Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

nilipokuja kugundua mpira kitu nuksi - mashabiki wa liverpool walisema watachukua epl na uefa -hivi unajua now wanasemaje ??

wanasema hivi"
zimebaki mechi mbili epl anything can happen daah noma wakati walisema before wao mabingwa
 
nilipokuja kugundua mpira kitu nuksi - mashabiki wa liverpool walisema watachukua epl na uefa -hivi unajua now wanasemaje ??

wanasema hivi"
zimebaki mechi mbili epl anything can happen daah noma wakati walisema before wao mabingwa

Tangia nizaliwe sijawahi kuona mshabiki wa Mancity pengine we ndio utakuwa wa kwanza.

Wewe jumatatu mzee wangu Brendan anaenda kukuuwa, alafu jumanne naenda kumtafuna Barca na Messi wake.
 
Kuna petition ya mashabik wa liver huko ulaya ,ili messi afungiwe asicheze,haya mashabik WA liver kaongezeni nguvu ,UEFA wafanye maamuzi kabla ya jumanne
Screenshot_2019-05-04-18-50-23.jpeg
 
Kwa nini wengi wanaoizodoa Liverpool humu ni mabinti!? Maana naona lugha ya mabinti wa Buguruni kwa Mnyamani,Tandika,Tandale na Mbagala. Yaelekea kuna marijali wengi ambao ni washabiki wakubwa wa Liverpool kiasi kwamba inapelekea wake/michepuko/nyumba ndogo zao kutoipenda Liverpool.
betting zinaharibu vijana walionza fuatilia mpira baada ya world cup 2010
 
Only thing kilichonipa so many questions yesterday si kufungwa na Barcelona wala kufungwa na Suarez!!

But the way Suarez celebrated his goal against us haikuwa Fair hata kidogo! Once he played for us halafu ameshindwa kuonesha his class kwa Club iliyomfanya akawa pale.

Even Ryan Babel with all humiliation that he suffered under Rafa Benitez at Liverpool he didn't celebrate when he scored against us this season (at EPL). Lakini Suarez tuliyemjengea heshima amefanya kitu kile.

Before yesterday Kati ya mchezaji aliyehama Liverpool na nikawa namkubali sana ni Suarez, But after yesterday's incident namuona ni sawa na Coutinho au Mascherano !
He is no longer our beloved ex-player ..
Tabia mbovu za Waamerika ya Kusini wakichezea Barca au R.Madrid wala sikushangaa but he will the pride at Anfield
 
kilichotokea hivi leo, katika moja ya maduka ya mahasimu wakubwa wa Liverpool ambayo ni klabu ya Everton. Katika maduka hayo yameonakana yakiizua skafu za Lionel Messi. Yaan wameanza maandalizi ya kuwapokea Barca kwa mikono miwili.
:
shaffihdauda_-20190504-0001.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom