kwa bei ya £70m parefu..bora kwenda tumchukue Maguire ni Epl proven pia
au wt £30m we get our boy back from Wolves Conor Coady..
De Ligit wakala wake anatega vilabu ili ampige mnada hivyo hii kwetu tutachemka...
ni kweli soko lilishavurugwo, ngoja tusubiri dirisha lifunguliwe tuone namna hawa tunaombiwa kila kukicha ni target zetu kama tutawapata ama ni gossip tu ukute klabu wanafuatilia wengine kabisa na si hawa Pepe, Deligit n.kIla mkuu kwa sasa kutoa dau la pauni milioni 70 au 80 kwa hali ya sasa inabidi tu maana wachezaji wenye vipaji ndio bei zao hizo
hard work pays..go go go Trent let th sky be th limit.
Kujitoa kumuwania huyu dogo mzuri hivyo sifurahishwi kabisa
hard work pays..go go go Trent let th sky be th limit.
Hadi Firmino wamemuweka benchi

Watu wanachambua vitu vya maana wewe unakuja kuongelea mahindi ya kuchemsha, acha upuuzi bwana MalafyaleView attachment 1123453
Bado kuna maneno maneno na matusi au yamekwisha?
Mwakani msiye mpenda ananyanyua kwapa na EPL
Acheni ushabiki maandazi. Hivi team ngapu zishafanya usajili kamili? Muda unaruhusu. Falsafa za Klopp mnazijua. Nyie kila tetesi mnaonaga ni kweli tu.Now we are completely TETESI FC / RUMOURS FC
Mkuu hujalowanisha CM yako kwel?Acheni ushabiki maandazi. Hivi team ngapu zishafanya usajili kamili? Muda unaruhusu. Falsafa za Klopp mnazijua. Nyie kila tetesi mnaonaga ni kweli tu.
Jiulize.
Ulishawahi kumfikiria Robbo...klopp akamsajili
Salah? Akamsajili
Keita? Akamsajili
Wijnauldum....kamsajili
Ulifikiria atampandisha TAA
Nyie mkisikia Fekir/Pepe sijui nani mishipa ya shingo inasimama.
Kwa taarifa yenu Klopp hanunui beki wa kati hata mmoja. Yaani akiangalia ana Lovren, Matip, Gomez, VVD....kudadadeki nyie subirini tu. Huyo De Ligt haji Anfield.
Mkuu hujalowanisha CM yako kwel?