa Striker yeyote badala Yake ananunua Mido tu na kuzijaza Kwenye kikosi chake! Nikagundua Kumbe Mido zake ndiyo zinazofanya EPL akaiona rahisi kwake.

Kwasasa niwazi kuwa katika Top Six sisi Liverpool ndiyo Timu yenye Weakest Midfield kuliko timu yoyote ile ya Top 6 bali tunabebwa na Front 3 tu ndoyomana tunashinda. Hivyo usajili unahitajika.
Mimi nadhani tuachane kwanza na hii Formation 4 3 3 kwa sasa,Klopp ajaribu ku - switch kwa 4 2 3 1.
 
Chelsea inaenda kucheza championship msimu ujao, ni timu ambayo kwa sasa inacheza jihadi tu hakuna lolote mbinu na mipango hakuna, wanakimbia hao uwanjani daaaah, au preseason wenzetu walikuwa wanafanya mazoezi ya kukimbia?
 
hawa vijana hawana tene ile intensity ya last season...Fabinho pale kati ipo shinda we are being overrun every now n then...jana Chelsi hawakua makini but hii gemu was thiers to win...

japo tumeshinda hiii timu naona majanga tuedako...

tumekatika balaa kati na kule nyuma hatusomeki.
.
Kwa Fabinho hapo jana uliona kama nilivyoona
 
Tunachotaka sasa hivi ni ushindi na vikombe, mpira mzuti na mwingi tutacheza baada ya kabati kujaaa

Kwanza Tubebe Hili Mickey Mouse la Fifa Club World Cup then mengine yatafuata baadae.

Tukishabeba hilo basi hesabu za EPL na UCL Mimi nitaziangalia kwa Next season lakini kwa Msimu huu nitakuwa nimesharidhika na Mafanikio hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom