Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wachezaji wa manchester watakatwa 15% ya mishahara iwapo hawatafuzu UCL ,

Hii inaweza kusaidia wakakaza mech ya man city , na mkabeba EPL,
Kaka kwa sasa Man City wanabebwa na uimara wa kipa Ederson
Na huwezi ukawa imara kila mechi
Hata Allson na De Gea kuna siku wanakuwa na mechi mbovu
Liverpool anachukua EPL
Wekea nyota hii msg achana na 'watabiri feki"
 
Kaka kwa sasa Man City wanabebwa na uimara wa kipa Ederson
Na huwezi ukawa imara kila mechi
Hata Allson na De Gea kuna siku wanakuwa na mechi mbovu
Liverpool anachukua EPL
Wekea nyota hii msg achana na 'watabiri feki"
Tupo pamoja , nawaombea mchukue EPL, itakuwa sio fair , 95+ points msibebe EPL, inauma sana
 
Hawana kumbukumbu. Hawa Barcelona wametolewa ba LFC mara 3 katika historia. This time tena ndio sio wazuri kabisa. Wanaangalia matokeo ya United hawa
In short tumeenda NOU CAMP NA HATUJAFUNGAWA HATA MARA MOJA
 
Zyech is good..

but should not be number 1 target, especially kama tunawafuatilia kwa ukaribu kina Brandt na Nicolas Pepe.

Yes, ana experience nzuri ukilinganisha na hawa kina Brandt/Pepe, but aina ya uchezaji wake inaweza kumchukua muda kidogo ku-adopt matakwa ya Klopp, hence nadhani kina Brandt na Pepe ambao wapo so direct wanaweza waka-develop vizuri sana under Klopp.
If we could nick that Brazilian rookie Everton Soares, it will be absolutely fab! That kid has been highly rated as a new Neymar! He has a pace, creative and can play almost all the attacking positions! Valued at only £45M
 
City wakichukua hii EPL tittle ni fair kabisa maana sio fair usaidiwe kuchukua ubingwa kwa mgongo wa nyuma badala ya kushinda mechi zako

wote tunakumbuka kipindi kocha anapanga vikosi kwa bangi na kuwaacha wenye vipaji vyao nje for no logical reasons,

City wakichukua kiukweli wanastahili maana hata ubora wa vikosi wanatuzidi kwa mbali tu
 
If we could nick that Brazilian rookie Everton Soares, it will be absolutely fab! That kid has been highly rated as a new Neymar! He has a pace, creative and can play almost all the attacking positions! Valued at only £45M

Mkuu yule mbrazil Everton ni moto wa kuotea mbali. He’s the new wonder kid from Gremio kama sikosei.
Nimemwona akicheza as a sub na The Selecaos na nimemkubali sana na anaweza kumfunika hata Neymar na Jesus
 
IMG_5982.JPG
 
Iyo Barca ya zamani tumeitoa zaid ya Mbili mkuu ..msimu wa 2000/01, 2004/05, 2010/11 ..ivyo usiishi kwa historia mkuu ..wewe kwa Barca huchomoki..

Very funny aisee, sasa mimi na wewe nani aliyeanza leta mambo ya Historia hapa. Wewe si ndio umeanza kusema Chelsea ndo team pekee ya kuisumbua Barca, Je iyo sio historia?ama nyinyi Chelsea mmesumbua uyo Barca leo hii?Na kama utaki Historia kwanini usingeanza kusema kua hata LFC ya sasa kwa ubora wake inaweza kumuondoa Barca na badala yake umesema Barca itaiondoa LFC, je hapa umetumia kigezo kipi labda
 
Mkuu yule mbrazil Everton ni moto wa kuotea mbali. He’s the new wonder kid from Gremio kama sikosei.
Nimemwona akicheza as a sub na The Selecaos na nimemkubali sana na anaweza kumfunika hata Neymar na Jesus
Apparently, Liverpool are lining up mkuu, huyu dogo ni noma, atakuwa cover ya akina Sturridge na Origi wakiondoka! Ila ndio hivyo tena akishatua Anfield tu ma mbwa ya Spain yatamtolea udenda sana! Lolss!
 
City wakichukua hii EPL tittle ni fair kabisa maana sio fair usaidiwe kuchukua ubingwa kwa mgongo wa nyuma badala ya kushinda mechi zako

wote tunakumbuka kipindi kocha anapanga vikosi kwa bangi na kuwaacha wenye vipaji vyao nje for no logical reasons,

City wakichukua kiukweli wanastahili maana hata ubora wa vikosi wanatuzidi kwa mbali tu

Hatustahili kushinda hili kombe, labda tu Mungu atupe huruma.

Tulikuwa na chances nyingi sana, 2019 ilivyoanza tumeharibu kila kitu kwa kung'ang'ania Hendo/Gini/Milner.

Tulipata injuries December za TAA, Gomez, Lovren nk, tukamwachia namba 2 kwa kuamini Milner atakava mpaka wagonjwa warudi.

Westham, Leicester, Man Utd, Everton: hizi ni droo ambazo tunaweza kuzikumbuka sana.
 
Apparently, Liverpool are lining up mkuu, huyu dogo ni noma, atakuwa cover ya akina Sturridge na Origi wakiondoka! Ila ndio hivyo tena akishatua Anfield tu ma mbwa ya Spain yatamtolea udenda sana! Lolss!

Kama Liverpool wakimpata huyu Everton basi pale mbele moto utawaka na tutakuwa tumelamba bingo!
Dogo yuko vizuri mnooo na akiendelea vizuri hata Neymar atafunikwa
Brasil wamelamba jembe
 
Tumpige Cardiff city leo tu

Ndio usubiri sasa uone atakaye msimamisha ni nani
Nakuhakikishia City hapotezi mchezo wowote,labda kama mngekuwa na mechi nao ndio tungeweza kusema bado mna nafasi ya kuwa mabingwa.
 
Nakuhakikishia City hapotezi mchezo wowote,labda kama mngekuwa na mechi nao ndio tungeweza kusema bado mna nafasi ya kuwa mabingwa.
Naheshimu mawazo yako tusubiri Tar 12/5/2019 panapo majaliwa Tuone ni nani atakabidhiwa EPL TROPHY.
 
I know that anything can happened, But No doubt I'm the only one ambaye I believe kwa 100% kwamba Man City ni Bingwa wa EPL 2018/19
Kama 100% no doubt man city ni bingwa hapo hio "anything can happen" inatokea wapi!!!? Acha kukata tamaa kuwa na imani na timu yako. 1 point difference for 3 matches is nothing. Kumbuka walipoteza ndo sisi tukawa juu yao then na sisi tulipoteza wakawa juu yetu.
 
Huyu man u leo anapigwa na everton ndio amzuie man city


Tatizo liverpool mmeshavurugwa mnaweweseka tu, mnaota ndoto za mchana,

Jiangalien tu leo cadify atawamaliza
 
Nakuhakikishia City hapotezi mchezo wowote,labda kama mngekuwa na mechi nao ndio tungeweza kusema bado mna nafasi ya kuwa mabingwa.
Ushabiki ni ugonjwa, tena ugonjwa wa kujitoa akili na ufahamu kabisa sasa mfano hapa unasemaje "NAKUHAKIKISHIA" je iyo hakika unaitoa wapi? kwani hatma ya mechi za City na LFC iko mikononi mwako?This is wrong ama tuseme ni misuse of words, hii inge sound kama tu wewe una hold kitu na kiko mikononi mwako na unataka kumpatia hapa ndio ungeweza kumhakikishia kua utampatia iko kitu but sio kwa hii issue. Football is a game of chance dk 1 moja tu katika football yaweza badili matokeo ktk football sasa sembuse hizo game nne zilizobaki yani dk360+.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom