kichwa mbovu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 706
- 504
Mkuu hivi huyu jamaa mbona hana lugha ya ustaarabu??Pole sana!..
Mkuu hivi huyu jamaa mbona hana lugha ya ustaarabu??Pole sana!..
Mbona haukuongea kabla ya match. Shabiki gani muoga hivi.Usiwe na shobo sasa,subiri mpira dk 90 mnakuja na maneno ya Khanga ulishaona tunaongelea team yako hapa
seems Shaqir Melwood do delivers those kind of dead balls oftenly....n th good thing TAA obliged without hesitation..Mliona jinsi VVD alivyomwambia Trent aache ile free-kick na kumuamuru Shaqiri apige ile free-kick??
what more do you need, kuelewa kuwa this dude is a real Captain, a real leader.
Sikuongea kabla ya mechi kwa sababu naheshimu kila team nayokutana nayo,na najua mpira ulivyo City alilala sport direct Arena,lazima ucheze kwa juhudi ili ufikie mafanikioMbona haukuongea kabla ya match. Shabiki gani muoga hivi.
Ubingwa hamchukui endeleeni kujifariji. Mataji yote mtayanusa tu.
they are just professionals no hard feelings...we got plenty chances couldnt score bt at last we had th last laugh..Alichotaka kukifanya bentez mungu anakuona
if wishes were horses beggars could ride on them...Honestty pambana uingie big four haya ya Liverpool na Manciti waachie wenyeweLa muhimu hapa ni Liverpool apigwe..jumatatu securing itokee ethad ili kesi iishe
Pole sana!..Kaka unaongea kwamafumbo unafikiri sisi hatuelewi unachomaanisha,unakauli za madaktari ambao wanakuwa wanamfaliji mgonjwa wa Cancer iliyofika hatua ya mwisho kwa kumwambia kuwa atapona tu wakati wanajua wazi kuwa hazipiti siku mbili atakuwa amekufa.mwaka huu majogoo mnatoka empty bila hata kikombe cha Bata.
na wasiwasi huyu ndogo kwa sasa anacheza kwa sindano si bure...Nilitegemea kumuona Firmino pale mbele walau kumpa match fitness au kuna taarifa gani kumuhusu.
Aroon usishangae niliwai kutana na ndogo mmoja wa form 5 mwaka 2005 alikua shabiki nguli wa Newcastle anaijua vyema timu yake mpaka nilibaki mdomo wazi,Hivi city hawa mashabiki imewatoa wapi hapa bongo?
Newcastle najua wapo, hata rais mstaafu Jakaya kikwete ni mshabiki kindakindaki wa Newcastle , ila man city napata ukakasi,.Aroon usishangae niliwai kutana na ndogo mmoja wa form 5 mwaka 2005 alikua shabiki nguli wa Newcastle anaijua vyema timu yake mpaka nilibaki mdomo wazi,
hivyo na hao wa manciti pia wapo tangu Mansour awekeze pale...
ahaa kweli bana Jakaya ni magpies for life....Newcastle najua wapo, hata rais mstaafu Jakaya kikwete ni mshabiki kindakindaki wa Newcastle , ila man city napata ukakasi,.
Inasekana wengi ni reject kutoka arsenal na man uahaa kweli bana Jakaya ni magpies for life....
hawa wa Manciti wapo wengi tu kwa sasa lakini asilimia kubwa ni kuanzia 2012 kuedelea kabla ya hapo sijui wengi walikua wanashabikia timu zipi...
Wewe mshabiki WA cheltako mbona unaenda sana kutukana mashabik WA arsenal? Huyo jamaa ni fan WA Liverpool,lkn akili yako IPO kutukana mashabik WA arsenal muda wote
Wewe jamaa ujue mm nakuheshimu ila kuna muda unajitoaga akili,Nioneshe tusi nami nitakuonesha shabiki wa Arsenyeto
Wewe jamaa ujue mm nakuheshimu ila kuna muda unajitoaga akili,
Newcastle mashabiki wake wapo tena ni wengi mno kwa Manchester city mashabiki wake wengi ni wale waliokimbia Liverpool, Arsenal na Manchester UnitedNewcastle najua wapo, hata rais mstaafu Jakaya kikwete ni mshabiki kindakindaki wa Newcastle , ila man city napata ukakasi,.
Ahsante,lakini ebu tuache masihara tuongee ukweli kwa mechi mbili zilizo baki unategemea Liverpool anaweza akapoteza?jibu ni kwamba haiwezekani,je kwamtazamo wako unadhani Mancity yuko tayari kupoteza michezo yake iliyobaki?jibu ni hapana,je Liverpool anaweza akamzuia kabisa Barcelona asipate goli hata moja kwenye mechi ya marudiano?jibu ni hapana,ndiyo maana mimi nasema majogoo wa Anfield mwaka huu mnatoka empty bila kombe lolote,mjipange kwa msimu mwingine.Pole sana!..
Aroon shabiki wa AssnalWewe jamaa ujue mm nakuheshimu ila kuna muda unajitoaga akili,
hahahaha rejects...lol haya ndugu nimekusoma..Inasekana wengi ni reject kutoka arsenal na man u
Pia ni wale wafuasi wanaomfata pep kila aendapo,
Cha ajabu hawa waliotoka man u na arsenal bado wanazifatilia timu zao za awali,maana huwez kuhama timu automatically