Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunapomkosoa Klopp kwa kutosaini Watu wa Kuziba nafasi za Kina Salah na Mane in case of injury or Fatigue kuna watu wanatuhisi tunamchukia Klopp!!!

Sasa hii preseason imeprove kuwa bila ya Salah, Mane na Firmino Liverpool ni Kigenge cha Ndondo tu kisichoweza kuingia hata kwenye 10 bora.

Kuna mmoja leo amepost hapa kuwa eti tujifunze kucheza bila ya Salah, Mane na Firmino!!! Nakuhakikishia ndani ya December tunashuka daraja.

Hao tunaotajiwa kuwa ndiyo subs za Kina Salah, Mane na Firmino kwenye hii Preseason wanaishia kuruka ruka tu uwanjani... Hawana uwezo hata wa kutuingiza 10 bora.

Sajili Bruno Fernandez eti unaishia kusema OX na Brewster ni New signing! Alaaaa
 
Sisi liverpool halisi tuendelee kushikamana zaidi, kusajili kitu gani bwana sisi sio man city, wale wananunua ubingwa wale sisi ngoja tusubiri bahati ya mtende ubingwa utuangukie. Shoneni suti nawaambia kwa kikosi hiki kipana ukiongeza na usajili makini wa hao madogo epl mwezi wa tatu tunanyanyua kwapa.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOOO
NANI HAMWOGOPI ELLIOT
NANI HAMWOGOPI SEPP VDB
 
Sisi liverpool halisi tuendelee kushikamana zaidi, kusajili kitu gani bwana sisi sio man city, wale wananunua ubingwa wale sisi ngoja tusubiri bahati ya mtende ubingwa utuangukie. Shoneni suti nawaambia kwa kikosi hiki kipana ukiongeza na usajili makini wa hao madogo epl mwezi wa tatu tunanyanyua kwapa.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOOO
NANI HAMWOGOPI ELLIOT
NANI HAMWOGOPI SEPP VDB
We jamaa fala thana ,eti unajifanya ni malafyale

Hahaaaaaa
 
Hata City walikuwa na maeneo yaliyohitaji kusajili na wamesajili

Sisi LFC maeneo ya kujazilizia kupitia usajili yalikuwa mengi tu, backup Fullbacks , Defensive Midfield, Central attacking Midfield, Backup Forwards

Ngoja tuone
 
Hata City walikuwa na maeneo yaliyohitaji kusajili na wamesajili

Sisi LFC maeneo ya kujazilizia kupitia usajili yalikuwa mengi tu, backup Fullbacks , Defensive Midfield, Central attacking Midfield, Backup Forwards

Ngoja tuone
Hivi wewe ni Barcelona au Liverpool fan?
 
IMG_5965.JPG
 
Tumekuwa Wa pili kwenye league tumepata hela za kutosha,tumechukua uefa cup tumepata hela za kutosha- tumemuuza ings tumepata kama 22.5M.
Sasa klop hizi hela zote anataka awachie matajiri Wa club ili iweje??? Badala ya kutumia kuimarisha team ili kuongeza pesa zaidi msimu huu.
Haya Mambo ya kutumia watoto kama back-up yalimshinda Wenger.Sasa hivi viungo Wa kuaminika pale ni moja tu fabinho,keita& lallana wote wazee Wa injuries Ox ni kama gomes watoka kuumia kuwategemea kukupa matunda kama mwanzo ni walakini.
Henderson ndio huyo hawezi kuwa perfect kila mechi kuna baadhi ya Siku na mechi ndio anakuwa anafanya vizuri-katika mechi 5 atafanya vizuri mechi 1,milner ndio Huyo uzee kukimbizana na watoto ataweza?? Kwanza kwa umri wake huwezi mtegemea kama mchezaji Wa kuanza
 
Tumekuwa Wa pili kwenye league tumepata hela za kutosha,tumechukua uefa cup tumepata hela za kutosha- tumemuuza ings tumepata kama 22.5M.
Sasa klop hizi hela zote anataka awachie matajiri Wa club ili iweje??? Badala ya kutumia kuimarisha team ili kuongeza pesa zaidi msimu huu.
Haya Mambo ya kutumia watoto kama back-up yalimshinda Wenger.Sasa hivi viungo Wa kuaminika pale ni moja tu fabinho,keita& lallana wote wazee Wa injuries Ox ni kama gomes watoka kuumia kuwategemea kukupa matunda kama mwanzo ni walakini.
Henderson ndio huyo hawezi kuwa perfect kila mechi kuna baadhi ya Siku na mechi ndio anakuwa anafanya vizuri-katika mechi 5 atafanya vizuri mechi 1,milner ndio Huyo uzee kukimbizana na watoto ataweza?? Kwanza kwa umri wake huwezi mtegemea kama mchezaji Wa kuanza
Katika vituko vya karne hii ni kutegemea kiungo wa miaka 34+ akuongezee ubora ubebe epl, milner? Iniesta kaondoka ligi isiyo na mabavu akiwa chini ya hiyo miaka lakini bado akiwa na uwezo mkubwa kumliko milner sisi bado tunamweka kama our most versatile player in the squad ama kweli kuna kitu vichwani mwetu havipo sawa. Tott anamwacha dembele after 6 month anaongezwa Ndombele 22yrs, man city fernandinho naye ni kama milner ila kaletewa rodri 22/23yrs hao mimi ndo naona ni wapinzani wetu msimu uliopita na ujao. Cha msingi tuunge mkono JUHUDI ZA LIVERPOOL HALISI Pengine 'mana' ya ubingwa itatuangukia huku jangwani tulipo.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOO
NARUDIA TENA KUNA MTU HUMU HAYAOGOPI MAJOGOO?
 
Tumekuwa Wa pili kwenye league tumepata hela za kutosha,tumechukua uefa cup tumepata hela za kutosha- tumemuuza ings tumepata kama 22.5M.
Sasa klop hizi hela zote anataka awachie matajiri Wa club ili iweje??? Badala ya kutumia kuimarisha team ili kuongeza pesa zaidi msimu huu.
Haya Mambo ya kutumia watoto kama back-up yalimshinda Wenger.Sasa hivi viungo Wa kuaminika pale ni moja tu fabinho,keita& lallana wote wazee Wa injuries Ox ni kama gomes watoka kuumia kuwategemea kukupa matunda kama mwanzo ni walakini.
Henderson ndio huyo hawezi kuwa perfect kila mechi kuna baadhi ya Siku na mechi ndio anakuwa anafanya vizuri-katika mechi 5 atafanya vizuri mechi 1,milner ndio Huyo uzee kukimbizana na watoto ataweza?? Kwanza kwa umri wake huwezi mtegemea kama mchezaji Wa kuanza

Yani ukizungumza EPL kuna watu wanakutajia Ki-Ja, Dem Berg, Elliot, Brewster, Wilson na Yasser Lourucci kuwa ndiyo Wachezaji wa kutupa EPL.

Ufatiliaji wa mpira mwengine bhana!
 
Katika Kumbukumbu za miaka 10 iliyopita tunapotokea Nafasi ya Pili basi msimu ujao tunakuwa Nje ya Top 4.

Sasa last season tulikuwa wa 2, Sijui season hii itakuaje!!!!

Tumeshapita Madirisha Mawili (January na June - July) bila ya Kusajili.
Tupo sawa na Chelsea aliyepigwa Ban kusajili kwa madirisha mawili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom