Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimeikuta somewhere kwa washabiki wa LFC


Nkasema HENDO hapendwi kwel
FB_IMG_15600866761166465.jpeg
 
Apana mkuu ..mimi ni maoni yangu tu. Maoni lazima yaheshimiwe!

Sisi bila ya Hazard tunaweza zuia point sio chini ya kumi na mbili kwenye big six teams.
hakika ni lazima yaheshimiwa ndugu..uzuri wa Hazard sio nyie mnaadhirika na kuodoka kwake ukweli ni kwamba hata ligi itapoa ushindani (zile dribble, assisit,goals) t was a joy kumuangalia Hazard...

wengi wanasema upo uwezekano hili ni pigo kubwa kuwai kutokea kwa EPL tangu kuodoka kwa Ronado Manu...hivyo japo ni dream yake kuchezea tutambuka..

wish him th best kwa kweli.
 
Ukiona Winga kwenye CV yake alifunga goli 15+ Serie A usimchukulie poa
ni kweli kaka hata akina Drogba, Fabinho, Hazard, Bernado Silva wametokea huko Ligue one hivyo tuwe na imani huyu Pepe chini ya Klopp atakua fire...

Hili la Salah tangu yupo Basel tulimchungulia tukaona anatufaa sema Rodgers haku react mapema...

Nina wasiwasi kati ya Salah au Mane kuna mmoja hawa Real au Barca watatusumbua wakimhitaji kama sio msimu huu basi dirisha mbili zijazo hivyo Klopp naamini pia ana plan for the future na huyu Pepe umri mdogo anatufaa...

lets get Maxi Gomez, Pepe, Fekir, De Ligit tutakua full nondo
 
ni kweli kaka hata akina Drogba, Fabinho, Hazard, Bernado Silva wametokea huko Ligue one hivyo tuwe na imani huyu Pepe chini ya Klopp atakua fire...

Hili la Salah tangu yupo Basel tulimchungulia tukaona anatufaa sema Rodgers haku react mapema...

Nina wasiwasi kati ya Salah au Mane kuna mmoja hawa Real au Barca watatusumbua wakimhitaji kama sio msimu huu basi dirisha mbili zijazo hivyo Klopp naamini pia ana plan for the future na huyu Pepe umri mdogo anatufaa...

lets get Maxi Gomez, Pepe, Fekir, De Ligit tutakua full nondo

Hivi Deligt tunamuwania kweli?
 
Hivi Deligt tunamuwania kweli?
Deligt huyu haji so wanazi wa liver tukubali tu kuwa tutabaki na van dyk matip na gomez ( akiondoka lovren the atakuja beki mpya lakini sio deligt..klop wala hana mzuka nae) na si umeona mshahara aliahidiwa psg barca na man u...liver hawatoi mishahara mikubwa kizembe hivyo.

Huyu lallana ni kama watu waivyokuwa wanamtukana henderson...Klop alipokuja lallana alikuwa yuko fit ana anamjua ni mtu kazi. Sema majeruhi msimu huu yamemuweka benchi...but kama yuko fit nakwambia game time atapata. Unless kama klop kama kweli kamuadmire madison wanaweza kuswap....ila madson mlaini sana ile mishe mishe sidhani kama anaiweza.
FEKIRI ....huyu bado naona klop anamuhitaji sema bei jamaa kama watakubali maana ana tatizo la goti ambalo watoa pesa waliverpool wanaonea shida.
Mkihitaji wachezaji wazuri kumbuka wanataka kuwa first 11 sio wakukaa benchi. Eti asubiri salah au mane aua firminho achokea au aumie ndio aingie hawakubali.
So tutegemee wachezaji wasio na majina makubwa ambao watakubali kusubiri kuingia dkk ya 70 au kucheza capital cup au FA.
 
