Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uzuri nikishagundua unaeniQoute ni chizi huwa sijibu unachoandika, Huwa na raise arguments na watu ambao nafaidika na mawazo yao either waniongezee nisichokijiua au tukubaliane kutokukubaliana.Humu machixi wengi ukisema hujibu na ewew unakuwa hivyo hivyo halafu wanaokuheshimu wakakudharau.
 
I don't see any team to stop Man City from winning this title.

My last Card was TOT

Now TOT had failed, I don't think Manure will be able even to score a consolation goal instead the game will end up by Man City win with clean sheet
 
Viongozi hebu nisaidieni hii ni game ya ngapi Man City anashinda mfululizo?
 
I don't see any team to stop Man City from winning this title.

My last Card was TOT

Now TOT had failed, I don't think Manure will be able even to score a consolation goal instead the game will end up by Man City win with clean sheet
Najua kiasi gani upo dissapointed ila amini nakwambia city atadrop points kwenye either game...kazi ipo kwetu kushinda mechi zote
 
Chelsea itabaki kuwa timu pekee England na pengine Europe nzima kwa kuisumbua Barca Uefa, wengine mnaenda kujaribu tu..
1076675


Tatizo lenu kubwa mashabiki wa City na Chelsea wengi wenu mmeanza kushabikia mpira mwaka juzi....Nakufahamisha kua mara ya mwsho LFC kukutana na Barca UCL tulimtoa, tulianza kwa kumgonga 2 pale Now Camp....alafu hapa nazungumzia Barca yenye

Messi
Ronaldinho
Xavi
Puyol
Deco
Marquez

sio hii Barca unayoijua wewe ya kina

Samedo
Alba
Coutinho
Dembele nk
 
View attachment 1076675

Tatizo lenu kubwa mashabiki wa City na Chelsea wengi wenu mmeanza kushabikia mpira mwaka juzi....Nakufahamisha kua mara ya mwsho LFC kukutana na Barca UCL tulimtoa, tulianza kwa kumgonga 2 pale Now Camp....alafu hapa nazungumzia Barca yenye

Messi
Ronaldinho
Xavi
Puyol
Deco
Marquez

sio hii Barca unayoijua wewe ya kina

Samedo
Alba
Coutinho
Dembele nk
Hawana kumbukumbu. Hawa Barcelona wametolewa ba LFC mara 3 katika historia. This time tena ndio sio wazuri kabisa. Wanaangalia matokeo ya United hawa
 
EPL ilivyo unaweza kushangaa unaanguka kwa timu ndogo usiyodhania. Hata Sisi tuangalie kwanza mechi zetu maana Cardiff na Newcastle sio wa kupuuza
Najua kiasi gani upo dissapointed ila amini nakwambia city atadrop points kwenye either game...kazi ipo kwetu kushinda mechi zote
 
View attachment 1076675

Tatizo lenu kubwa mashabiki wa City na Chelsea wengi wenu mmeanza kushabikia mpira mwaka juzi....Nakufahamisha kua mara ya mwsho LFC kukutana na Barca UCL tulimtoa, tulianza kwa kumgonga 2 pale Now Camp....alafu hapa nazungumzia Barca yenye

Messi
Ronaldinho
Xavi
Puyol
Deco
Marquez

sio hii Barca unayoijua wewe ya kina

Samedo
Alba
Coutinho
Dembele nk
Mkuuu hebu save data,nguvu za vidole kutyp na charge ya Simu yako Kuna watu hawajui lolote wanaropoka tu...
 
Hawana kumbukumbu. Hawa Barcelona wametolewa ba LFC mara 3 katika historia. This time tena ndio sio wazuri kabisa. Wanaangalia matokeo ya United hawa
mpira uwanjani sio historia mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom