Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Chelsi hua mostly Anfield aidha watupige au draw, kama sikosei hatujawafunga kwetu tangu 2012..
sasa jana wamekaa roho safi kabisa na clean sheet, kelele zote zimeisha..
Klopp amekua fkexible sana na mfumo na upangaji kikosi japo kachelewa kuyafanya haya mwishoni mwa msimu bado tuna nafasi ya kupata makombe mawili.