Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5499.JPG
 
Dah huyu dogo nilipata Shida sana kutoka kwa baadhi ya Mashabiki wa EPL kipindi nampigania kuwa ni best RB in EPL.

Lakini hatimae ameniprove right.

Dogo kwa sifa anazomwagiwa kama Hatovimba kichwa basi atakuwa Bonge la Beki na mwisho after VVD era atakuwa shifted from RB to CB kama ilivyokuwa kwa Ramos.

Kama hatovimba Bichwa kuna kila dalili ya kuwa ndiye yeye atakaekuwa our future captain.
hakika mpaka sasa hakuna ubishi HE IS BEST UPCOMING RB na ni kweli asipovimba bichwa huyu atatawala sana kama beki bora RB na ndio Captain wetu mtarajiwa huyu..ni full scourcer hivyo upo uwezekano wa kubaki klabuni hapa for a very long tym...
 
Sikuhizi Hapa kwenye Uzi kaibuka Msenge mpya from nowhere
Dah mkuu hii forum ya watu wote. Au kwa sababu wewe unajaza comments humu sisi wengine tunao comment mara moja moja hatuna haki. Modafaka.

Msenge ni wewe unayetaka kujimilikisha jukwaa, kama matusi mazuri. Fala we. Eti nimekuzoe....who the hell are you?

Kuna mahali nilikutukana mimi?
 
Mimi napitaga humu nacheka tu. Liverpool kwa Liverpool humu kuna upinzani. Kuna kikundi kinachojiita halisi na kingine sijui nini.

Humu kuna watu wanajifanya wanamiliki jukwaa, wao ndio top sayers, commentators, analysts, na kila kitu wanajua wao. Wanaongozwa na mihemko kuliko kutumia akili. Ukienda against nao...wanarusha maneno ya hasira na kuchukia.

Guys, kila shabiki ana maoni yake, uchambuzi wake....hatuwezi kuwa na falsafa moja.

Tuvumiliane.
 
Dah mkuu hii forum ya watu wote. Au kwa sababu wewe unajaza comments humu sisi wengine tunao comment mara moja moja hatuna haki. Modafaka.

Msenge ni wewe unayetaka kujimilikisha jukwaa, kama matusi mazuri. Fala we. Eti nimekuzoe....who the hell are you?

Kuna mahali nilikutukana mimi?

Wewe Jukwaa lako si ni la Mahusiano na Mapenzi?
Au umehama lini kwenye hilo jukwaa lako pendwa?
 
Mimi napitaga humu nacheka tu. Liverpool kwa Liverpool humu kuna upinzani. Kuna kikundi kinachojiita halisi na kingine sijui nini.

Humu kuna watu wanajifanya wanamiliki jukwaa, wao ndio top sayers, commentators, analysts, na kila kitu wanajua wao. Wanaongozwa na mihemko kuliko kutumia akili. Ukienda against nao...wanarusha maneno ya hasira na kuchukia.

Guys, kila shabiki ana maoni yake, uchambuzi wake....hatuwezi kuwa na falsafa moja.

Tuvumiliane.

Najuwa wewe si mwelewa wa kile unakiandika kwa Mikono yako!

Lakini hebu pitia post yako hapa chini uiangalie je ipo kiuwanamichezo? ↓↓

Acheni ushabiki maandazi. Hivi team ngapu zishafanya usajili kamili? Muda unaruhusu. Falsafa za Klopp mnazijua. Nyie kila tetesi mnaonaga ni kweli tu.

Jiulize.
Ulishawahi kumfikiria Robbo...klopp akamsajili
Salah? Akamsajili
Keita? Akamsajili
Wijnauldum....kamsajili
Ulifikiria atampandisha TAA

Nyie mkisikia Fekir/Pepe sijui nani mishipa ya shingo inasimama.
Kwa taarifa yenu Klopp hanunui beki wa kati hata mmoja. Yaani akiangalia ana Lovren, Matip, Gomez, VVD....kudadadeki nyie subirini tu. Huyo De Ligt haji Anfield.

