Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

below is what I posted on this forum after witnessing that Camp Nou first leg showdown. my projection wasn't all that accurate but some facts came to fore last night.

indeed, last night Messi & co could not live with the Kop's intimidating atmosphere (branded by Allan Shearer as "one I have never ever seen anywhere before"), coupled with that heavy metal stuff from Klopp's boys.

happy days!!!

1091517
 
Bado naiwazia ile kona ya TAA... huyu dogo kumamae wallah... Yaani aliiwahi kimachale then akainyoosha utafikiri katumia rula. Barca wakashtuka tu kitu kiko nyavuni.

Mi nadhani bado naota. Si bure
Kwangu ndio tukio la kustaajabisha na zuri kwa mechi ya jana,hata sisi wa man u ilibidi tushangilie tu hakukuwa na namna. Kwako mzee wa K - vant....
 
Bado naiwazia ile kona ya TAA... huyu dogo kumamae wallah... Yaani aliiwahi kimachale then akainyoosha utafikiri katumia rula. Barca wakashtuka tu kitu kiko nyavuni.

Mi nadhani bado naota. Si bure

Dogo anajifanya yeye ni Muhuni kuliko Babazake waliopita!

Yani alijifanya kama anauwacha ule mpira na kutembea, Si Mabeki nao Wakafata move Yake! Ghafla kachange Motion karudi Fasta na Kuutupia Kwa Muuwaji
 
Nimefurahi Sana Jana Kushinda, Lakini kilichonisikitisha ni Kitendo cha TAA kupiga Kona iliyozaa goli la 4! Ule ni Uhuni aliowafanyia Barcelona.
Yani beki inataka kujipanga yeye ndiyo kawashtukiza kwa Kona
Yule mtoto kanikosha sana, yaani anaondoka amuachie Shaqir aje apige kona alivyoona Origi kakaa mkao wa kufunga goli fasta akili zikamtuma, maamuzi sahihi wakati sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom