Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Man, nakumbuka around January or February ulisema TAA is the best RB EPL now, nilikataa kimoyo moyo, nikawa sioni basis za kwa nini awe yeye.

Recently amekuwa na form moja ya ukweli sana, na jana ameendelea kunionesha kwa nini umempa hiyo ranking.

Naendelea kumfatilia aisee, he is a "wonder kid".

Nakumbuka Mara Nyingi huwa Nameate higher Huyu dogo lakini kwa kipindi hicho jamaa Walinipinga sana kufikia kumueka Clyne na Milner ahead of him.

Kama utafatilia Vizuri Mechi yoyote ambayo Hajacheza Huyu dogo basi huwa tunasuasua kwenye Matokeo (Ref: Vs Manure and Barca).

Huyu ndiye best creator wetu kwa sasa.

Dogo kwenye kulinda anahitaji Beki Makini tu wa Kucover nafasi Yake pale anaposhambulia.

Game anazoekwa bench huwa naumia sana.

Ni Mchezaji Pekee kwa Sasa ambaye ni Mzalendo anayeiwakilisha Merseyside.

Naamini Huyu ndiye our Future Captain iwapo Majeruhi hayatamtoa Mchezoni.
 
Nakumbuka Mara Nyingi huwa Nameate higher Huyu dogo lakini kwa kipindi hicho jamaa Walinipinga sana kufikia kumueka Clyne na Milner ahead of him.

Kama utafatilia Vizuri Mechi yoyote ambayo Hajacheza Huyu dogo basi huwa tunasuasua kwenye Matokeo (Ref: Vs Manure and Barca).

Huyu ndiye best creator wetu kwa sasa.

Dogo kwenye kulinda anahitaji Beki Makini tu wa Kucover nafasi Yake pale anaposhambulia.

Game anazoekwa bench huwa naumia sana.

Ni Mchezaji Pekee kwa Sasa ambaye ni Mzalendo anayeiwakilisha Merseyside.

Naamini Huyu ndiye our Future Captain iwapo Majeruhi hayatamtoa Mchezoni.

Yes, kwenye creation sina kipingamizi kabisa.

Nakuwa napunguza rating kwa sababu ya ukabaji, ila dogo ni mzuri sana.
 
Unaongelea 3-4 year project:

Year 1: assess the current squad

Year 2: recruit, assemble and get rid of the mediocre players

Year 3: continue-to recruit and make reinforcements

Year 4: fine tuning/reinforcements

Year 5: turn the quality squad into a contender and start challenge for the titles

Hiyo ndio blueprint of Jurgen Klopp’s project
Mwingine anakuja na hoja oooh eti Klopp ana muda gani LFC na hajabeba kikombe chochote? Hilo ndio jibu
 
Shida leo nipo hapa na Nimechaguliwa Kuandika RECAP.
Ushindi umenifanya nimechelewa mpaka kwenye Kikao ikanibi niingie kwa mlango wa Nyuma.

IMG_20190508_111737.jpg
 
cesc fabregas:

Alexander-Arnold, 20 years old. People will tell me it’s bad defending, I’m telling you it’s pure intelligence and vision.
1091630


kule kwetu bosi wetu ed woodward bado yupo usingizini na sifahamu ataamka muda gani, Don Clericuzio brother msimamo wangu hautabadilika mpaka dakika ya mwisho, siwezi kuwa na fikra kama walizonazo mashabiki wenzangu wa manchester united ya kwamba liverpool ni adui yetu asiyepaswa kuombewa mazuri.

nyinyi ndio munaotufundisha maana halisi ya neno team kwa sasa pale uingereza kwa sababu imewachukua miaka miwili tu kujenga timu yenye mtiririko unaoeleweka wakati kiupande wetu tunaingia mwaka wa saba huu na bado tunatafuta dawa ya kutibu nguvu za kiume.

nyakati za mwanzoni ligi ndio kwanza imeanza great thinker MosDef aliwahi kufanya mlinganisho wa wachezaji kwa kutumia vikosi vya timu kubwa tofauti pale uingereza, kiukweli nyakati zile sikumuelewa kabisa pale aliposema mlinzi wake bora wa kulia ni alexander arnold huku namba 6 bora ni fabinho baada ya fernandinho kama nitakuwa nipo sahihi.

sikumuelewa kwa sababu alimchagua fabinho haliyakuwa hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu ya uingereza, kwa kile nilichokishuhudia jana kwenye televisheni yangu ya mbao nimejifunza ya kwamba kumbe nilikuwa mjinga nyakati zile.

You will never walk alone
 
Man, nakumbuka around January or February ulisema TAA is the best RB EPL now, nilikataa kimoyo moyo, nikawa sioni basis za kwa nini awe yeye.

Recently amekuwa na form moja ya ukweli sana, na jana ameendelea kunionesha kwa nini umempa hiyo ranking.

Naendelea kumfatilia aisee, he is a "wonder kid".
man this two boys Robbo n TAA are just priceless, thier assist this very term is wordclass...

n still damn young hivyoooo tunao ina long term we just need to buy back for Robbo n bring back Clyne while also promoting th academy boys....

yajayo yanafurahishaaaaa......
 
cesc fabregas:

Alexander-Arnold, 20 years old. People will tell me it’s bad defending, I’m telling you it’s pure intelligence and vision.
View attachment 1091630


kule kwetu bosi wetu ed woodward bado yupo usingizini na sifahamu ataamka muda gani, Don Clericuzio brother msimamo wangu hautabadilika mpaka dakika ya mwisho, siwezi kuwa na fikra kama walizonazo mashabiki wenzangu wa manchester united ya kwamba liverpool ni adui yetu asiyepaswa kuombewa mazuri.

nyinyi ndio munaotufundisha maana halisi ya neno team kwa sasa pale uingereza kwa sababu imewachukua miaka miwili tu kujenga timu yenye mtiririko unaoeleweka wakati kiupande wetu tunaingia mwaka wa saba huu na bado tunatafuta dawa ya kutibu nguvu za kiume.

nyakati za mwanzoni ligi ndio kwanza imeanza great thinker MosDef aliwahi kufanya mlinganisho wa wachezaji kwa kutumia vikosi vya timu kubwa tofauti pale uingereza, kiukweli nyakati zile sikumuelewa kabisa pale aliposema mlinzi wake bora wa kulia ni alexander arnold huku namba 6 bora ni fabinho baada ya fernandinho kama nitakuwa nipo sahihi.

sikumuelewa kwa sababu alimchagua fabinho haliyakuwa hajacheza hata mechi moja ya ligi kuu ya uingereza, kwa kile nilichokishuhudia jana kwenye televisheni yangu ya mbao nimejifunza ya kwamba kumbe nilikuwa mjinga nyakati zile.

You never walk alone
Mkuu imetuchukua zaidi ya miaka 4 angalau na kikosi hiko cha sasa na bado kinahitaji maboresho mandogo mandogo ili kusudi hizi numbers sasa zigueke kua trophies, tuna imani na kocha na jopo la usajili watatufikisha kilele cha mafanikio..

kuhusu Manu naona huku kubadili makocha kumepoteza identity ya Manu kabisa..
kingine ni kutaka quick fix y shinda za muda mrefu bila kujua muda unahitajika kusuka kikosi cha ushindi...
hata Ole endapo in put zake za njio zipi apitekuirudisha Manu makali hatasikilizwa na wachezaji na Ed basi nae atafukuzwo...

in football hakuna quick fix mbali kuna mipango kwa wachezaji kadhaa ukiwa nao na kwa miezi au msimu huu tutakua hapa au pale...

mkumbali kwanza mmepoteana na mna wachezaji wengi wanaojiangalia wao zaidi ya nini wakifanyia Manu...

safari ndefu sana...kuna kipindi kwetu quality ilkua ni Lambert, Baloteli, Makovic n.k lakin leo hii usajili kwetu almost wote wanaleta positive impact uwanjani, kila anae vaa uzi ule anafanya kazi kazi..boys wako happy to play for Klopp n for Liverpool...

All th best Manu tunawahitaji mkiwa top top.ili ligi izidi kunoga...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom