Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi wakati Klopp anamuita TAA kikosi cha wakubwa ni nani aliyetegemea TAA angefanya maajabu kama tunayoyashuhudia sasa? Klopp alipomnunua Robertson tulijua anatuletea mzigo tu lakini shughuli ya Robertson tunaiona sote ni mashahidi.. Hivi karibu kamnunua Van Den Berg nani anaujua uwezo wa huyu dogo?
Wakati Klopp akiwa Dortmund alitumia kiasi cha paund 22.37 million kununua wachezaji watano wa kiwango cha juu kabisa.
1. Shinji Kagawa bure
2. Piszeck bure
3. Lewandowsk paund 3.33 m
4. Aubameyang paund 9.1 m
5. Subotic 3.15 paund m

Kwa hiyo suala la kusema Klopp hasajili tuliache yeye anajua kuliko hata sisi tunaompigia kelele.
_Jumapili njema Kops _

Hata babu Wenger naye alikuwa bingwa wa kukuza vipaji soka limebadilika angalia anashindana na timu gani kwenye ubingwa
 
Baada ya kuipa Liverpool ubingwa wake wa 6 wa UCL msimu wa 2018-2019 Klop ametangazwa kuwa kocha bora wa mwaka wa ujerumani na chama cha waandishi wa habari za michezo huko ujerumani
Screenshot_20190728-142511_All%20Football.jpeg
 
Klopp:

"I can't say anything about what other teams are doing. I don't know how they do it. We have to pay bills. Sorry, everybody has to pay bills, we have to pay bills," he told UK newspapers.

"We invested money in this team. Now it looks like we are not, but we are not in this fantasy land where you just get whatever you want. You cannot do it constantly.
*
"It looks like there are four clubs in the* *world who can do it constantly – [Real] Madrid, Barcelona, City and PSG* . *Whatever they need, they do. You cannot compare that. That is the situation.

*"It is not a criticism. I know how people will take it, that I am jealous or whatever. I am not at all jealous."*

Since 2016, Liverpool have signed the likes of Virgil van Dijk, Mohamed Salah, Sadio Mane, Alisson, Georginio Wijnaldum, Fabinho and Alex Oxlade-Chamberlain.

Klopp is seemingly happy with his squad, saying there would be other opportunities to strengthen if needed.

" *This year is not the end of Liverpool FC. Next year there will be another transfer window," he said.*

"This team is really good and we have invested a lot in it. Now we have to work with that."
 
Hivi wakati Klopp anamuita TAA kikosi cha wakubwa ni nani aliyetegemea TAA angefanya maajabu kama tunayoyashuhudia sasa? Klopp alipomnunua Robertson tulijua anatuletea mzigo tu lakini shughuli ya Robertson tunaiona sote ni mashahidi.. Hivi karibu kamnunua Van Den Berg nani anaujua uwezo wa huyu dogo?
Wakati Klopp akiwa Dortmund alitumia kiasi cha paund 22.37 million kununua wachezaji watano wa kiwango cha juu kabisa.
1. Shinji Kagawa bure
2. Piszeck bure
3. Lewandowsk paund 3.33 m
4. Aubameyang paund 9.1 m
5. Subotic 3.15 paund m

Kwa hiyo suala la kusema Klopp hasajili tuliache yeye anajua kuliko hata sisi tunaompigia kelele.
_Jumapili njema Kops _
Usitumie nguvu kubwa mkuu... mtu aliyeamua usiku kua mchana ni ngumu kuamua kujadili kitu.

Klopp has done alot in and out of pitch.
Tulikua vibaya kwenye sekta kadhaa

1.Kiuchumi
2.Kimvuto
3.Hamasa ya ushindi.
hivi sasa vimerejezwa kwa ujio wa Klopp na Edward Michael.
Tulikua wabovu kwenye usajili (kuuza na kununua).

Soko la sasa hivi ukienda kichwa kichwa unapigwa pesa ndefu kuliko ubora wa msajiliwa agents nao wana vipengele vya ulaji, lazima akili kubwa itumike.
Sina shaka na usajili kuna wanaotafutwa.
Ninaiamini combination ya Klopp na Edward kwenye usajili.
 
Hivi wakati Klopp anamuita TAA kikosi cha wakubwa ni nani aliyetegemea TAA angefanya maajabu kama tunayoyashuhudia sasa? Klopp alipomnunua Robertson tulijua anatuletea mzigo tu lakini shughuli ya Robertson tunaiona sote ni mashahidi.. Hivi karibu kamnunua Van Den Berg nani anaujua uwezo wa huyu dogo?
Wakati Klopp akiwa Dortmund alitumia kiasi cha paund 22.37 million kununua wachezaji watano wa kiwango cha juu kabisa.
1. Shinji Kagawa bure
2. Piszeck bure
3. Lewandowsk paund 3.33 m
4. Aubameyang paund 9.1 m
5. Subotic 3.15 paund m

Kwa hiyo suala la kusema Klopp hasajili tuliache yeye anajua kuliko hata sisi tunaompigia kelele.
_Jumapili njema Kops _

Nadhani bado hujajuwa nini kinajadiliwa kuhusu Usajili, Au hukukipitia ulichokiandika.

TAA na GOMEZ hawakuwa First choice takriban misimu miwili ya mwanzo.
Na kilichofanya TAA akaingia First XI ni kuumia kwa Clyne jambo ambalo hatukuwa na RB mwengine kiasi ya kwamba mpaka leo tuna RB mmoja tu ambaye ni TAA pekee.

Kuhusu Robertson ulichokisema sio kweli kuwa tulikosoa au kuponda usajili wake kwani hakuna aliyekuwa akijua kuhusu usajili wa Mchezaji Huyo kwani kusajiliwa kwake ni sawa na Fabinho waliibuka tu from nowhere bila ya kiwepo tetesi za kuaminika kuhusu usajili wao.

Wengi wetu tulikuja kumuona tu Robertson akiwa uwanjani na tukamsifia sana kuhusu uchezaji wake.

"Kuna watu hutumia kivuli cha usajili wa Robertson kama kichaka kuhalalisha hoja zao eti tuliukosoa! Sio kweli hakuna aliyeukosoa"

Kwahiyo na hawa Madogo waliosajiliwa hakuna hata mmoja aliyeponda usajili wao! Sote tunajua kuwa Elliot, Ki-jana na Berg ni talented Young boys, na tunaamini kuwa ni Future nzuri! Lakini Nina uhakika kuwa Mutakuja kusema tulimlaumu Klopp kwa kuwasajili hawa. I swear!

Kama hamujui tunachokosoa sisi ni kutosajili Backups za baadhi ya wachezaji ambao hutumika muda Mkubwa bila ya kupumzishwa kwani hawana mbadala jambo ambalo wakiumia tu au wakichoka kipindi cha January huwa timu inaboronga, na kutokuziba baadhi ya sehemu zenye weakness kama vile namba 10 ambayo mpaka sasa haina Mtu bali inaungwaungwa tu.

Timu ina namba 2 mmoja tu TAA
Timu ina namba 3 mmoja tu Robertson

Je wakiumia hao nafasi zao ataziba nani? Au ndiyo Hendo aje acheze namba 2 kama msimu uliopita?

Hivi Mane, Salah na Fiemino ndiyo waendelee kutumika kama Punda bila ya mtu wa kuziba nafasi zao?

Je mido ndiyo waendelee kucheza kina Milner?

Usidhani kama hawa waliosajiliwa wote msimu huu watacheza kikosi cha kwanza moja kwa moja! Ni wadogo mno Klopp hawezi kutake risk hata Siku moja.
Wote atawapeleka U23 wakakue.
 
Mkuu King Ngwaba mara nyingi umekua ukipinga falsafa za klop. Ila mi naona tumuamini kocha na bench lake maana upande wa TAA kuna gomez pia lauroce anaweza kuwa backup nzuri ya robertson hasa ukizingatia klop anajua kuwatia moyo vijana
Bado tuna vijana kama brewster, kent, wilson naona wanaweza kuleta ushindani
 
Nadhani bado hujajuwa nini kinajadiliwa kuhusu Usajili, Au hukukipitia ulichokiandika.

TAA na GOMEZ hawakuwa First choice takriban misimu miwili ya mwanzo.
Na kilichofanya TAA akaingia First XI ni kuumia kwa Clyne jambo ambalo hatukuwa na RB mwengine kiasi ya kwamba mpaka leo tuna RB mmoja tu ambaye ni TAA pekee.

Kuhusu Robertson ulichokisema sio kweli kuwa tulikosoa au kuponda usajili wake kwani hakuna aliyekuwa akijua kuhusu usajili wa Mchezaji Huyo kwani kusajiliwa kwake ni sawa na Fabinho waliibuka tu from nowhere bila ya kiwepo tetesi za kuaminika kuhusu usajili wao.

Wengi wetu tulikuja kumuona tu Robertson akiwa uwanjani na tukamsifia sana kuhusu uchezaji wake.

"Kuna watu hutumia kivuli cha usajili wa Robertson kama kichaka kuhalalisha hoja zao eti tuliukosoa! Sio kweli hakuna aliyeukosoa"

Kwahiyo na hawa Madogo waliosajiliwa hakuna hata mmoja aliyeponda usajili wao! Sote tunajua kuwa Elliot, Ki-jana na Berg ni talented Young boys, na tunaamini kuwa ni Future nzuri! Lakini Nina uhakika kuwa Mutakuja kusema tulimlaumu Klopp kwa kuwasajili hawa. I swear!

Kama hamujui tunachokosoa sisi ni kutosajili Backups za baadhi ya wachezaji ambao hutumika muda Mkubwa bila ya kupumzishwa kwani hawana mbadala jambo ambalo wakiumia tu au wakichoka kipindi cha January huwa timu inaboronga, na kutokuziba baadhi ya sehemu zenye weakness kama vile namba 10 ambayo mpaka sasa haina Mtu bali inaungwaungwa tu.

Timu ina namba 2 mmoja tu TAA
Timu ina namba 3 mmoja tu Robertson

Je wakiumia hao nafasi zao ataziba nani? Au ndiyo Hendo aje acheze namba 2 kama msimu uliopita?

Hivi Mane, Salah na Fiemino ndiyo waendelee kutumika kama Punda bila ya mtu wa kuziba nafasi zao?

Je mido ndiyo waendelee kucheza kina Milner?

Usidhani kama hawa waliosajiliwa wote msimu huu watacheza kikosi cha kwanza moja kwa moja! Ni wadogo mno Klopp hawezi kutake risk hata Siku moja.
Wote atawapeleka U23 wakakue.
Hivi mnamkumbuka Lallana wa 2014? Huyu jamaa fundi sana, kinachomtesa ni majeruhi tu. Klopp anajua TAA asipokuwepo Gomez atacover. Mimi wasi wasi wangu ni LB tu na namba 9/10 hii mojawapo haina mtu. Akipatikana 9 Firmino atacheza 10 and vice versa.

Kuhusu wings za Mane na Salah sio lazima tucheze hivyo siku zote. Mfumo hubadilika kulingana na wachezaji waliopo. Mnakumbuka game ya pili ya Barca hatukuwa na Salah, je Klopp aling'ang'ana kutafuta wing ya kucover nafasi ya Salah?

Tunae Shaqiri, Origi wa kusaidia mashambulizi. Kinachotakiwa wapewe time ya kucheza wagain confidence. Lazima tujifunze kucheza bila Salah, au Mane au Firmino na timu ipate matokeo mazuri tu ndio kinachotakiwa.

Hebu mwacheni Klopp afanye anayoyataka.
 
Hivi mnamkumbuka Lallana wa 2014? Huyu jamaa fundi sana, kinachomtesa ni majeruhi tu. Klopp anajua TAA asipokuwepo Gomez atacover. Mimi wasi wasi wangu ni LB tu na namba 9/10 hii mojawapo haina mtu. Akipatikana 9 Firmino atacheza 10 and vice versa.

Kuhusu wings za Mane na Salah sio lazima tucheze hivyo siku zote. Mfumo hubadilika kulingana na wachezaji waliopo. Mnakumbuka game ya pili ya Barca hatukuwa na Salah, je Klopp aling'ang'ana kutafuta wing ya kucover nafasi ya Salah?

Tunae Shaqiri, Origi wa kusaidia mashambulizi. Kinachotakiwa wapewe time ya kucheza wagain confidence. Lazima tujifunze kucheza bila Salah, au Mane au Firmino na timu ipate matokeo mazuri tu ndio kinachotakiwa.

Hebu mwacheni Klopp afanye anayoyataka.
Haya maneno ya mwacheni Klopp afanye anayoyataka yamekuja baada ya miuja ya Barcelona na Trophies ya UCL ni Klopp huyu huyu aliwaaminisha kwa Karius na Grujic baadae mkamgeuka na tunasema mapema tutakuja kuongea negative kabla ya January tuombe uzima.
 
Haya maneno ya mwacheni Klopp afanye anayoyataka yamekuja baada ya miuja ya Barcelona na Trophies ya UCL ni Klopp huyu huyu aliwaaminisha kwa Karius na Grujic baadae mkamgeuka na tunasema mapema tutakuja kuongea negative kabla ya January tuombe uzima.
Unaamini katika miujiza ya mpira? We played football...barca walizembea tukawafunga.
Karius katuaminisha nini? Si mlitaka asajili keeper ndo akasajili sasa....kwa hiyo mnataka asajili tu awafurahishe nyinyi?

Timu yetu ni nzuri mno. Na kilichotunyima EPL wala sio squad depth ni ufala wa Klopp wa kutochezesha watu sahihi. Mechi ya Man u hatukupaswa kutoa nao sare. Jamaa walipata injury 4 hatukutumia advantage.Angefanya sub chap tulikua tumelibeba.
 
Mkuu King Ngwaba mara nyingi umekua ukipinga falsafa za klop. Ila mi naona tumuamini kocha na bench lake maana upande wa TAA kuna gomez pia lauroce anaweza kuwa backup nzuri ya robertson hasa ukizingatia klop anajua kuwatia moyo vijana
Bado tuna vijana kama brewster, kent, wilson naona wanaweza kuleta ushindani

Kwanza badilisha kauli kuwa 'Ninapinga'
Mimi sipingi bali 'Ninakosoa'.

Kizuri umefahamu kuwa ninachokijadili ni 'Falsafa' na si 'Uwezo'

Kwahiyo Mimi nakosoa Falsafa za Klopp, Lakini sikosoi Uwezo wa Klopp.

Najua kuwa Klopp ana uwezo usio na shaka, ila kwenye Strategy ndiyo anachemka mara nyingi! Ni mara chache ndiyo anafanikiwa kwenye strategies kama alivyofanikiwa against Barca.

Turudi kwenye Mada:
Huyo unayesema mbadala wa Robertson unajuwa kilichomkuta? Kapata serious injury kwenye game against Sevilla na haijuilikani atarudi lini!

Pia Gomez ni spans mkononi!
Hao kina Wilson sio wachezaji wa kutafutia EPL, ni wa FA na Carabao.
 
Klopp: "Je! Tutauza wachezaji watano kupata nafasi kwa mpya watano? Nitumie orodha na niambie ni nani unataka kuwa nje. Wanarudisha karatasi tupu kwa sababu wanataka kuweka zote na wape zifuatazo. ”

Sent from my H8402 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mnamkumbuka Lallana wa 2014? Huyu jamaa fundi sana, kinachomtesa ni majeruhi tu. Klopp anajua TAA asipokuwepo Gomez atacover. Mimi wasi wasi wangu ni LB tu na namba 9/10 hii mojawapo haina mtu. Akipatikana 9 Firmino atacheza 10 and vice versa.

Kuhusu wings za Mane na Salah sio lazima tucheze hivyo siku zote. Mfumo hubadilika kulingana na wachezaji waliopo. Mnakumbuka game ya pili ya Barca hatukuwa na Salah, je Klopp aling'ang'ana kutafuta wing ya kucover nafasi ya Salah?

Tunae Shaqiri, Origi wa kusaidia mashambulizi. Kinachotakiwa wapewe time ya kucheza wagain confidence. Lazima tujifunze kucheza bila Salah, au Mane au Firmino na timu ipate matokeo mazuri tu ndio kinachotakiwa.

Hebu mwacheni Klopp afanye anayoyataka.

Kwasasa Mkuu tusijidanganye tuukubali ukweli Timu yetu haina uwezo hata wa kugombania Carabao bila ya Salah, Mane na Firmino.

Hakuna njia yoyote kwasasa ya kuweza kujifunza kucheza bila ya hao Wauwaji.

Huo wasiwasi wako ni ukweli na sio wasiwasi kama unavyouita.

Gomez ni mchezaji mzuri sana lakini ni sawa na OX akicheza mechi 4 basi msubiri msimu ujao! Kwahiyo sio cover ya TAA yakutegemea! Pia Gomez hana uwezo wa kuoffer hata nusu ya anacho-offer TAA (kuhusu kushambuli na kutengeneza nafasi za kufunga).

Najua utasema jukumu la RB ni kukaba lakini kwenye mfumo wetu wa uchezaji jukumu la FB ni kucheza kama Winga na kutengeneza nafasi za kufunga.

Unaposema tumuache Klopp afanye kazi Yake labda unamaanisha nini? Tumesema hajui mpira? Ama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom