Manebkamfundisha Salah uchoyo mpaka kawa mwalimu.
Firminho pekeake ndo anacheza kwa ajili ya team ila hao wawili wanashindana wao tu tea baadae.

Namuombea mema boby
 
Huyu kocha sera yake kuhusu kumintegrate mtoto yeyote wa Academy ni mpaka mchezaji wa first team apate majeruhi ambacho ni kitu naona cha ajabu
Kaniboa sana kaniaminisha Brendan anajiamini kuliko yeye.

Totenham inamzunguuko mkubwa wa wachezaji kuliko sisi sababu mwalimu amekua akiwatumia kwa namana ajuavyo huyu kila siku mane tuuu tukija poromoka break hazita saidia.
 
Hii dili itiki badala yake amrudishe dogo philips ajimfuzi kwa wanao cheA
 
Wenye CB wazuri wapo mfano Real Madrid, Atletico Madrid, Juventus, Manchester city, Tottenham Hotspur etc
 
Mkuu Southern Highland kwema...duh kwa staili hii huyu kesho atakufungeni...

Kimaro na Ollachuga wape hae sanaa n wape pole kwa kipigo
Kwakile kilichotokea OT sitegemea maajabu zaidi. Naacha dakika 90 ziamue sina expectations za kufanya vizuri wala vibaya wacha vijana wapate experience.
Hapo anachukuwa mazoezi ya kuja kuwachinja Chelsea Ndani ya Instambul ambapo our Greatest Captain ever amewachinja AC Milan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…