Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Yes mzeeBado Club World Cup hatujawahi kuchukua! Tukichukua hilo ndiyo tutakuwa tumebeba makombe yote kwa Ngazi ya Ulaya.
Dah itakua poa sana
Yes mzeeBado Club World Cup hatujawahi kuchukua! Tukichukua hilo ndiyo tutakuwa tumebeba makombe yote kwa Ngazi ya Ulaya.
Hapa ndipo nilipoamua kutelekeza kila kitu. Zima TV, zima simu, fungua chupa ya Grants... kunywa kwa fujo then kitandani.
Mamamamae... mimi sipendi kufa kwa presha.
Asubuhi nadamka fasta cheki Livescore nakuta tumenyaka kombe... mamamamae piga funda moja la grants. Naelekea kuwajibika kifua mbele!
Ahsante sana vijana wangu wa Anfield... leo nawazawadia michepuko yangu muitumie mtakavyo









HahaaaaaChelsea inaenda kucheza championship msimu ujao, ni timu ambayo kwa sasa inacheza jihadi tu hakuna lolote mbinu na mipango hakuna, wanakimbia hao uwanjani daaaah, au preseason wenzetu walikuwa wanafanya mazoezi ya kukimbia?
Tungeweka wapi sura zetu, ujue sisi wahafidhina wa EPL tunasema ni bora Liverpool achukue UCL maana hakuna anayeshindana nae hapo EPL kwa European cups, sasa hawa Chelsea au man u inakuwa kero.,Ingetokea tu jana cheltako wakabeba ile ndoo, aiseeee hizo kelele zake mtaani sijui tungejificha wapi?
Acha zarau ndugu cheltako ndo niniIngetokea tu jana cheltako wakabeba ile ndoo, aiseeee hizo kelele zake mtaani sijui tungejificha wapi?
Mkuu usimseme Kepa ..penati hazina ufundi ..ata iyo Adrian aliyosave ni bahati tu ilimgonga mguuni ..mbona Allison alipigwa tano zote kweny community shield ..na yeye tuseme ni m'bovu??hili kombe litampa more confidence tuedako natarajia iwe timu yote watarudisha ari,kazi kazi gemu zijazo...
ADRIAN THE FREE AGENT VS KEPA THE MOST EXPENSIVE GOALKEPPER IN THE WORLD...
Hiv ww mbona timu za wenzako naonaga unaita majina mabaya,kumbe timu yako hupendi iitwe hivoAcha zarau ndugu cheltako ndo nini
Pumbavu!!
Na jpil kwa Leicester utakuja na ngonjera hizi hiziHongereni liverpool kwa kuchukua kombe.
Chelsea tulicheza vema makosa ya man u tulirekebisha kwa kiasi fulani naamini ni mwendelezo mzuri. Kwa wale waliokuwa wanabeza timu yetu chelsea naamini jana wameondoka na majibu hususani kwa wale wanaojua mpira na si wale wanaojua mpira kwa kubeti.
Yeah bahati haikuwa letu. Lakini tumepambana. Penalties hazina mwenyewe.
Mim naita kwa sababu ninyi munaita..ita timu jina sahihi sasa unakuta mtu na mapumbu yake mawili anaita timu "cheltako" au "ase8" au "asemavi" ndo nini iyo sasa?Hiv ww mbona timu za wenzako naonaga unaita majina mabaya,kumbe timu yako hupendi iitwe hivo
Acha umbwiga ww teja, cheltako huijui ni nini leo? Mpuuzi kweliMim naita kwa sababu ninyi munaita..ita timu jina sahihi sasa unakuta mtu na mapumbu yake mawili anaita timu "cheltako" au "ase8" au "asemavi" ndo nini iyo sasa?
Wapumbavu wachache tu ndo wa nafanya tuite timu majina za ajabu ajabu..
Wengine hatujawaji tukana watu ila nakuona unawashwa washwa kututafuta teja weweMim naita kwa sababu ninyi munaita..ita timu jina sahihi sasa unakuta mtu na mapumbu yake mawili anaita timu "cheltako" au "ase8" au "asemavi" ndo nini iyo sasa?
Wapumbavu wachache tu ndo wa nafanya tuite timu majina za ajabu ajabu..
Haya endeleen na ushabiki maandazi huo.Mim naita kwa sababu ninyi munaita..ita timu jina sahihi sasa unakuta mtu na mapumbu yake mawili anaita timu "cheltako" au "ase8" au "asemavi" ndo nini iyo sasa?
Wapumbavu wachache tu ndo wa nafanya tuite timu majina za ajabu ajabu..
Match ya pili tu meshaanza kuijudge timu..??no wonder mkianza mambo yenu ya "klop out"hawa vijana hawana tene ile intensity ya last season...Fabinho pale kati ipo shinda we are being overrun every now n then...jana Chelsi hawakua makini but hii gemu was thiers to win...
japo tumeshinda hiii timu naona majanga tuedako...
tumekatika balaa kati na kule nyuma hatusomeki.
.
Championship inawasubiri mwaka huu na lampard wao ndo level zakeHaya endeleen na ushabiki maandazi huo.
Hamtashuka daraja ila mtapata taabu sana,Aroon arudie maneno yake ya kushuka daraja na 10-0