Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chifu lile goli la offside lilivyofungwa tu na Pep kuruka ruka uwanjani kushangilia niliamua kujiinukia na kurudi zangu home maana lilinikatisha tamaa na kunikosesha furaha sana, ss hapa nachati chati na Watu nashangaa nikiulizwa kuwa ni timu ipi imepita ndipo nikaangalia mtandaoni na kukuta Tottenham kaenda nusu fainali baada ya goli kukataliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unataka ku mbet demu wako!!?Mimi nasubilia kauli yako tu...maana wengine tunafatilia mpira mpaka kutongoza tunasahau,mia tano ipo mfuko wa shati ewew tu na huyo bibie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawatahamini kitakachowakuta
Liver hana ubavu wa kuifunga barcelona, PERIOD.
Tuache hizi ndoto za ajabu ajabu kuwa liver atamfunga na kumtoa barca. Safari ya liver imefika tamati. Wanapigwa nje na ndani.
 
Kama ututarudi nyuma kidogo tu tutagundua kuwa Walisema Hatuna ubavu wa Kumtoa Napoli.

Ikisha wakaja tana na kusema hatuna ubavu wa Kumtoa Bayern

Then wakaogopa kumpigia Ramli Porto

Sasa wanakuja na Ramli kuwa Hatuna ubavu wa Kumtoa Barcelona.

Na almost ID zinazoyasema haya utazikutia someone unknown kwenye this thread from nowhere
 
Ni bora twende futuhi kuliko kuwapa nyie EpL.

Futuhi tutacheza msimu mmoja tutasahau.

Ila ninyi mkishinda EPL hatutosahau.

Sent using simu mbovu
uzuri bado Citi ana game 5 hivyo aidha mgawe pointi kwake au la bado kuna uwezekano akaje pigwa au draw...

Ole ni shabiki wa majogoo hivyo huu ni mtazamo wako pengine yeye atakuja kivingine...

sio mbali ni 24/4/19
 
Spurs kamtoa city hajampiga mnakosea hapo na spurs nzuri ila awezi kushinda etiad hata nyinyi wakali paliwashinda, atapigwa tena hakuna ndoto
ni sahihi Citi siwapi asilimia za kupoteza dhidi ya yeyote yule kwenye ligi lakini kama ambavyo alipigwa na Crystal, Leista, Newcasto basi anaweza akaja kafa au draw katika mechi 5 zilizobaki...

EPL hua ina matokeo yakushangaza sana ndio maana ni ligi inayosismua zaidi...
 
Kama ututarudi nyuma kidogo tu tutagundua kuwa Walisema Hatuna ubavu wa Kumtoa Napoli.
Ikisha wakaja tana na kusema hatuna ubavu wa Kumtoa Bayern
Then wakaogopa kumpigia Ramli Porto
Sasa wanakuja na Ramli kuwa Hatuna ubavu wa Kumtoa Barcelona.
Na almost ID zinazoyasema haya utazikutia someone unknown kwenye this thread from nowhere
Mi sio mnazi wa Liverpool ila game dhidi ya Barca Kuna 70% za Messi kuaga mashindano.
Liver ina wauaji wanaojua kumaliza mchezo tofauti na timu alizokutana nazo Barca msimu huu... Middle ipo imetulia, Defence ndio usiseme kama wale watoto wa mbavu ya kulia na kushoto ukiongeza na VAN DIJK hatari sana.
Mtu kama SADIO MANE, FIRMINO na SALAH.. kwa ukuta wa Barcelona ule na msaada wa VAR, Sioni Barca akipona aisee!!
 
ngoja tumachalaze huyu Barca...Klopp inabidi afanye kazi ya ziada sana pale kati pasilegee...Barca wanafungika endapo kila timu ikicheza kama unit...

all in all hii itakua fainali kabla ya fainali
Timu yetu ina morali ya hali ya juu,na uhakika tutacheza kama unit,huku messi akikabidhiwa fabinho,fainali mpaka ubingwa nauona huu hapa
 
Liver hana ubavu wa kuifunga barcelona, PERIOD.
Tuache hizi ndoto za ajabu ajabu kuwa liver atamfunga na kumtoa barca. Safari ya liver imefika tamati. Wanapigwa nje na ndani.
hata kwa Napoli, Bavarians walisemaga hivyo hivyo na sisi haooo semi final...

weka akiba ya maneno ndugu..Liverpool hii ina uwezo ya kufunga Barca..

kwanza kwa nini asifungike...uwezo tunao, nia tunayo,kikosi tunacho sio cha kutuzuia kuwachapa...
 
ngoja tumachalaze huyu Barca...Klopp inabidi afanye kazi ya ziada sana pale kati pasilegee...Barca wanafungika endapo kila timu ikicheza kama unit...

all in all hii itakua fainali kabla ya fainali

Against Barca for what I know, game will be decided by 1st leg at Camp Nou by either Win or Draw..
Then 2nd leg we'll just protect our chance to progress at next stage.
If we lose at 1st leg.. Nothing to say
 
Timu yetu ina morali ya hali ya juu,na uhakika tutacheza kama unit,huku messi akikabidhiwa fabinho,fainali mpaka ubingwa nauona huu hapa
Fabi hio kazi akipewa anakaba mpama kivuli...Barca kuwafunga ni kuhakikisha mipira kwa Messi haimfikii kamwe maana ndogo ni master pass ukiacha pia mfungaji...

wao hutumia pia mabeki wa pembeni kama sasa kupeleka mashambulizi ukiangalia assist za Jordi utaona umuhimu hivyo ni kama vile tunacheza mfumo sawa hii game ita balance sana...

uzuri sisi hatuna nani azuiwe ili watufunge sisi ni mazima kwenda mbele mazima kurudi kuzuia...

hawa naona wakifa mbio za Mane na Salah pale mbele zitawachanganya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom