Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Nimeshaona hapa kwa Nicolas Pepe anataka kupigwa Mtu hela Ndefu.
Ingawa siwaamini sana Waafrika linapokuja suala la Consistency lakini huyu PEPE yupo vizuri.
Muhimu ni kujua tu ni Jinsi gani ata-adapt na EPL iwapo tutamsajili.
Ingawa siwaamini sana Waafrika linapokuja suala la Consistency lakini huyu PEPE yupo vizuri.
Muhimu ni kujua tu ni Jinsi gani ata-adapt na EPL iwapo tutamsajili.