Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Newcastle najua wapo, hata rais mstaafu Jakaya kikwete ni mshabiki kindakindaki wa Newcastle , ila man city napata ukakasi,.
Maswali mengine ya ajabu sana..!
Ni iko hivi chief, nje ya Uingereza mashabiki wengi wamekua mashabiki wa timu za nchi hiyo kulingana na mafanikio yanayofikiwa na timu husika...
Ili timu iwe na mashabiki nje ya mipaka ya nchi yake ni lazima iwe maarufu,na umaarufu unapatikana kupitia mafanikio...
Bila shaka hata wewe ulianza kuishabikia Arsenal kipindi ukiwa inatisha katika ligi ya Uingereza...
Newcastle ilikua timu ya kutisha kipindi cha akina Alan Shearer, sasa hivi timu imechoka na umaarufu wake umepungua...
Sasa utashangaaje Man City kuwa na mashabiki Bongo wakati ndio timu inayotisha zaidi ndani ya Uingereza kwa wakati huu..!?
 
IMG_5181.JPG
 
Newcastle mashabiki wake wapo tena ni wengi mno kwa Manchester city mashabiki wake wengi ni wale waliokimbia Liverpool, Arsenal na Manchester United
Ahahaaaah...
Hizi hoja zenu zinafurahisha sana..!
Kwahiyo chief unataka kusema mashabiki wa Liverpool hapa Bongo walizaliwa wakiwa mashabiki wa Liverpool..!?
Chief,jinsi ambavyo Man utd au Liverpool ilivyopata mashabiki nje ya mipaka ya Uingereza na Man City nayo inapita humo humo..!
In short mashabiki wote wa zile big six za ligi ya Uingereza ni Glory hunters tu,hii haijalishi umeishabikia timu kwa kipindi gani..!
 
Huo ndio ukweli
Ndo maana kuna team nyingi sana vijijini zinaitwa New Castle, ukweli nimeanza kuifahamu New Castle team ya kijijini huko Upareni Ndungu ambayo imetoa wachezaji kama Chambua,
 
Nimeikopi mahala

Kama Manchester city watashinda ubingwa wa ligi kuu ya England klabu ya Leicester City watapata paundi milioni 5 kwaajili ya bonasi ya mauzo ya mchezaji Rihard Mahrez.

Manchester city itacheza na Leicester City Jumatatu kama Leicester City itashinda au kutoka sare itahatarisha mbio za ubingwa za Manchester city na hivyo kupelekea kutopata bonasi hiyo ya paundi milioni 5 kwani mkataba unasema Manchester City watalipa kiasi hicho ikiwa wataendelea kuwa na Mahrez na kushinda ubingwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom