Mkuu hilo swal la game ya city na man u siwez licancel kwa sababu kuna vitu vinanipa ujasiri katika hili
1.Endapo man u wangekuwa wamejihakikishia top4 basi naamini wangempa point man city
2.Ole anahitaji Heshima kwan ndo kwanza wamoto kapewa mkataba juzi tu hivyo ni lazima alinde heshima yake
3.kutokucheza Uefa Kwa man u wanajua kabisa watawapoteza baadhi ya wachezaji na pia kuna baadhi ya sajili watakazo taka kufanya zitashindikana kwan most of world class player wanatakaga UEFA na si FUTUHI
hivyo bas man u hana sababu ya kulegeza kama tunavyo dhani
: man u , leicester ,banley, Aaaaah hata draw moja isitokee, bado naamin kunakitu wakuu sijakata tamaa bado, siku akimalizana na brighton ndo ntaconclude