Huyu ndie Klopp mpaka hapa kashajiwekea kinga endapo msimu utakwenda ndivyo sivyo...
ishu ni kwamba pamoja na kupata pesa nyingi hana bashishi ya kununua mbali analipa mishahara tu...
ndugu zangu naonavyo mimi ili tutoboe vipoa msimu huu 2019-2020 ni hawa mastaa wetu wasipate majeraha kabisaaa na pia wapinzani wapoteana viwango viwe chini au level moja..
Sijui Klopp anatuzuga ama hivi bila beki wa ziada kulia na kushoto tutapambana aje maana hawa kids sio EPL proven..kati pale tuna mapancha ya kutosha Lallana, Ox, Keita, Hendo..angalau Gini, Shaqir, babu Milie, Fabi sio pancha...nwei dirisha linafungwo hivi karibuni itajulikana sooon...
maneno ya kocha kuhusu usajili
Jurgen Klopp says Liverpool do not live in a "fantasia land" like Manchester City where they can spend big-money every summer, insisting he is "not at all jealous" of their rivals' financial muscle
In contrast, Klopp has ruled out marquee signings this summer and opted to invest in youth, bringing in winger Harvey Elliott, 16, from Fulham as well as centre-back Sepp van den Berg, 17, from Dutch side PEC Zwolle.
We have to pay bills. Sorry. Everybody has to pay bills; we have to pay bills. We invested money in this team. Now it looks like we are not. But we are not in this fantasia land where you just get whatever you want.
"You cannot do it constantly. It looks like there are four clubs in the world who can do it constantly. Madrid, Barcelona, (Man) City and PSG. Whatever they need, they do. You cannot compare that. That is the situation.
"It is not a criticism. I know how people will take it, that I am jealous or whatever. I am not at all jealous. There is no guarantee we won't draw with Leicester on a snowy pitch because we make five new signings.
He added: "This year is not the end of Liverpool FC. Next year there will be another transfer window. This team is really good and we have invested a lot in it. Now we have to work with that.
yajayo yanafurahisha...