Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5190.JPG
 
Sasa wachukue hela au wanganganie ushindi? Watapigania zaidi kupata hela
Nimeikopi mahala

Kama Manchester city watashinda ubingwa wa ligi kuu ya England klabu ya Leicester City watapata paundi milioni 5 kwaajili ya bonasi ya mauzo ya mchezaji Rihard Mahrez.

Manchester city itacheza na Leicester City Jumatatu kama Leicester City itashinda au kutoka sare itahatarisha mbio za ubingwa za Manchester city na hivyo kupelekea kutopata bonasi hiyo ya paundi milioni 5 kwani mkataba unasema Manchester City watalipa kiasi hicho ikiwa wataendelea kuwa na Mahrez na kushinda ubingwa.
 
Good decision Making is the root of every success!
Here is where Klopp failed
Expect to see Lovren and Gomez starting against Barca CD and RB respectively while TAA and Matip enjoying to warm the Bench
hahaha Lovren was outrun, out of position vs Newcasto sasa zidi ya Barca watamgeuza kama chapati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom