Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
MUNGU mlinde Fabinho na VVD
MUNGU mlinde Fabinho na VVD




Kila siku wanakukumbusha watu Striker wako msimu huu ni Abraham na Giroud, nakuonea huruma sanaTunategemea SSC Napoli hawatotuangusha, halafu mukifungwa hii game musidai ni pre-season, Liverpool ni ile ile mutakuwa MUMEFUNGWA TU![]()
Hii ni transfer tu mambo yatakuwa ovyo zaidi ya hapa Ukuta wa nyuma wote uko ovyo ovyoNi wazi kabsaa bila kupepesa timu yetu imechoka mnooo kwa mtindo huu wala tusishangae matokeo mabovu
Napoli 2 sisi 0Muda mchache ujao tunacheza na Napoli,hope kwa kikosi kilichopo kuwafunga itakuwa ndoto labda tunaweza kupata draw.
ImooooHii ni transfer tu mambo yatakuwa ovyo zaidi ya hapa Ukuta wa nyuma wote uko ovyo ovyo





Hahahaaaaaaatusije tukapigwa wiki kama R Madrid alivyofanywa na Atletico M juzi.
Sasa hivi una wiki kama mbili za kuzurula kwenye majukwaa ya watu, zitumie vzr maana hutapata nafasi kuanzia tarehe 11Imoooo![]()
Mkuu labda itakuwa ni pre season tu kwaiyo Klopp na wachezaji wake hawako serious kivile.. ngoja tuone nini kitatokea..Aisee kwa mnaoangalia hii game, tumezidiwa au ni kwa sababu ni pre-season!
Hahahaha sasa bwana mdogo hii Arsenal uliyonayo wewe unailinganisha na Chelsea? Mimi na wewe nani wa kujipiga ban? Kocha wenu keshasema msitarajie lolote lile msimu huu.Sasa hivi una wiki kama mbili za kuzurula kwenye majukwaa ya watu, zitumie vzr maana hutapata nafasi kuanzia tarehe 11
Mkuu labda itakuwa ni pre season tu kwaiyo Klopp na wachezaji wake hawako serious kivile.. ngoja tuone nini kitatokea..
usicheke ndugu yangu!Hahahaaaaaaa