Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Sijui kwanini tuko linked na this kid sipendi ku-judge kutokana na highlights ila Huyu dogo hana cha kutupa kwenye kikosi
Sijui kwanini tuko linked na this kid sipendi ku-judge kutokana na highlights ila Huyu dogo hana cha kutupa kwenye kikosi
Takwimu zina mbeba
Angalia hapo POINT YA KWANZA; ANA RATIO YA GOLI MBILI KWA ASSIST MOJA ( I.e goli 22 assists 11) which means sio mchongo
POINT YA PILI; winger anaefunga goli 22 kwa msimu ana kiwango cha juu
hivi kwa nini Klopp asipeleke ofa kwa Lacazette...ndogo namkumbaliBut League One ni tofauti na EPL
Hata Lacazette kwenye League One alikuwa hashikiki
chini ya Klopp huyu atakua ni motooo....ungeniambia Salah atakuja kua mfungaji bora EPL wakati tunamtoa Roma binafsi ningembisha mpaka basi lakini sasa ona kwa msimu wa pili anachukua kiatu cha dhahabu...Takwimu zina mbeba
Angalia hapo POINT YA KWANZA; ANA RATIO YA GOLI MBILI KWA ASSIST MOJA ( I.e goli 22 assists 11) which means sio mchongo
POINT YA PILI; winger anaefunga goli 22 kwa msimu ana kiwango cha juu
hahaha ndio kilichobaki kwa sasa, hapa mpaka dirisha bado halijafunguliwa rasmi..Nina wasiwasi tukajageuka TETESI FC kama Man United.
Coz hizi tetesi zisizozaa matunda zimeshakuwa nyingi
hivi kwa nini Klopp asipeleke ofa kwa Lacazette...ndogo namkumbali
chini ya Klopp huyu atakua ni motooo....ungeniambia Salah atakuja kua mfungaji bora EPL wakati tunamtoa Roma binafsi ningembisha mpaka basi lakini sasa ona kwa msimu wa pili anachukua kiatu cha dhahabu...
Kloop hafanyi kazi kwa hizi tetesi. Huyu dogo wa france namuona yuko too slow...
Kama atakubali kuwa squad player basi aje....
Lallana ana work rate ambayo klop anaipenda so atabaki na nadhani pia washaongea na kocha so yuko ready for next season milner atakuwepo so as keita henderson georgino fabinho na Chambo pia. So hapo kati sioni mtu mpya akiingia.
But shakiri ni 50/50 pia akiondoka may be mtu anaweza kuja au wilson anaweza kuziba nafasi yake.
Kwa firminho klop ashasema yule dogo bwrester kuwa next season atakuwa anacheza pia (ni striker yule) mtu mpya hapa atakuja kutegemea mazungumzo na Origi yataishiaje ( kama akitaka minutes zaidi then tupate pesa nzuri kwake)
Ila kwa robertson sure mtu atakuja maana moreno kasepa
Hapo kati matip atabaki so tutakuwa na wa3 van dyk na gomez ambaye anamsaidia alex akiwa na milner ( maana next season milnet atakuwa zaid squad player so atakuwa anaziba mashimo wakati wa majeruhi ya alexandef na robeston au pale kati)
Kipa ningependa kama mignolet akisepa basi yule dogo kheller sijui asogezwe awe namba 2.
Winger Lallana na shaqiri kama watabaki au wilson na woodburn kama kocha atawaamua kuwapandisha....kama atashindwa basi awauze tu wale madogo wakashine sehemu nyingine.
hahaha nimeona Lallana anasema bado yupo sana Anfield haodoki eti ameambiwa next season uwepo wake kikosini unahitajika..kidogo imenistua aisee..Hata hivyo usijeshangaa dili lake likaishia tetesi tu mwisho wa Siku tukaambiwa 'Lallana is a New Signing'
Solanke duh bora kaodoka zake akajaribu zali kwingine...Hii hutokezea katika kufuatilia Target husika! Kocha anaweza kuwacha Target bora akafanya gambling
Mfano hakuna kocha aliyejuwa kuwa Sancho atakuwa talented vile ndiyomana tukamuacha Sancho tukachukuwa Solanke! Remember?
Takwimu zina mbeba
Angalia hapo POINT YA KWANZA; ANA RATIO YA GOLI MBILI KWA ASSIST MOJA ( I.e goli 22 assists 11) which means sio mchongo
POINT YA PILI; winger anaefunga goli 22 kwa msimu ana kiwango cha juu
chini ya Klopp huyu atakua ni motooo....ungeniambia Salah atakuja kua mfungaji bora EPL wakati tunamtoa Roma binafsi ningembisha mpaka basi lakini sasa ona kwa msimu wa pili anachukua kiatu cha dhahabu...
Mkuu unashau msimu ujao tunahitaji makombe yote aisee na kwa hilo hatutegemei Lallana ku msaada kwetu maana hio work rate yake unayosema ni gemu moja na hamalizi utasikia kaumia nje wiki tatu au kaumia mazoezini n.k tunahitaji wachezaji wa kazi kazi na wanaojua kujiangalia sana sio kila tackle lazima aifuate n.k...Kloop hafanyi kazi kwa hizi tetesi. Huyu dogo wa france namuona yuko too slow...
Kama atakubali kuwa squad player basi aje....
Lallana ana work rate ambayo klop anaipenda so atabaki na nadhani pia washaongea na kocha so yuko ready for next season milner atakuwepo so as keita henderson georgino fabinho na Chambo pia. So hapo kati sioni mtu mpya akiingia.
But shakiri ni 50/50 pia akiondoka may be mtu anaweza kuja au wilson anaweza kuziba nafasi yake.
Kwa firminho klop ashasema yule dogo bwrester kuwa next season atakuwa anacheza pia (ni striker yule) mtu mpya hapa atakuja kutegemea mazungumzo na Origi yataishiaje ( kama akitaka minutes zaidi then tupate pesa nzuri kwake)
Ila kwa robertson sure mtu atakuja maana moreno kasepa
Hapo kati matip atabaki so tutakuwa na wa3 van dyk na gomez ambaye anamsaidia alex akiwa na milner ( maana next season milnet atakuwa zaid squad player so atakuwa anaziba mashimo wakati wa majeruhi ya alexandef na robeston au pale kati)
Kipa ningependa kama mignolet akisepa basi yule dogo kheller sijui asogezwe awe namba 2.
Winger Lallana na shaqiri kama watabaki au wilson na woodburn kama kocha atawaamua kuwapandisha....kama atashindwa basi awauze tu wale madogo wakashine sehemu nyingine.
Mkuu wanasema anacheza pale mbele any position yupo flexible..Mkuu Huyu dogo hachezi same position na Mo salah
Apana mkuu ..mimi ni maoni yangu tu. Maoni lazima yaheshimiwe!aisee ndugu yaaani unaanza kupiga ramli nani atakua liability hata ligi haijaanza kweli wewe ni nomaaa...
unatakiwa kua na hofu maaana Hazard amekua akiibeba Blues kwa kipindi kirefu sana, hapo sasa pengo lake kuliziba kazi mnayo na ndio bado usajili mmefungiwa huyo Coutino mtamsikia tu..
But League One ni tofauti na EPL
Hata Lacazette kwenye League One alikuwa hashikiki
chini ya Klopp huyu atakua ni motooo....ungeniambia Salah atakuja kua mfungaji bora EPL wakati tunamtoa Roma binafsi ningembisha mpaka basi lakini sasa ona kwa msimu wa pili anachukua kiatu cha dhahabu...