Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na jpil kwa Leicester utakuja na ngonjera hizi hizi

Lampard ana mpira mzuri akipata muda,na wachezaji wazuri, na sio timu yenye presha kama Chelsea,

Leicester naona wakiwanyoa na kichupa bila ganzi

Wewe huwa utabiri wako upo kwenye social media. Unakuwa na matokeo mkononi. Hata tukifungwa na leicester ni moja ya matokeo.

Matokeo huwa kuna Win, Draw &Loss. Na timu zote zinakuwa na lengo moja ya kupata points 3. So ukizidiwa mbinu mnafungwa.

Chelsea foreva
 
Wewe huwa utabiri wako upo kwenye social media. Unakuwa na matokeo mkononi. Hata tukifungwa na leicester ni moja ya matokeo.

Matokeo huwa kuna Win, Draw &Loss. Na timu zote zinakuwa na lengo moja ya kupata points 3. So ukizidiwa mbinu mnafungwa.

Chelsea foreva
Lakini toka EPL haijaanza nimekuwa nakuambia kwa Chelsea hii ni yakutajirika ,uwe unaweka 3+ , unabisha

Haya kwa Leicester mtaupiga sana hadi kumwagika ila mtapigwa ,unamjua praet kutoka sampdoria? Unamjua Ayoze Perez? Tielsman je? Madsson ? Ohooo kuna vardy

3+ inaweza kutoka tena
 
Hamtashuka daraja ila mtapata taabu sana,

Lampard ni kocha mzuri ana kitu anacho ila inamuhitaji muda na timu isiyo na presha,

Mtakuwa kila siku mnasema Leo tumecheza , ila end product itakuwa 0 point.

Mnavyokimbiakimbia mnajifariji big 4 mnaenda ila sisi wahafidhina wa EPL tunasema mtapata tabu sana .

Next ni Leicester mtapigwa 2-0 , ila mtacheza mpira mkubwa sana .

Sawa ngoja sisi tukimbie kimbie naamini mwisho wa msimu lazima tuongeze kombe kabatini.


Maneno yako tumayazaoea nakumbuka kabla hatujakutana kwenye Europa Champion League, ulitabiri chelsea anafungwa magoli mengi na Asernal. Lakini mwisho wa siku ukala kichapo kweli kweli ukapotea na kupotea humu. Hizi unazopost humu ni zile hasira za mwezi wa tano Kule BAKU
 
Lakini toka EPL haijaanza nimekuwa nakuambia kwa Chelsea hii ni yakutajirika ,uwe unaweka 3+ , unabisha

Haya kwa Leicester mtaupiga sana hadi kumwagika ila mtapigwa ,unamjua praet kutoka sampdoria? Unamjua Ayoze Perez? Tielsman je? Madsson ? Ohooo kuna vardy

3+ inaweza kutoka tena

Sawa mkuu. Mpira dakika 90. Mbona mechi ya hakutoboa au hao wachezaji uliyowataja hawakwepo siku hiyo?

Calm down brother mpira unachezwa uwanjani mkuu siyo mdomoni
 
Dah atleast ....

Ndo naenda kulaa...

Huyu klopp atatuua presha ...

Ila timu imechoka mazee , wachezaji wamechoka ...

Hivi ni kwamba hela za kununua wachezaji wapya zlkosekana
mkuu tatizo toka mmechukua UEFA mmejaa viburi wachezi hawataki kuruka koni
 
Mkuu usimseme Kepa ..penati hazina ufundi ..ata iyo Adrian aliyosave ni bahati tu ilimgonga mguuni ..mbona Allison alipigwa tano zote kweny community shield ..na yeye tuseme ni m'bovu??

Leo yamekuwa haya!! Tulipofungwa kwa Matuta zidi ya Man City mulikuja na post kibao za porojo juu ya Alisson! Leo unadai eti Penalty hazina ufundi kwasababu kadunguliwa Kepa misumari yote Mitano.

Labda mulizani na Jana angelipewa Gini ili ampasie Kepa.

Mbona hukusema kuwa Penalty aliyopangua Kipa wa Man City ni bahati ilimgonga Mkononi?
 
Nimeangalia Preview ya Goli nilichogundua Giroud baada ya Kutoroka Kati (Alipokuepo VVD) alikimbilia upande wa Gomez (Namba 2) wakati Pilisic akiwa anampira Mguuni huku Gomez akimuangalia Pulisic (Akikaba kwa Macho) ambaye yupo mbali naye akimuacha Giroud pekee akiwa free from any disturbance.

Gomez needs more time to regain uwezo wake.

Image.png
 
Tumeshachukua Mickey Mouse moja, Kuna Kamickey Mouse ya pili (Club World Cup) tukifanikiwa kuibeba na hiyo itakuwa powa tu, Vimickey Mouse Cups vyengine Viwili vilivyobakia (FA & Carabao) tuwaachie kina Chelsea na Spurs angalau nao Wapate cha Kujivunia manake uwezo wa kupambana UCL kwa wao ni mdogo sana.

Kilichobakia tuvizie japo Kombe moja (EPL au UCL) tuone kama tunaweza kubeba.

Kwasasa ni muda wa Kuvizia coz Midfield ipo taabani, Manake kwa misifa ninayoyaona anayopewa KANTE si kwamba alikuwa Messi Bali mido yetu mbovu ndiyo iliyomfanya KANTE aonekane Messi ingawa anacheza akitokea injury.
 
We played very poorly Jana
Kama tunataka ubingwa, basi kuna kaZi ya ziada kufanyika

Viwango vya baadhi ya wachezaji wetu lazima vibadilike haraka sana

Uko sahihi mkuu.
Nashindwa kuelewa ni kwa nini hatujasajili during the summer window and I’m sure we gonna pay for that.
Kama tunataka ubingwa basi tuna kazi kubwa sana mbele yetu
 
Tukubaliane Mido zetu zote (Hendo, Gini, Milner, Lallana na Fabinho) ni Above 25yrs kwahiyo pale ndiyo mwisho wa uwezo wao hawawezi kufundishika wala kuboreka tena.
Wameshavuuka kwenye Peak zao tusijisumbue.

Nadhani ni Klopp pekee na baadhi ya Washabiki wanaojifanya Top Reds ndiyo wanaoamini Kuwa Anaweza Kuwabadili HENDO, MILNER na LALLANA wakawa Top Players kama Alivyoamini kuwa Anaweza Kumbadili Lovren akawa Beki bora Zaidi ya Ramos Lakini hatimae akakubali matokeo kuwa Lovren atabakia Kuwa always Lovren katu hawezi kubadilika.

Keita, na OX Mimi siwahesabu tena kuwa ni wachezaji wa Liverpool coz huwezi kuwa na Wachezaji wanacheza Mechi 1 then 3 zinazofuata wapo kitandani.
 
Njia pekee kwasasa ni Kusajili 2 Midfielders wa Kuungana na Fabinho then tupromote Madogo wawili kama Backup mmoja wapo awe ni Grujic.

Then Gini n Hendo wabaki kama ni Backup ya kuadd uzoefu kwa Newly promoted one.

Halafu tuwarelease prone injuries wote Keita & OX coz hatuwatumii ipasavyo muda wote wapo Wodini.

Lallana na Milner waondoke kama Free agent.

Brewster, Harry Wilson na Origi wanatosha Kuwabackup Salah, Mane na Firmino kwahiyo haina haja ya kusajili Striker yoyote.

Yani tukiboresha Mido mbona tumemaliza kazi!!

Yani nimekaa kwa Makini Nikajiuliza kwanini Pep msimu wa Tatu huu simsikii kubid kwa Striker yeyote badala Yake ananunua Mido tu na kuzijaza Kwenye kikosi chake! Nikagundua Kumbe Mido zake ndiyo zinazofanya EPL akaiona rahisi kwake.

Kwasasa niwazi kuwa katika Top Six sisi Liverpool ndiyo Timu yenye Weakest Midfield kuliko timu yoyote ile ya Top 6 bali tunabebwa na Front 3 tu ndoyomana tunashinda. Hivyo usajili unahitajika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom