Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,847
- 2,768
Chelsea amfunge nani?Kama chelsea atawashinda kesho.
Yatakuwa maajabu makubwa sana ya mpira niliyowah kuona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelsea amfunge nani?Kama chelsea atawashinda kesho.
Yatakuwa maajabu makubwa sana ya mpira niliyowah kuona.
Manebkamfundisha Salah uchoyo mpaka kawa mwalimu.tutakumbaliana hakuna forward asiemchoyo, those boys wapo Reds kwa ajira kila goli linakuja na bonous ya mkwaja na kadhalika...
kazi ya forward ni kufunga na si kngine, kutengeza nafasi ya kufunga kwa wengine hio ni baada ya kuona hawezi kufunga...tatizo linaanzia pale ambapo aidha huyo forward nafasi zote mpaka zile ngumu anataka afunge yeye na kwa hili Salah ndio kinara...
Namkumbali Firmino cz uchoyo kwake umempitia mbali kimtindo...how he connect unselfishly wt those Salah n Mane is just amazing...
Kaniboa sana kaniaminisha Brendan anajiamini kuliko yeye.Huyu kocha sera yake kuhusu kumintegrate mtoto yeyote wa Academy ni mpaka mchezaji wa first team apate majeruhi ambacho ni kitu naona cha ajabu
Hii dili itiki badala yake amrudishe dogo philips ajimfuzi kwa wanao cheATransfer news.
Dejarn Lovren has agree on €3 ml per year deal with As Roma.
He is to undergo wage reduction should the move be completed.
Liverpool set €15ml asking price which may rise up to €20ml with bonuses.
Report suggests As Roma offered a loan move with a buyout option.
👏 👏 👏 👏Manebkamfundisha Salah uchoyo mpaka kawa mwalimu.
Firminho pekeake ndo anacheza kwa ajili ya team ila hao wawili wanashindana wao tu tea baadae.
Namuombea mema boby
👏👏🙋♂️🤷♂️Captain kaingia mkenge kumdiss Mo Salah mwenye assist nyingi kuliko Mane
kwangu naona kama Salah anajaribu kufunga saaaaanaaaa mpaka kwenye impossible angles ni hilo tu na mara nyingi hua hafungi in those tight impossible angles....Mo kwenye assist anamzidi ManeNamba hazidanganyi sasa kaangalieni Mane na Mo nani ana assist chache
i just wish iwe more than 2 horse race ili kuleta burudani zaidiii na umakini zaidi.......MUFC wanakazaga sana big match halafu timu ndogo zinawatoa kamasi
Na Spurs nae anaweza kuwa katika horse race this time
Mkuu Southern Highland kwema...duh kwa staili hii huyu kesho atakufungeni...Ustadhi kaonekana butcher kwenye sikukuu ya kuchinja View attachment 1180738View attachment 1180740
hawa wazee wa darajani tunao...pazuri hua tukikutana ni full cracker...Nawatakia Ushindi mnono Majogoo
Ustadhi kaonekana butcher kwenye sikukuu ya kuchinja View attachment 1180738View attachment 1180740
Wenye CB wazuri wapo mfano Real Madrid, Atletico Madrid, Juventus, Manchester city, Tottenham Hotspur etcMkuu kwasasa kupata Combo ya RIO-VIDIC sio jambo rahisi, Ukiwa na Rudiger basi mweziwe ni Christensen, Ukiwa na Maguire basi mwenziwe atakuwa Lindelof, Ukiwa na VVD basi mwenziwe ni MATIP/GOMEZ.
Kwahiyo kupata Mabeki wawili wenye uwezo sawa kama wa VVD kwenye timu moja sio jambo rahisi.
Mmoja akiwa ni Super Strong mwengine awe Strong tu.
Gomez akigain full Fitness hizo errors zote unazoziona zinafichika.
Na inaweza kuwa hivyoKama chelsea atawashinda kesho.
Yatakuwa maajabu makubwa sana ya mpira niliyowah kuona.
Kwakile kilichotokea OT sitegemea maajabu zaidi. Naacha dakika 90 ziamue sina expectations za kufanya vizuri wala vibaya wacha vijana wapate experience.Mkuu Southern Highland kwema...duh kwa staili hii huyu kesho atakufungeni...
Kimaro na Ollachuga wape hae sanaa n wape pole kwa kipigo
Hapo anachukuwa mazoezi ya kuja kuwachinja Chelsea Ndani ya Instambul ambapo our Greatest Captain ever amewachinja AC Milan.
Keita... Oooops