Mkuu unashau msimu ujao tunahitaji makombe yote aisee na kwa hilo hatutegemei Lallana ku msaada kwetu maana hio work rate yake unayosema ni gemu moja na hamalizi utasikia kaumia nje wiki tatu au kaumia mazoezini n.k tunahitaji wachezaji wa kazi kazi na wanaojua kujiangalia sana sio kila tackle lazima aifuate n.k...

kwa Lallana binfsi ningependa auzwe maana kiwango tunachohitaji msimu mpya sio level yake..

sasa unakua na Lallana pacha, Ox pancha, Keita pancha huyo Manciti tutamkamatia wapi...

pale kati tunahitaji real game changers aje mmoja tu Bruno au Contino arudi nk

hao watoto uliosema sio direct starters hata kwenye benchi wanahitaji waangaliwe pre season kwa kina..Woodburn huyu auzwe tu kwa kweli

Brewster angalau Klopp anasema ameridhiswa na kiwango chake tangu apone na anasema msimu ujao would be his season...

Shaqir unless apate project mpya tunae na ningependa abaki...ni mchezaji ambae game tym imekua kiduchu lakini akipata nafasi he give his all...we need his attitude n inputs uwanjani..
chief, nakubaliana na wewe 100% kuhusu Lallana.

ila pale kati tukipata "motor" inayofanana na Eriksen aisee tutakuwa tumekamilika. but nani yupo kwenye soko mwenye quality hii? Coutinho? not for me...one - there's something about him tulipokuwa tunapocheza vs physical sides which I used to dislike, and, two - there's likely to be split loyalty from the stands which could get into his nerves and affect his performance.

i think for a championship seeking team Shaqiri ni vunerable sana defensively - it probably explains why Klopp doesn't trust him that much. so OK...I'll keep him for squad depth but will quickly cash in on him ikiletwa mezani offer ya 20M plus..
 
ni kweli kaka hata akina Drogba, Fabinho, Hazard, Bernado Silva wametokea huko Ligue one hivyo tuwe na imani huyu Pepe chini ya Klopp atakua fire...

Hili la Salah tangu yupo Basel tulimchungulia tukaona anatufaa sema Rodgers haku react mapema...

Nina wasiwasi kati ya Salah au Mane kuna mmoja hawa Real au Barca watatusumbua wakimhitaji kama sio msimu huu basi dirisha mbili zijazo hivyo Klopp naamini pia ana plan for the future na huyu Pepe umri mdogo anatufaa...

lets get Maxi Gomez, Pepe, Fekir, De Ligit tutakua full nondo
hao madogo uliowataja lwenye last para tukiwapata tutakuwa tupo vizuri.
 
Hivi Deligt tunamuwania kweli?
Ndugu yangu Liverpool kunakuaga na usiri mkubwa sana kwenye fununu za kweli...kwa mfano usajili wa Fabinho

wanachokifanya Sport Media ni kuungaunga taarifa za hapa na pale hivyo hili la De Ligit ni umbea tu na si msimamo wa club...

tukisema ni umbea ni sawa mpaka pale klabu itakapotoa tamko yetu macho...

uzuri wa umbea wa wenzetu hau haupo mbali na ukweli...
 
chief, nakubaliana na wewe 100% kuhusu Lallana.

ila pale kati tukipata "motor" inayofanana na Eriksen aisee tutakuwa tumekamilika. but nani yupo kwenye soko mwenye quality hii? Coutinho? not for me...one - there's something about him tulipokuwa tunapocheza vs physical sides which I used to dislike, and, two - there's likely to be split loyalty from the stands which could get into his nerves and affect his performance.

i think for a championship seeking team Shaqiri ni vunerable sana defensively - it probably explains why Klopp doesn't trust him that much. so OK...I'll keep him for squad depth but will quickly cash in on him ikiletwa mezani offer ya 20M plus..
upo sahihi Shaqir ni reability kwa physical teams na sio ndogo wa ku cover ground kama Mane..ishu ya sasa ni squad depth ni muhimu sana kwenda na Citi jino kwa jino...Citi ukimtoa Bernado Silva anangia Mahrez, ukimtoa Sane anaingia Sterling..ukimtoa David Silva anaingia De Bruyne, ...n.k...hao wote ni proven starters hata kwenye timu zao za taifa...sasa hapa kwetu ipo tatizo kubwa na hiki kikosi maana ukitegemea umtoea Keita aingie Chambo/Lallana unakuta ni majeruhi, hapo ndipo anaongia Shaqir japo hata offer whts Keita or Chambo cn offer bt by his standards ni fighter...ndio maana nikasema kama Lallana atabaki aafi Shaqir auzwe basi itakua ni bad business..

ishu pale kati bado ni pasua kichwa aidha kumfuata Fekir au kukomaa na Keita au achukuliwe Eriksen ambae nae anaitaka sana Real Madrid endapo ataodoka Spurs...Countino kama Klopp akisema we are good hata hao mashabiki watatulia kimya, bei yake na mshahara zinazungumzika...

wapo wengine wanaitwa akina Maddison lakini hawa bado makida sana kupaga namba Anfiled
 
hao madogo uliowataja lwenye last para tukiwapata tutakuwa tupo vizuri.
mkuu hao wangetua ingkua bab kubwa..

tusubiri ma scout wakamilishe kuwa sort na kufanyia kazi mapendekezo ya Kloop,

one need one flexible winger mwenye kucheza either flank, one AM, one real namba 9, na beki mmoja...
 
chief, nakubaliana na wewe 100% kuhusu Lallana.

ila pale kati tukipata "motor" inayofanana na Eriksen aisee tutakuwa tumekamilika. but nani yupo kwenye soko mwenye quality hii? Coutinho? not for me...one - there's something about him tulipokuwa tunapocheza vs physical sides which I used to dislike, and, two - there's likely to be split loyalty from the stands which could get into his nerves and affect his performance.

i think for a championship seeking team Shaqiri ni vunerable sana defensively - it probably explains why Klopp doesn't trust him that much. so OK...I'll keep him for squad depth but will quickly cash in on him ikiletwa mezani offer ya 20M plus..

Mkuu huyu ndogo Samuel wil cost a few usd compared na hao wengine bt he is value for money..i wish Klopp could make th move mapema tumalizane nae...🔽🔽🔽✅✅🆒🆒🆒🆒

Samuel Chukwueze had admitted he's spoken to some of his team-mates at Villarreal about playing in England as the winger continues to be linked with a move to Liverpool.

The 20-year-old enjoyed an impressive breakthrough season in La Liga, scoring eight goals playing alongside the likes of former Arsenal star Santi Cazorla and ex- Everton defender Ramiro Funes Mori.


With his form earning him an international debut for Nigeria, as well as the reported attention of Liverpool , the winger has also been included in the Super Eagles' squad for this summer's Africa Cup of Nations in Egypt.

kwa wachezaji hawa watatu namely Samuel wa Virrareal..Ziyetch wa Ajax na Neres pia Ajax angalua tumpate mmoja n t would be a coup.
 
Mkuu huyu ndogo Samuel wil cost a few usd compared na hao wengine bt he is value for money..i wish Klopp could make th move mapema tumalizane nae...

Samuel Chukwueze had admitted he's spoken to some of his team-mates at Villarreal about playing in England as the winger continues to be linked with a move to Liverpool.

The 20-year-old enjoyed an impressive breakthrough season in La Liga, scoring eight goals playing alongside the likes of former Arsenal star Santi Cazorla and ex- Everton defender Ramiro Funes Mori.


With his form earning him an international debut for Nigeria, as well as the reported attention of Liverpool , the winger has also been included in the Super Eagles' squad for this summer's Africa Cup of Nations in Egypt.

kwa wachezaji hawa watatu namely Samuel wa Virrareal..Ziyetch wa Ajax na Neres pia Ajax angalua tumpate mmoja n t would be a coup.
Aje ziyech dogo yupo vizuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom