Katika Kitu ambacho Klopp alikuwa Ananipa Headache ni Kumchezesha Hendo kwenye DM while kila mtu alikuwa akiona kwamba He is shit at that position.
Now tumepata Mtu sahihi wa hilo eneo FABINHO na Hendo amepelekwa anapostahili kuwepo.
So, Klopp sasa ndiyo amefanya good soccer management, Lakini hapo awali alikuwa na Bad soccer management kwa Kumchezesha Hendo at Six ingawa tuliomkosoa tulionekana tuna chuki na kocha na hatujui kitu.
you're right. what i know is Klopp is a perfect gentleman... hana arrogancy ya kujifanya anajua sana. in my opinion, ni msikivu.
alipokuja LFC alikuwa na mentality ya
"If you bring 1 player in for £100m & he gets injured, then it all goes through the chimney".
sikuipenda hii attitude yake and am on record to be one of those who were calling for his head then, albeit sarcastically!
baada ya kukosolewa na kushauriwa in equal measure, he splashed loads of moolah to land VVD. then on Alisson. the rest is history.
from that point on, Klopp has earned my full respect. i believe he's up there with the Guardiola's of this world. he could be our next Paisley, etc.
win tonite vs Porto, LFC will be the only club to make back-to-back top 4 in Europe these past 2 seasons. by any standard, this is no mean feat. if you ask me, i'll put my money on the possibility for us winning the UCL rather than the EPL this season.
folks, am personally convinced Klopp is building something very special at Anfield. with a couple more summer signings in key areas, Klopp could oversee a dynasty for years to come - happy us!