Wewe wakati mwengine unakuja hapa unajifanya Mshabiki wa Liverpool (Unafiki), then unaandika post ambazo ni negative haziendani na Washabiki wa Liverpool.

Hapa hatupingani na mawazo ya Mtu bali tunapingana kwa hoja.

Hapa nadhani ni Jana tulikuwa tukiargue kuhusu usajili wa Nicolas Pepe na tukaenda vizuri bila ya kujigamba "Mimi Halisi, Wewe Feki", " Mimi najuwa Mpira, Wewe Maandazi"....! Kwasababu tulikuwa tunajuwa kuwa kila Mtu ana Uhuru wa Kutoa Maoni ambayo hayadharauliwi Bali yanapingwa kwa Hoja.

Lakini Wewe unaanza na kauli za dharau kuita watu Washabiki Maandazi halafu unaita Uhuru wa kupost kwenye Forum?????

Hivi ungelikuja na Facts kukosoa nilichokiandika nisingelifahamu??

Humu tumo watu Wastaarabu sana katika Kujadiliana kiasi ya Kwamba Mpaka kwenye Majukwaa ya Majirani tunaendesha mijadala ya Kistaarabu na kina lembu , Lukub , Kyatile bila ya kuleteana kejeli.
Ni Mtu mmoja tu humu ndiye asiyetaka Mawazo ya Wengine na Akaamua kujibatiza jina ambalo analiita kuwa ni Kundi ingawa ni yeye peke Yake na sio Kundi.

Sasa na Wewe sijui ustaarabu wa kuanza kumjibu mtu kwa Kejeli umeutoa wapi!!!
 
Yaan kivpi mkuu naomba unielekez samahan kiongoz
Ok mkuu ngoja nikupe mfano mmoja ambao utamaliza kila kitu

Rifer game yetu na city msimu ulioisha pale etihad ni yeye ndio alimuangalia Aguero akituliza mpira mbele yake, ni yeye akamkaba kwa macho, akamuangalia akidrible na mwisho wa siku akafunga goli ktk impossible angle

Kingine jamaa akiwa ktk box huwa akabi kwa akil yaan huwa anakurupuka tu so akiwepo yey tuta kutokea sio jambo la kushangaza, na kingine zaid jamaa akichezaga na VVD huwa hatumiki kabisaa yaan anataka kuonekana yeye ndo mwamba kwenye ule ukuta but akichezaga dogo gomez, au matip VVD huwa anajaribu kupangana nao vzr maana ni waelewa ila jamaa huyu LOVREN ni kiburi balaa
But all in all asante mungu Klopp kalitambua hilo
 
Ok mkuu ngoja nikupe mfano mmoja ambao utamaliza kila kitu

Rifer game yetu na city msimu ulioisha pale etihad ni yeye ndio alimuangalia Aguero akituliza mpira mbele yake, ni yeye akamkaba kwa macho, akamuangalia akidrible na mwisho wa siku akafunga goli ktk impossible angle

Kingine jamaa akiwa ktk box huwa akabi kwa akil yaan huwa anakurupuka tu so akiwepo yey tuta kutokea sio jambo la kushangaza, na kingine zaid jamaa akichezaga na VVD huwa hatumiki kabisaa yaan anataka kuonekana yeye ndo mwamba kwenye ule ukuta but akichezaga dogo gomez, au matip VVD huwa anajaribu kupangana nao vzr maana ni waelewa ila jamaa huyu LOVREN ni kiburi balaa
But all in all asante mungu Klopp kalitambua hilo
basi auzwe

Yanga watamkataa huyu jamaa kwan ?!
 
Manchester City and Manchester United are set to go head to head for Harry Maguire now that England's Nations League campaign is over, Sky Sports News understands.

I rate this boy highly than De Ligit...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom