Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5502.JPG
 
Najuwa wewe si mwelewa wa kile unakiandika kwa Mikono yako!

Lakini hebu pitia post yako hapa chini uiangalie je ipo kiuwanamichezo? ↓↓



Wewe wakati mwengine unakuja hapa unajifanya Mshabiki wa Liverpool (Unafiki), then unaandika post ambazo ni negative haziendani na Washabiki wa Liverpool.

Hapa hatupingani na mawazo ya Mtu bali tunapingana kwa hoja.

Hapa nadhani ni Jana tulikuwa tukiargue kuhusu usajili wa Nicolas Pepe na tukaenda vizuri bila ya kujigamba "Mimi Halisi, Wewe Feki", " Mimi najuwa Mpira, Wewe Maandazi"....! Kwasababu tulikuwa tunajuwa kuwa kila Mtu ana Uhuru wa Kutoa Maoni ambayo hayadharauliwi Bali yanapingwa kwa Hoja.

Lakini Wewe unaanza na kauli za dharau kuita watu Washabiki Maandazi halafu unaita Uhuru wa kupost kwenye Forum?????

Hivi ungelikuja na Facts kukosoa nilichokiandika nisingelifahamu??

Humu tumo watu Wastaarabu sana katika Kujadiliana kiasi ya Kwamba Mpaka kwenye Majukwaa ya Majirani tunaendesha mijadala ya Kistaarabu na kina lembu , Lukub , Kyatile bila ya kuleteana kejeli.
Ni Mtu mmoja tu humu ndiye asiyetaka Mawazo ya Wengine na Akaamua kujibatiza jina ambalo analiita kuwa ni Kundi ingawa ni yeye peke Yake na sio Kundi.

Sasa na Wewe sijui ustaarabu wa kuanza kumjibu mtu kwa Kejeli umeutoa wapi!!!
Dude usijifanye unanijua. Ioneshe forum post 2 tu za kuiponda LFC nilizowahi kuandika humu. Kunihusisha mimi na huyo mnayemwita PAIN KILLER huo ni uzwazwa. Ndio ni uzwazwa ukikasirika poa tu. Mimi nina ID yangu hii na inapost zake kadha wa kadha humu JF. Unafiki wangu ni nini?

Ukishindwa kuonesha wewe ndio mnafiki na kujifanya unajua sana.Nioneshe hizo post otherwise wewe ndiye mnafiki maluuni kujifanya unajua kila mtu na kila kitu.
 
Manchester City and Manchester United are set to go head to head for Harry Maguire now that England's Nations League campaign is over, Sky Sports News understands.

I rate this boy highly than De Ligit...

Maguire ni average CB but anakuwa Hyped tu na English Media.

De Ligt ni very talented Young CB.
 
Hawa Palace bhana! Zaha wanataka £90m, Wan Bissaka wanataka £60m.
Yani wachezaji wawili wanaotaka kuwauza wanataka wapate hela ya Usajili ya Miaka 5 ijayo
 
Maguire ni average CB but anakuwa Hyped tu na English Media.

De Ligt ni very talented Young CB.
aisee hua namuangalia sana huyu ndogo japo waingereza kwa hype ndio wenyewe kwa £60m is good business...

kwetu ni ngumu kuja sioni Klopp akitoa hio pesa kununua beki ghali dirisha hili..

upo uwezekano akapandisha academy players baada ya kuridhishwa na maedeleo ya TAA...
 
Kama tunampata Werner itakuwa bonge la usajili , nimemcheki aisee yule Timo Werner ni Winger ya ukweli na bonge la team player. Tumpate huyo halafu Mane awe anatokea eneo la namba tisa hivi,

Bayern wakimpata Werner ni shida inaongezeka. Na najua Bayern watareact baada ya kuona usajili wa kutisha uliofanywa na Real Madrid. Sasa tuzichange vizuri, kuongeza nguvu pale Mbele na kiungo.


Halafu Firmino apige kiungo au Winger, na kama huyo Pepe atakuja awe anatokea Sub
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom